Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Pia tambua kuwa Mungu hayupo chini ya Muda ila muda upo chini ya Mungu. Ametuwekea wakati ili tujue idadi ya miaka, vipindi vya mwaka n.k vitusaidie sisi wenyewe.

Sisi miaka 1000 ijayo tunaiona ni mingi ila kwake ni kama nukta tu.Jana,leo na kesho yote ni yake yeye
 
Okay ni sawa kwa Imani yako ila kuna wanaosema / amini kwamba huyu Shetani alikuwa pia Malaika ila hao ni wao, twende na wewe...

okay... ila nina swali hivi unaweza kwenda mbinguni kwa kutenda mema bila kuamini au inabidi uamini pia ? Kama inabidi uamini pia kuna swali hapo chini........

Sasa wale wanaomanini vinginevyo walipata amnesia au wasiokumbuka imekuwaje na Je wanaokufa siku ya kuzaliwa huoni ni kama mtihani huu wamefanya cheating ? (Free Pass to HEAVEN) ?

Ngoja kidogo..., hizi habari wewe kuja kuzipata vema na haya mafundisho yalikuwa kabla au baada ya Mtume Muhammad kuja na kuelezea ?!!! Sasa wale waliokuja kabla walijua vipi au waliambiwa na nani kuhusu mapato tuliyoambiwa na Mungu ? (Yaani walijua vipi mafundisho ya Mtume ambaye alikuwa bado hajaja)?

Mababu zetu wasingehoji walichoambiwa huenda mpaka leo kungekuwa kuna mabwana na sisi watwana kazi yetu ni kuwalamba miguu...
Mungu ameweka vigezo na masharti vya matendo kulipwa!! Kwanza ni kumuamini yeye kwamba hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa YEYE kisha umkubali na Mtume aliyetumwa katika wakati wako. Then ndio kila jema utakalofanya utalipwa ama ukifanya tu mema halafu humuamini Mungu basi jua mema yako ni bure tu ila Mungu anaweza kukulipa hapahapa duniani. Ila huko akhera hutakuwa na malipo.
 
Tofauti na mashine ama mfano wa roboti, mwanadamu amepewa uwezo wa kutambua jema na baya. Yeye ni kiumbe anayetambua maadili (moral being).

Mwanadamu ni kiumbe mwenye maarifa anayeweza kutambua athari za maamuzi yake na kufanya yaliyo sahihi (intelligent being).
Naona unaongelea mengi sana na kupita huku na huku bila kugusa mzizi wa fitina; naomba tu-narrow huu mjadala hayo ya kuumbwa na mengine ni Imani kwahio tuongelee yaliyo sahihi na kuyafanya hayo....

Huwezi kuniambia kwamba nina uhuru wa kuchagua wakati choices are narrow na huenda ninachokitaka hakipo kwenye available choices....

Pili huwezi ukasema mfano mwanao ana uhuru wa kuchagua either aishi kwa mama yake au wewe wakati umemuwekea kabisa vizingiti kwamba akiishi kwako its okay ila kwa mama yake utahakikisha unamyoosha na hatapata mahitaji yake.....

