usijivue shuka serikali ndio wananchi na ndio hao wanasaikolojia, mainjinia n.kIfike muda serikali ikemee hawa wajinga, kutwa tunahangaika na wagonjwa wa afya ya akili sababu ya watu kama hawa, neno lako moja linaweza kumuharibia mwingine maisha yake,
Shame!
Huyo mama kasema ukweli bwanaUmeanza vizuri baadae unawatupia vijembe π€£π€£ acha unafki
Mwanadamu hapendinkuambiwa ukweli.Sio sawa. Acheni kudharirisha dada na wadogo zetu. Hiyo ni kauli mbaya sana.
Kwani watoto wanaanza kutumika miaka mingapi....naanza kuogopa nina ka binti 18yrs nina waza sanaa katavukaje hapoView attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
Sasa mwanamke una hips hivyo inakiwaje ufike 30 hujaokewa?Atupishe
Huyo tayari!Kwani watoto wanaanza kutumika miaka mingapi....naanza kuogopa nina ka binti 18yrs nina waza sanaa katavukaje hapo
Tayari niniHuyo tayari!
Kwani nawe age go?Ndiooπ₯
Hizi kauli zimekuwa nyingi sana miaka hii ukizichukulia serious sana unachanganyikiwa.
30 bado kipenziSasa mwanamke una hips hivyo inakiwaje ufike 30 hujaokewa?
Inatakiwa wakamatweIfike muda serikali ikemee hawa wajinga, kutwa tunahangaika na wagonjwa wa afya ya akili sababu ya watu kama hawa, neno lako moja linaweza kumuharibia mwingine maisha yake,
Shame!
Una mingap mamy30 bado kipenzi
πTayari nini
Unazingua ujue we dogoπ
KivipiUnazingua ujue we dogo
Vicheko vimezidi kilaπππKivipi