Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,soma uzi toka mwanzo utaelewa.Wanauza nchi
Ngoja tukusaidie Uislamu una nguzo tanoSwali la uelewa,
Kwa nini mama wa kiislamu kuwa rais ni kukiuka mafunzo ya Mtume Muhamadi?
Huu ni uelewa tu, kwa hiyo tujengeane uwezo bila jazba wala kashfa
c.c FaizaFoxy
Hilo linategemea kwenye kunyambua maandiko na kwenye kuangalia historia ya Waislamu, ambapo kihistoria wapo wanawake waliowahi kuongoza vizuri tu na pia wapo wasomi wakiislamu ambao huja na mafundisho yao kuwa qurani imeruhusu wanawake kuongoza,Sasa ndg zetu Kama ndo hivyo kuna Katazo La Namna hiyo..... nini kifanyike? Semeni Wenyewe Waislamu.
Kuna nguzoa za Uislamu, na pia kuna nguzo za imaniNguzo za uislam na sio nguzo za iman
Soma vizuri historia uelewe, Mtume Muhammad (s.a.w) hakuona mke mwengine hadi pale Bi Khadija alipofariki, acha kupotosha, pia mtume Muhammad (s.a.w) alioa wake wengi kwasababu za kihistoria kwamba ilionekana suluhu wa kufanya wanawake wajane na mayatima wawe na watu wa kuwatunza na kuwalisha ilikuwa ni kuolewa ndio mtume (s.a.w) alioa wake zake kadhaa kwa sababu hiyo kuwa walikuwa wajane ama mayatimaila muddy Hana shukrani kabisa...bi Khadija kamkuta jalalan kampa Hela,kamlea,kampa biashara...ila jamaa alipotoboa Tu Na kuanza kupata wafuasi akàanza kumuongezea wake mpaka 11.
Halafu kwenye kitabu chake Quran kawapondea kinoma wanawake
Nisamehe mkuu nilikosa mimi.Soma vizuri historia uelewe, Mtume Muhammad (s.a.w) hakuona mke mwengine hadi pale Bi Khadija alipofariki, acha kupotosha, pia mtume Muhammad (s.a.w) alioa wake wengi kwasababu za kihistoria kwamba ilionekana suluhu wa kufanya wanawake wajane na mayatima wawe na watu wa kuwatunza na kuwalisha ilikuwa ni kuolewa ndio mtume (s.a.w) alioa wake zake kadhaa kwa sababu hiyo kuwa walikuwa wajane ama mayatima
Kuna maandiko katika vitabu/hadithi zinazohusika moja kwa moja na Imani hiyo, mathalani, kuna maelezo yanayofahamika/kusomeka hivi:-Swali la uelewa,
Kwa nini mama wa kiislamu kuwa rais ni kukiuka mafunzo ya Mtume Muhamadi?
Huu ni uelewa tu, kwa hiyo tujengeane uwezo bila jazba wala kashfa
c.c FaizaFoxy
Darasa gani , kwahiyo kuiba, kuzini, kuua, kutukana ruksa kwa vile haviko hapo?Umetoa darasa murua😂😂😂😂😂
flimsy reasons, ni uzinzi tu!alioa wake wengi kwasababu za kihistoria kwamba ilionekana suluhu wa kufanya wanawake wajane na mayatima wawe na watu wa kuwatunza na kuwalisha