Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?




7 September 2020

Profesa Issa Haji Ziddy - Ufafanuzi, wanawake na Uongozi katika Uislam



Prof. Issa Haji Ziddy ambae ni Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) amesema hakuna mantiki ya kidini ambayo inaweza kumzuia Mwanamke kutokua kiongozi kwa kuwa wanawake wana haki sawa na wanapaswa kuwa viongozi kama walivyo wanaume.

Dr. Issa Ziddy is professor of religious education at the State University of Zanzibar (SUZA).

He obtained his PhD in curriculum development & methodology of teaching from the International University of Africa in Khartoum, Sudan.

His research and publications in Arabic, Swahili, and English concern the history of Islamic education in Zanzibar, Muslim-Christian relations, Gulf-Zanzibar connections, and Islamic teachings on current issues.

He was a visiting scholar in Islamic studies at the University of Leipzig, Institute of Oriental Studies in Germany, Bayreuth University in Germany, and in Northwest College in Wyoming through the Fulbright Visiting Scholar Program.

He has partnered with the government and organizations in Zanzibar seeking to bring Islamic leaders into their work in educating communities on pressing current issues, including gender-based violence, family planning, and positive discipline for children in homes and schools and environmental issues.


Source : TAMWA ZANZIBAR

Masheikh njaa anaikana Imani yake
 
Kusema kila kilichoandikwa kwenye maandiko ya dini tulizoletewa na wakoloni ni makosa makubwa sana.

Maandiko ya dini hizo yaliandikwa katika level fulani ya tamaduni ambapo mwanamke hakuheshimiwa kama binaadamu wengine

Dunia imeendelea, wanawake wapepata haki zao na wanafanya vizuri, wewe unangangania kisa imeandikwa, haya mbona unatumia compyuta, smartphone nk zimeandikwa kwenye vitabu hivyo vya zamani?

Jinsi dunia inavyoendelea tunaendelea kutambua uongo uliopo kwenye vitabu ambavyo wameweka vipingamizi eti visibadilishwe, visibadilishwe vipi wakati kuna tamaduni za kikandamizi za kale zilizopitwa na wakati ambazo haziwezekaniki kwenye dunia ya leo?
 
Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .

Pia maandiko yanasema mali yake aliyochuma mwanamke ni 100% kwake, mwanaume haruhusiwi kuigusa.

Tasfiri yake ni kuwa mwanamke ana uhuru wa kufanya biashara au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato halali au hata urais wa nchi.

Tuchukulie mwanamke muislamu akajaaliwa kuanzisha na kuendesha kampuni kubwa ya kwake kama ya IPPGroup, SSB Group au Mohamed Enterprise akiwa kiongozi mkuu wa wafanyakazi 10,000 je hii ipo vipi kiimani ?
 



7 September 2020

Profesa Issa Haji Ziddy - Ufafanuzi, wanawake na Uongozi katika Uislam



Prof. Issa Haji Ziddy ambae ni Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) amesema hakuna mantiki ya kidini ambayo inaweza kumzuia Mwanamke kutokua kiongozi kwa kuwa wanawake wana haki sawa na wanapaswa kuwa viongozi kama walivyo wanaume.

Dr. Issa Ziddy is professor of religious education at the State University of Zanzibar (SUZA).

He obtained his PhD in curriculum development & methodology of teaching from the International University of Africa in Khartoum, Sudan.

His research and publications in Arabic, Swahili, and English concern the history of Islamic education in Zanzibar, Muslim-Christian relations, Gulf-Zanzibar connections, and Islamic teachings on current issues.

He was a visiting scholar in Islamic studies at the University of Leipzig, Institute of Oriental Studies in Germany, Bayreuth University in Germany, and in Northwest College in Wyoming through the Fulbright Visiting Scholar Program.

He has partnered with the government and organizations in Zanzibar seeking to bring Islamic leaders into their work in educating communities on pressing current issues, including gender-based violence, family planning, and positive discipline for children in homes and schools and environmental issues.


Source : TAMWA ZANZIBAR
Huyo mhadhiri wa mchongo anatetea ugali..aende Afghan kwenye chimbuko la wavaa kobazi ao talebani wanayo fanya kazi nakusimamia misingi ya sharia.

Kiufupi dini zimejaa wafiadini wanafiki.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kusema kila kilichoandikwa kwenye maandiko ya dini tulizoletewa na wakoloni ni makosa makubwa sana.

Maandiko ya dini hizo yaliandikwa katika level fulani ya tamaduni ambapo mwanamke hakuheshimiwa kama binaadamu wengine

Dunia imeendelea, wanawake wapepata haki zao na wanafanya vizuri, wewe unangangania kisa imeandikwa, haya mbona unatumia compyuta, smartphone nk zimeandikwa kwenye vitabu hivyo vya zamani?

Jinsi dunia inavyoendelea tunaendelea kutambua uongo uliopo kwenye vitabu ambavyo wameweka vipingamizi eti visibadilishwe, visibadilishwe vipi wakati kuna tamaduni za kikandamizi za kale zilizopitwa na wakati ambazo haziwezekaniki kwenye dunia ya leo?
Kiukweli hizi dini vitabu vyake vyapaswa kubadislishwa viendane na wakati halisi tuliopo..

Hao wazee hawakua na smartphone wanawezaje kutupangia namna ya kuishi kipindi hiki cha technology na utandawazi.

Wao walikua na punda na ngamia..sasahivi tuna electrical cars na mibombadia..halafu tuendelee kuamini upuuzi wa primitives.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kiukweli hizi dini vitabu vyake vyapaswa kubadislishwa viendane na wakati halisi tuliopo..

Hao wazee hawakua na smartphone wanawezaje kutupangia namna ya kuishi kipindi hiki cha technology na utandawazi.

Wao walikua na punda na ngamia..sasahivi tuna electrical cars na mibombadia..halafu tuendelee kuamini upuuzi wa primitives.

#MaendeleoHayanaChama
Upuuzi ni kwako na kubadilisha hakiwezekani kamwe hata utamani vipi zaidi ya kuendelea kuteseka tu kuchukia kitu ambacho huna mamlaka nacho .
 
ila muddy Hana shukrani kabisa...bi Khadija kamkuta jalalan kampa Hela,kamlea,kampa biashara...ila jamaa alipotoboa Tu Na kuanza kupata wafuasi akàanza kumuongezea wake mpaka 11.
Halafu kwenye kitabu chake Quran kawapondea kinoma wanawake
 
ila muddy Hana shukrani kabisa...bi Khadija kamkuta jalalan kampa Hela,kamlea,kampa biashara...ila jamaa alipotoboa Tu Na kuanza kupata wafuasi akàanza kumuongezea wake mpaka 11.
Halafu kwenye kitabu chake Quran kawapondea kinoma wanawake
Nje mada ,hapo kwenye avatar mbona umekaa kishoga hauoni kwamba unaleta ukakasi ?
 
Kiukweli hizi dini vitabu vyake vyapaswa kubadislishwa viendane na wakati halisi tuliopo..

Hao wazee hawakua na smartphone wanawezaje kutupangia namna ya kuishi kipindi hiki cha technology na utandawazi.

Wao walikua na punda na ngamia..sasahivi tuna electrical cars na mibombadia..halafu tuendelee kuamini upuuzi wa primitives.

#MaendeleoHayanaChama
Halafu kuna nchi hizo hizo za kiarabu hata mwanamke kuendesha gari ni kosa kabisa, sasa wakija bongo si watashangaa sisi tumeendelea kuliko wao?
 
Back
Top Bottom