Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

Tatizo unasahau umezunguma nini
Pakistan ni kwl ipo ktk Muslim countries.

Lakini haifati [emoji817]% Sharia za kiislam ,

Ndy Mambo kama hayo ya kuongozwa na waziri mkuu wa kike ,
Hakuna really Muslim's country kiongozi wa juu ni jinsia ya kike.

Mfano wa Muslim country ni Afghanistan,,
Saudi Arabia.
Tena hata saudia Arabia pia ni wanafiki siku hizi.

Kabaki Afghanistan peke yake ndy really Muslim's country.

Wengine wote wanajipa Muslim country sababu ya majority of Islam's population.

Hakuna kingine.
 
Pakistan ni kwl ipo ktk Muslim countries.

Lakini haifati [emoji817]% Sharia za kiislam ,

Ndy Mambo kama hayo ya kuongozwa na waziri mkuu wa kike ,
Hakuna really Muslim's country kiongozi wa juu ni jinsia ya kike.

Mfano wa Muslim country ni Afghanistan,,
Saudi Arabia.
Tena hata saudia Arabia pia ni wanafiki siku hizi.

Kabaki Afghanistan peke yake ndy really Muslim's country.

Wengine wote wanajipa Muslim country sababu ya majority of Islam's population.

Hakuna kingine.
Muda wote huo hujaelewa naandika nini!?..nenda kanye
 
Nilinukuu komenti yako,uliandika Pakistani siyo waislam,mashoga 25%,ninachopinga hicho Cha kusema si waislam
Sijasema Pakistan sio waislam,
Nimesema sio Muslim country,

Sababu hawafati Sheria za kiislam.
Wanachaguwa cha kufata na vingine hawafati,

Japokuwa wanajiita Muslim country.
--sheria ya kiislam inasema mwizi akiiba akatwe kiganja cha mkono.
Lakini Pakistan mwizi anafungwa miaka 3 au fine.

-- mashoga yamejazana tele mitaani na yanajulikana na hayachukuliwi hatua yeyote.

-- hukumu ya madawa ya kulevya kwa Sheria ya Muslim's country ni kupigwa panga kutenganisha kichwa,
Tena hadharani.

Wakati Pakistan madawa unafungwa miaka 3.

Utasema ni Muslim country?

Sasa huo uislam na Sheria zake hapo upo wapi?
 
Zanzibar siyo nchi na wala haina kiti UN!
Kwahyo Zanzibar ni nn?
Ambayo kila kitu ni tofauti na kwengine?

Zanzibar ni inchi kamili mkuu,,hata zamani ilikuwa tunakwenda kwa passport,

Wamefuta miaka 30 iliyopita,

Nakumbuka miaka ya 1990 bila passport Zanzibar hutii mguu.
 
Kama nchi yenye waislamu wengi duniani,Indonesia,imeongozwa na mwanamke,sembuse Tanzania ambayo takwimu hazituambii waislamu wanazidi 50% ya population,tuanze kufunua maandiko eti nguzo ya Imani imevunjwa,mwenye uzi aache kuipotosha jamii,Tanzania siyo secular state,hii inamaanisha kwamba kama nchi inatawaliwa kwa sheria za kiislamu kama Iran,ukimuweka mwanamke kuwa raisi au kiongozi mkuu wa serikali basi unakuwa umekiuka misimgi ya uislamu,hapa nchi yetu haiko hivyo acha kupotosha,serikali ya Tanzania si ya kidini,ila wananchi wake wanaabudu dini mbalimbali na katiba yetu inaruhusu hivyo.
Kwahyo kama shehe akiwa mlevi basi uislam umeruhisu pombe?

Kuwa muelewa,

Hakuna kiongozi mwanamke inchi zenye Sharia za kweli za kiislam.

Na wanajuwa sn Tu,
Tatizo kujifanya kama hawajuwi.

Siku bakwata iweke Mufti mwanamke kama kutaeleweka.,
Kwani hakuna wanawake wanaojuwa dini?
 
Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.

Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.

Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..

Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..

Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,

Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.

Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
1/4 atapata kwa mali iliyoachwa na mumewe kama mume hakuacha mtoto. 1/8 Kama mume aliacha mtoto. Kama wake wapo zaidi ya mmoja wata share.
Kwa urithi usiotokana na mume, mfano baba,mama n.k, basi wanawake watapata nusu ya watakachopata wanaume. Yaani wanaume mara 2 ya wanawake.

Nimejaribu kuweka sawa hapo ulipoandika "1/4 ya Mali atakayopata mwanaume".
 
1/4 atapata kwa mali iliyoachwa na mumewe kama mume hakuacha mtoto. 1/8 Kama mume aliacha mtoto. Kama wake wapo zaidi ya mmoja wata share.
Kwa urithi usiotokana na mume, mfano baba,mama n.k, basi wanawake watapata nusu ya watakachopata wanaume. Yaani wanaume mara 2 ya wanawake.

Nimejaribu kuweka sawa hapo ulipoandika "1/4 ya Mali atakayopata mwanaume".
Sawa mkuu

Shukran sn
 
Kama ndo hivyo.... hiyo ni imani Kandamizi!
Kwani bibilia inaposema Baba ndiye kichwa cha nyumba siyo imani kandamizi, Lakini maandiko yanasema, Mungu aliumba mwanadamu kwa mfano wake, je unadhani mfano wa Mwanamke? Sababu mwanamke ni binadamu.

Kwanini Wakristo wanapo omba, hutumia Ee Baba uliye mbinguni, tunakuomba/ninakuomba.
Hivyo elewa Mungu alimpa uongozi mwaname, ila siasa zimeingia ndani ya dini.
Sasa ukikuta dini ambayo haina msimamo Kama wakristo, ndiyo haya unayoyaona, vitabu vinasema hivi, watu wanafanya vile.

Ndiyo maana mathehebu ya kikiristo yanafika hata 30, hii inamaana wanapingana wenyewe kwa wenyewe. Lingine Angalia madhebu makongwe mfano Roman Katoki, ulishawahi kumuona Padri Mwanamke. ila hivi vidhebu vya kipinzani kuna akina mama mchungaji wengi, Wakati vitabu vimekataxa Mwanamke kupaza sauti mbele za Watu.

Kama Mwanamke amekatazwa kupaza sauti anawezaje kuwa kiongozi.
 
Unamaanisha kula kitimoto, kuzini, kuiba na kuua ni ruksa kwenye uislamu sababu havipo kwenye hizo nguzo 5??
Kuna Ukrasa wa jamaa, kule insta, aliandika kama unajijua, wewe IQ yako ni ndogo, acha kukomenti post za watu, maana utajiabisha bure, utaibisha wazee wako, rafiki zako na hata ukoo wenu.

Mfano wewe ndugu yangu, yeye kasema nguzo za Islamu.

Kwanza ulitakiwa kujua hizo nguzo maana yake nini, haya twende kwenye nguzo za kawaida tu.
Nguzo kazi yake ni kushikilia ama kubeba, Jibu la swali lako hizo ambalo umeshindwa kujua maana ya nguzo ni kwamba, nguzo imebeba hayo yote uliyotaja.
Mfano; Mkristo mcha Mungu wa kweli anadhini,
anashuhudia Uongo.

Hivyo kwa Muislamu mcha Mungu wa kweli hawezi,
Kula nguruwe
Hawezi kuwa nzizi.
 
Rekebisha heading yako. Nguzo za Uislam ni 5
1. Kusadiki imani ya Kiislam kwamba Mungu ni 1 na Muhammad ni mjumbe wake
2. Kusali sala 5
3. Kutoa zaka
4. Kufunga Ramadhan
5. Kuhiji Makka
Sasa mwanamke akiwa Rais ni nguzo gani imekiukwa?
Nguzo ya sifuri
Mzushi huyu
 
Back
Top Bottom