Au mfano mwingine unamwambia mwanao akirudi baada ya saa sita utampiga alafu wewe kuna wadau ambao ulijua huko mbele watamzuia mwanao / watamchelewesha umewaweka barabarani ili wamcheleweshe alafu unasema kwamba wewe haukuhusika katika uchelewaji wake....
Usichojua ama unachokwepa kutambua ni kwamba Muumbaji ni mwenye maarifa na hekima zaidi kuliko kiumbe.
Hizo ni Imani zako na tukianza kubishana kuhusu imani that's another thing tunachoweza kufanya ni kuongelea outcomes na wewe unayeamini kitu fulani kuelewesha umati kuhusu hio michanganyo...
Maana yake ni kwamba kila kitu chema na bora ambacho mwanadamu angehitaji kinapatikana kwa Muumbaji wake, na uchaguzi mwingine wowote tofauti na huo ni wenye madhara.
lets narrow our debate kumbuka Imani sio Universal kila mtu ana imani yake sasa tukienda throught that road tutakuwa hatufiki nashangaa debate iliyoanza kwamba anajua kitakachotendeka na kila kilichopo amekiweka yeye ila sio yeye anayefanya inahusika vipi na haya majibu
Uhuru wa kuchagua ama utashi amepewa mwanadamu (na malaika) kwa sababu Mungu hapendi utii wa kulazimishwa, bali wa hiari, wa upendo.
Hiari kwenye choices mbili wakati labda mtu anataka ya tatu ?, Hiari wakati unatoa reward and punishment hio ni hiari..., Upendo ambao usipofanya navyotaka utachomwa milele ?
Umeshawahi kujiuliza kwa nini mwanadamu atake kuchagua upande mwingine tofauti na ule wa Muumbaji wake? Kwamba amekoswa au amepungukiwa nini, kwa mfano, wakati vyote vilivyo bora na vyema vinapatikana?
Bora kwa nani ? wewe nadhani ndio ulishawahi kujiuliza huenda unaloliona zuri kwako kwa mwingine ni baya ? By the way naomba uniambie kwa Imani yako unadhani Mbinguni kuna nini ? au Nini kitakuwa kinafanyika ?
Kama mwanadamu asingekuwa na uhuru wa kuchagua (free will), basi asingetenda dhambi. Maana yake ni kwamba angekuwa ameumbwa kama kiroboti fulani kinachofanya vilevile tu kilivyoprogramiwa.
Ni sawa naweza kusema kama Mbwa asingekuwa na uhuru wa kuchagua asingekula nyama yaani angekuwa kama lidude unalipa korosho, pipi hata kokoto linakula tu... !!!

This is neither here nor there....
 
Rather that creating robot-like beings, God risked creating individuals endowed with the capacity to choose whatever they wanted to.

This is how much the freedom of choice is so expensive!
Tunazunguka tu bila kujibu maswali yangu How are they free to choose while they are intimidated to choose ? Is that Free ?
 
Huwezi kuniambia kwamba nina uhuru wa kuchagua wakati choices are narrow na huenda ninachokitaka hakipo kwenye available choices....

Muumbaji ndiye anajua kipi ni bora na chenye manufaa kwa mwanadamu na ni jambo gani halifai kwake. Kila zuri na bora analoweza kutaka na kutamani hupatikana kwa Muumbaji wake. In short, all wonderful choices, whatever they are, zinapatikana hapo.

Uhuru wa kuchagua aliopewa mwanadamu ni kufanya kadiri apendavyo (hakuna anayemlazimisha) lakini akijua kwamba kila uamuzi una athari zake.

Ni wazi huelewi maana ya free will ama freedom of choice.

Pili huwezi ukasema mfano mwanao ana uhuru wa kuchagua either aishi kwa mama yake au wewe wakati umemuwekea kabisa vizingiti kwamba akiishi kwako its okay ila kwa mama yake utahakikisha unamyoosha na hatapata mahitaji yake.....

Au mfano mwingine unamwambia mwanao akirudi baada ya saa sita utampiga alafu wewe kuna wadau ambao ulijua huko mbele watamzuia mwanao / watamchelewesha umewaweka barabarani ili wamcheleweshe alafu unasema kwamba wewe haukuhusika katika uchelewaji wake....

Because humans are moral beings and are held accountable for their actions. If you choose evil, you reap evil; if you choose good, you reap the same.

Choosing anything apart from God and His prescriptions for life is akin to choosing evil and death. Humans are only safe as long as they abide by God's way.

Again, don't confuse the foreknowledge of God with predetermination ama preordination of the same event. They are completely unrelated, independent variables.

Hizo ni Imani zako na tukianza kubishana kuhusu imani that's another thing tunachoweza kufanya ni kuongelea outcomes na wewe unayeamini kitu fulani kuelewesha umati kuhusu hio michanganyo...

If you cannot appreciate a logic as simple as that, then that's it; I can't blame you. God has all prerogatives to prescribe how His creatures should conduct themselves. He is wise, intelligent, all-knowing, holy, good, merciful, just, and above all, loving. That's the God I know.

lets narrow our debate kumbuka Imani sio Universal kila mtu ana imani yake sasa tukienda throught that road tutakuwa hatufiki nashangaa debate iliyoanza kwamba anajua kitakachotendeka na kila kilichopo amekiweka yeye ila sio yeye anayefanya inahusika vipi na haya majibu

It's basic, elementary logic. Muumbaji ndiye mwenye vitu vyote vyema, bora, sahihi, vinavyofaa, nk. Kwamba kuna option nyingine bora ambayo mwanadamu anaweza kuhitaji nje ya Mungu, hilo ni suala la kukosa uelewa kamili juu ya ukuu na uwezo wa Mungu. That's a huge, unfortunate mistake and problem.

