SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Mungu si all powerful lakiniKule.................
Kule kuna watu wenye imani tofauti.
Kule sauti za juu hazitakiwi.
Kule kuna mlipuko wa magonjwa ya kuambukiza na yasiyoambukiza.
Hospital ni sehemu ambayo ina taratibu na sheria zake za afya.
😂Watu wakumpiga shetani maweHawa na walokole hawanaga tofauti .
Ila bora kama mtu anashindwa kuacha kabisa bora abaki huko ukatoliki ,ama uluther kuliko kwenda kwa walokole .Ukisoma vitabu vingine ndo utagundua ukatoliki nao ni bomba la uhuni..sema Baki tu huko coz ndo unapotaka. 😂Ila ni mule mule tu ..mnapigwa kiakili
Any form of religion ni mind control mtu akishakuambia amini yupo mtu invisible anakuangalia 24/7 anataka uamini hivi ufanye hivi or else ukifa unaenda kukaangwa.. hio ni mental abuseIla bora kama mtu anashindwa kuacha kabisa bora abaki huko ukatoliki ,ama uluther kuliko kwenda kwa walokole .
Unaelewa maana ya mtu kuwa ICU?Kwann hao wagonjwa wasiende kwa mwamposa kuponywa hadi wafatwe hospitalini.
Kabisa mkuu , hii kitu ilinifanya nikaitwa mpalestina .Any form of religion ni mind control mtu akishakuambia amini yupo mtu invisible anakuangalia 24/7 anataka uamini hivi ufanye hivi or else ukifa unaenda kukaangwa.. hio ni mental abuse
Umewahi kuumwa wewe na kulazwa hospitali? Mtu yuko ICU au MOI anaweza kwenda huko kuombewa?
Kinahusu nn mkuu in a nutshell.Kuna mtasha mmoja alishangaa na kucheka alipokua anaona mara Kwa mara naangalia vipindi mbalimbali vya manabii Hawa wa bongo. siku Moja akaniambia hayo unayoona ni uwongo, nikamshangaa na kubisha sana.... Kuna siku akanibebea kitabu kinaitwa CHURCH MAFIA, baada ya kukimaliza nikaona nibaki tu na Ukatoliki wangu
Yesu mwenyewe wagonjwa walimfuata sio yeye kuwafuata waoHana ubavu huo
Mkuu huyu naye katokea wapi?🤣🤣🤣 uwepo wa Hawa watu unaonyesha ni jinsi gani ujinga na upumbavu ulivyo kwa kiwango kikubwa, Hawa watu ni tishio kwa Taifa lenye kuhitaji maendeleo Kama hili.Kuna Nabii James Nyakia yuko pale Mwenge mpakani mpaka kulaza wagonjwa analaza hata sijui kama Wizara ya Afya wana taarifa naye. Anafanya vipimo vya CT Scan,X-ray MRI kwa kutumia viganja vya mikono yake na wajinga wanamuamini. Vipimo hivyo ni Tsh.10,000/- na matibabu ni kachupa kadogo ka asali ka ml 20 na bei ni kuanzia 70,000/- hadi 300,000/- Huyu jamaa anawanyoosha kweli kweli wajinga.
Tuishi na watu vizuri tuKabisa mkuu , hii kitu ilinifanya nikaitwa mpalestina .
Mgonjwa yupo icu amfate?Yesu mwenyewe wagonjwa walimfuata sio yeye kuwafuata wao
hospitali wanaamini katika Tiba ya kisayansi mkuu na wala hairuhusiwi mtu kwenda kutoa tiba ya mombi walatiba asili. kama unaumwa nenda Kawe akakuombee utapona. Hata Yesu mwenyewe hakuwahi kwenda Hospital hata aliposikia rafiki yake Mkubwa Lazaro anaumwa hakutaka kwenda kumwangalia walakumuombea hadialipokufa.
Kama unahitaji Kuombewa au una ndugu yako mgonjwa basi mpeleke akafanyiwe maombi kisha uje na mrejesho
Mwisho sio magonjwa yote yanatibika kwa maombi.
Ndugu, hao wanaoenda kwake wanafanya hivyo kwa hiyari yao, hawajalazimishwa. Hauna sababu ya kuwa na uchungu na hela isiyo ya kwako, otherwise uniambie kuwa ulimpa mtu hela ya ada ukashangaa akaipeleka kwa MwamposaUhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Yesu Anaweza yote Kwa wanaomwamini halazimishi mtuKumbe yesu baadhi ya magonjwa kwake ni ngoma nzito??? Sasa mbona huwa wanasema anaweza yote??
Kabisa mkuuTuishi na watu vizuri tu
Ndugu zake wamfuate.Mgonjwa yupo icu amfate?
Kwann hao wagonjwa wasiende kwa mwamposa kuponywa hadi wafatwe hospitalini.