Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

Umepiga na kitu kizito sana chenye ncha kali kichwani..
#AkikujibuNitag
Hakuna kitu kizito hapo. Swali jepesi sana hilo hata mtoto anajibu. Labda uelewa wenu wa neno nguzo ni tofauti.
Nimeshamjibu. Haya nenda alipokutag.
 
Omba mods wabadilishe tittle yako. Shida yenu msiojua Uislam mnakurupuka sana. Hebu jaribuni hata kuresearch au hata google ipo kabla hamjaleta nyuzi za kipuuzi kama hizi.
pamoja na kukuelewa,bado unanifokea
 
....kitu kinatokotaaa underground...one day mlipukoo mara papapap papaaaa, mgombea anateuliwa mwingienee
Hiyo ni ndoto ya chizi,unaota unakula biriani kwenye hoteli ya kifahari kumbe umetafuna shuka karibu nusu nzima.
 
Pakistan sio Islamic country.
Uwe na uelewa huo.

Na haifati Sheria za kiislam.
Jibu lako ni hili hapa:

Pakistan, officially the Islamic Republic of Pakistan, is a country in South Asia. It is the world's fifth-most populous country, with a population of ...
Largest city: Karachi; 24°51′36″N 67°00′36″E / 24.86000°N 67.01000°E

Capital: Islamabad; 33°41′30″N 73°03′00″E / 33.69167°N 73.05000°E

Official languages: Urdu; English

Government: Federal Islamic parliamentary republic
 
Jibu lako ni hili hapa:

Pakistan, officially the Islamic Republic of Pakistan, is a country in South Asia. It is the world's fifth-most populous country, with a population of ...
Largest city: Karachi; 24°51′36″N 67°00′36″E / 24.86000°N 67.01000°E

Capital: Islamabad; 33°41′30″N 73°03′00″E / 33.69167°N 73.05000°E

Official languages: Urdu; English

Government: Federal Islamic parliamentary republic
Pakistan hawafati Sharia za kiislam,
Usishupaze shingo.

Kuwa Islamic country na Sheria zinafuatwa za British hiyo ndy Muslim country?
 
Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.

Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.

Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..

Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..

Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,

Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.

Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
Hapo wenye mirathi umekosea.

Mtoto wa kiume anapata mara 2 ya anachopata mtoto wa kike.

Hivyo mtoto wa kike ANAPATA ½ (Nusu) ya anachopata mtoto wa kiume.
 
Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, auelezea ulimwengu kupitia Tanzania Royal Tour juu ya makuzi yake Kizimkazi Zanzibar



Na namna yalivyompatia maadili pia kujiamini katika shughuli mbalimbali hadi leo hii. Kijiji cha Kizimkazi na kote alipoishi kulisisitizwa heshima kwa wote bila kujali jinsia pia haki ya elimu dunia na elimu ya imani ya dini yake ilivyoelezea haki kwa wote wanaume kwa wanawake .
 
Rekebisha heading yako. Nguzo za Uislam ni 5
1. Kusadiki imani ya Kiislam kwamba Mungu ni 1 na Muhammad ni mjumbe wake
2. Kusali sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadhan
5. Kuhiji Makka
Sasa mwanamke akiwa Rais ni nguzo gani imekiukwa?
1. Mwanamke wa kiislamu kula kitimoto ni DHAMBI
2. Mwanamke wa kiislamu kuswalisha ni DHAMBI

Imekiuka nguzo gani hii?

#YNWA
 
Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.

Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.

Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..

Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..

Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,

Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.

Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
Kama nchi yenye waislamu wengi duniani,Indonesia,imeongozwa na mwanamke,sembuse Tanzania ambayo takwimu hazituambii waislamu wanazidi 50% ya population,tuanze kufunua maandiko eti nguzo ya Imani imevunjwa,mwenye uzi aache kuipotosha jamii,Tanzania siyo secular state,hii inamaanisha kwamba kama nchi inatawaliwa kwa sheria za kiislamu kama Iran,ukimuweka mwanamke kuwa raisi au kiongozi mkuu wa serikali basi unakuwa umekiuka misimgi ya uislamu,hapa nchi yetu haiko hivyo acha kupotosha,serikali ya Tanzania si ya kidini,ila wananchi wake wanaabudu dini mbalimbali na katiba yetu inaruhusu hivyo.
 
Tanzania siyo secular state,hii inamaanisha kwamba kama nchi inatawaliwa kwa sheria za kiislamu kama Iran,ukimuweka mwanamke kuwa raisi au kiongozi mkuu wa serikali basi unakuwa umekiuka misimgi ya uislamu,hapa nchi yetu haiko hivyo acha kupotosha,serikali ya Tanzania si ya kidini,ila wananchi wake wanaabudu dini mbalimbali na katiba yetu inaruhusu hivyo.

Umetupa elimu safi kabisa ya uraia yaani elimu duniya kama inavyotambulika na baadhi ya waTanzania.
 
Hapo wenye mirathi umekosea.

Mtoto wa kiume anapata mara 2 ya anachopata mtoto wa kike.

Hivyo mtoto wa kike ANAPATA ½ (Nusu) ya anachopata mtoto wa kiume.
Ni kweli mkuu,,

Hapo nilikosea kidogo.
 
Mh. Rais afanikiwa kuvua samaki Pemba, hakika hakuna asiloweza binadamu iwe wa jinsia ya kiume au ya kike, kazi ni kazi tu na kazi iendelee

 
03 May 2022

HOTUBA YA MH RAIS SAMIA HASSAN KATIKA BARAZA LA IDDI 2022| HAYA NDIO ALIOWAAHIDI WAISILAMU



Utamaduni wa rais kuhutubia baraza la Idd El Fitr umekuwepo kwa muda mrefu anasema Mh. Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 3 May 2022
 
Rekebisha heading yako. Nguzo za Uislam ni 5
1. Kusadiki imani ya Kiislam kwamba Mungu ni 1 na Muhammad ni mjumbe wake
2. Kusali sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadhan
5. Kuhiji Makka
Sasa mwanamke akiwa Rais ni nguzo gani imekiukwa?
Achana naye huyo.

Anapima upepo. Vyuma vimenasia kooni
 
Mkuu tofautisha.
Inchi ya kiislam.
Na inchi yenye waislam wengi.

Hivi Zanzibar ni Muslim country?

Kuwa muelewa.
Nilinukuu komenti yako,uliandika Pakistani siyo waislam,mashoga 25%,ninachopinga hicho Cha kusema si waislam
 
Back
Top Bottom