Hiari kwenye choices mbili wakati labda mtu anataka ya tatu ?, Hiari wakati unatoa reward and punishment hio ni hiari..., Upendo ambao usipofanya navyotaka utachomwa milele?

Mwanadamu anapomwasi Mungu, anakuwa amefanya kitendo hicho kwa hiari yake mwenyewe; kwa utashi wake mwenyewe.

Anakuwa amechagua njia ambayo matokeo yake hatimaye ni mauti ya milele. Uchaguzi wake unaamua matokeo au athari husika.

Amepewa akili, hekima, na uwezo wa kujua na kuchagua kuifuata njia ya uzima inayopatikana kwa Muumbaji wake. Akichagua vinginevyo, hapo anakuwa ameamua kwenda upotevuni kwa hiari yake mwenyewe, na wala hana wa kumlaumu isipokuwa yeye binafsi.

Uhuru unaozungumziwa ni ule wa kufanya maamuzi ambayo yameambata na matokeo chanya ama hasi. Mwanadamu amlaumuje Muumbaji wake wakati ameikataa mwenyewe njia ya uzima wa milele? Anakuwa anataka nini kingine, kwa mfano? Isn't that strange, out of range!

Bora kwa nani ?
Pengine niambie jambo bora kwako unaloona halipatikani kwa Mungu ni lipi? Kwa sababu njia-mbadala ya Shetani ni hila, udanganyifu, uovu, na hatimaye mauti. Hebu leta option yako ya 3!

ulishawahi kujiuliza huenda unaloliona zuri kwako kwa mwingine ni baya ?

Ni kweli, inawezekana. Lakini ukweli mwingine ni kwamba jambo jema na zuri kwa Mungu, ni zuri na jema kwa wote wampendao.

By the way naomba uniambie kwa Imani yako unadhani Mbinguni kuna nini ? au Nini kitakuwa kinafanyika ?

Disclaimer: Sijawahi kufika physically. Lakini kwa kigezo tu cha jinsi uumbaji wa Mungu ulivyo, ni dhahiri shahiri kwamba ni mahali ambapo kila kiumbe kingependa na kutamani kuwepo kila sekunde ya maisha yake milele na milele (1 Kor. 2:9).

Ni sawa naweza kusema kama Mbwa asingekuwa na uhuru wa kuchagua asingekula nyama yaani angekuwa kama lidude unalipa korosho, pipi hata kokoto linakula tu... !!!

This is neither here nor there....
The point is, Muumbaji angeweza kumuumba katika namna ambayo angetenda tu vilevile anavyohitaji Muumbaji, bila uwezo wa kuchagua apendavyo kiumbe husika. Maana yake asingeweza kuchagua kumwasi Muumbaji wake kwa sababu ya kukosa uhuru na uwezo huo.

Lakini mwanadamu amepewa utashi wa kufanya maamuzi, ama kumtii Mungu au kufuata na kutenda vyovyote apendavyo, ambayo ni chukizo kwa Mungu, kumwasi Mungu.

Kuwajibika kwa mwanadamu hatimaye katika hukumu ni kwa vile Muumbaji wake amempa uhuru wa kufanya maamuzi. Vinginevyo, asingekuwa na sababu ya kuwajibishwa.

Kwa kweli, kusingekuwa na jambo la kumfanya awajibishwe kwa sababu asingetenda kinyume na mapenzi ya Mungu. An engineer doesn't blame the computer they created for its malfunctions.

Tunazunguka tu bila kujibu maswali yangu How are they free to choose while they are intimidated to choose ? Is that Free ?
It's not intimidation as you want to believe. Why would you abuse the word that has it's pure, distinct meaning?

If you happen to be promised everything wonderful you need or you will ever need, but still reject them altogether only to go for another inferior, deadly choice, how could you ascribe the prior warning of the inevitable consequences to be intimidation?

