chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,371
- 1,856
Kuna "Sheria" na "nguzo"Unamaanisha kula kitimoto, kuzini, kuiba na kuua ni ruksa kwenye uislamu sababu havipo kwenye hizo nguzo 5??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna "Sheria" na "nguzo"Unamaanisha kula kitimoto, kuzini, kuiba na kuua ni ruksa kwenye uislamu sababu havipo kwenye hizo nguzo 5??
Pakistani iliwahi kuwa na mama uongozi wa juu !Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.
Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.
Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..
Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..
Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,
Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.
Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti,omba kueleweshwa zaidiUnamaanisha kula kitimoto, kuzini, kuiba na kuua ni ruksa kwenye uislamu sababu havipo kwenye hizo nguzo 5??
Yaani waziri mkuu? Au?
Sisi tunazungumzia mwanamke kuongoza watu ,Pia maandiko yanasema mali yake aliyochuma mwanamke ni 100% kwake, mwanaume haruhusiwi kuigusa.
Tasfiri yake ni kuwa mwanamke ana uhuru wa kufanya biashara au shughuli yoyote ya kujiingizia kipato halali au hata urais wa nchi.
Tuchukulie mwanamke muislamu akajaaliwa kuanzisha na kuendesha kampuni kubwa ya kwake kama ya IPPGroup, SSB Group au Mohamed Enterprise akiwa kiongozi mkuu wa wafanyakazi 10,000 je hii ipo vipi kiimani ?
mbona kashfa tena?ila muddy Hana shukrani kabisa...bi Khadija kamkuta jalalan kampa Hela,kamlea,kampa biashara...ila jamaa alipotoboa Tu Na kuanza kupata wafuasi akàanza kumuongezea wake mpaka 11.
Halafu kwenye kitabu chake Quran kawapondea kinoma wanawake
Kabisa yaani vitabu vya kijinga sana kweliHizi dini ni majanga matupu..zilipaswa vitabu vyake. Vifungiwe museums au vifundishwe kama historia sio kuaminishana.
#MaendeleoHayanaChama
Siyo nguzo..unajua maana ya nguzo!?..nenda wanakojenga ghorofaUnamaanisha kula kitimoto, kuzini, kuiba na kuua ni ruksa kwenye uislamu sababu havipo kwenye hizo nguzo 5??
Usichanganye mfumo wa maisha wa kiislam na mfumo wa maisha wa kikafiri,hapa tuna mfumo wa maisha wa kikafiri,mama aongoze tu,mfumo wa maisha wa kiislam kula,malazi,mavazi ni juu ya mwanaume,Sheria!!Sasa ndg zetu Kama ndo hivyo kuna Katazo La Namna hiyo..... nini kifanyike? Semeni Wenyewe Waislamu.
Kwa hiyo wapakistan siyo waislam!!?..acheni hizo,Pakistani siyo nchi ya kiislamYaani waziri mkuu? Au?
Hata hivyo Pakistan ni Islamic country ya kinafiki.
1/4 ya wanaume ni mashoga utasema Islamic country?
Hukumu nyingi hawafanyi kwa Sheria za kiislam,
Utasema ni Islamic country?
_Afghanistan
_Saud Arabia.
Hapa zile hukumu za ,
--ukiiba unakatwa mkono bado zipo.
--Mwanaume ukimuangalia mwanamke ambaye sio mkeo jasho litakutoka.
-- ukikutwa na madawa ya kulevya unapigwa panga,
Ijumaa na jmosi ndy siku ya mapunziko.
Hao ndy waislam
Na sio hao wapakistan.
Pakistan hawafati Sheria za kiislam
Kwani tanzania hakuna waislam?Kwa hiyo wapakistan siyo waislam!!?..acheni hizo,Pakistani siyo nchi ya kiislam
Hilo uliaswa umjibu huyo. maana yeye ndio anaaona kitu kikiwa hakipo kwenye nguzo za uislamu basi hakijakatazwahizo zinapatikana kwenye nguzo za Iman ambapo mojawapo ni kuamini Quran na yote hayo yamo kwenye Quran
Kwa hiyo mnakubali kuongozana na mfumo wa kikafiri na mnaufuata?Usichanganye mfumo wa maisha wa kiislam na mfumo wa maisha wa kikafiri,hapa tuna mfumo wa maisha wa kikafiri,mama aongoze tu,mfumo wa maisha wa kiislam kula,malazi,mavazi ni juu ya mwanaume,Sheria!!
ila muddy Hana shukrani kabisa...bi Khadija kamkuta jalalan kampa Hela,kamlea,kampa biashara...ila jamaa alipotoboa Tu Na kuanza kupata wafuasi akàanza kumuongezea wake mpaka 11.
Halafu kwenye kitabu chake Quran kawapondea kinoma wanawake
Siyo kweli mbona mtoto wa kike wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Pakistan Benazir Butho pia alikuwa Waziri MkuuSwali la uelewa
Kwa nini mama wa kiislamu kuwa rais ni kukiuka mafunzo ya Mtume Muhamadi?
Huu ni uelewa tu, kwa hiyo tujengeane uwezo bila jazba wala kashfa
c.c FaizaFoxy
Umesema Pakistani siyo waislamKwani tanzania hakuna waislam?
Mimi nakuambiya sio inchi zote za waislam wanafata Sheria za kiislam