It's not intimidation; it's rather meaningful information. We're presented with the positive and negative consequences of the choices one may take in order to help us make informed choices.

Again, I suppose you don't know the meaning of freedom of choice.
 
Na unataka unachoamini wewe kwamba ndio kiwe universal ? Nimekuuliza swali mtenda mema asiyemuamini unayemuamini wewe atakwenda au hataenda mbinguni.., yaani kutokumuani tu unayemuamini ni guarantee ya kuwa doomed ?
Maandiko yako wazi kabisa.
watakao hukumiwa ni wale wasiomwamini mwana pekee wa Mungu
 
Why should I care to elaborate if you dont care to give a simple YES or NO answer.
Aisee hii ni hatari...

Unajua maana ya Ku-elaborate ? (Ni kwamba mtu hajaelewa) kwahio ajibu yes or no ili iweje ?, Simple is Subjective...
 
Again, don't confuse the foreknowledge of God with predetermination ama preordination of the same event. They are completely unrelated, independent variables.
Naona hapa unaruka ruka tu kama popcorn kwenye kikaango...., Ushasema mimi sina uelewa ili nielewe vizuri naomba tu-narrow hii argument ama sivyo naona tunaongelea everything while pin-pointing nothing....

Naomba twende polepole kwa uelewa wangu ili nielewe mfano naomba nikuulize simple question kwa uelewa wako hizi fridge baada ya watu kuacha kutumia ice / barafu kwenye insulated boxes..., unadhani ni Mungu ndio alizitengeneza au ni Binadamu ? Kwa uelewa wako....
 
Kama hujaelewa swali dogo kama hilo utaelewa makubwa?
Naona hapa hatuongezi chochote katika huu uzi zaidi ya kujaza server; Sidhani kama hii mada inahusu uelewa wangu... wala sidhani kama watu wamekosa kazi hadi kupelekea kudadisi uelewa wa mtu wasiyemjua..., Wewe weka point Hapo according to Imani yako (Kumbuka Imani na sio Facts) hayo mengine tuyaache
 
Naona hapa hatuongezi chochote katika huu uzi zaidi ya kujaza server; Sidhani kama hii mada inahusu uelewa wangu... wala sidhani kama watu wamekosa kazi hadi kupelekea kudadisi uelewa wa mtu wasiyemjua..., Wewe weka point Hapo according to Imani yako (Kumbuka Imani na sio Facts) hayo mengine tuyaache
🚮
 
Naona hapa unaruka ruka tu kama popcorn kwenye kikaango...., Ushasema mimi sina uelewa ili nielewe vizuri naomba tu-narrow hii argument ama sivyo naona tunaongelea everything while pin-pointing nothing....

Naomba twende polepole kwa uelewa wangu ili nielewe mfano naomba nikuulize simple question kwa uelewa wako hizi fridge baada ya watu kuacha kutumia ice / barafu kwenye insulated boxes..., unadhani ni Mungu ndio alizitengeneza au ni Binadamu ? Kwa uelewa wako....
Do your own research on the meaning of foreknowledge and predestination, then come for an informed discussion. You seem to use big words that you have no idea of what they actually mean.
 
Do your own research on the meaning of foreknowledge and predestination, then come for an informed discussion. You seem to use big words that you have no idea of what they actually mean.
Who used those words ? You are the one who used them....

Wewe unakuja na maneno yako unayoyaweka hapa alafu mimi ndio nikafanye research ? By the way Big and small are subjective wewe kama unaona ni makubwa huenda ni wewe...

Sasa swali langu dogo tu nimekuuliza mfano Mungu ndio alitengeneza Fridge ? Kwa Imani yako (pili usichanganye Imani na facts, wewe unachokiamini sio universal)
 
Daaah yaan binadam tumefikia hatua ya Kumshauri Mungu?!
 
Hili suala tulijadili kwa Logic!

Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.

Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.

Na je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.

Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani?

NB: Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili (na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency!
Usimwambie mtu lakini: Sisi binadamu ndio tutamaliza hayo yote!
 
Spirit realm iko perfect hivyo ukifanya kosa kule ni absolute choice ambayo haitokani na influence ya kitu cha nje ndio maana shetani hawezi kusamehewa pamoja na malaika wote walioamua kuungana naye.
Litakuwa jibu sahh hili.
 
Back
Top Bottom