Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Wazo langu: Kigezo cha kuoa mwanamke ni Akili + Tabia....

Sikupingi sababu kila mtu hua na Experience kulingana na Taharifa alizo ulisha ubongo wake kupitia Kuona, Kusoma au Kusikia..

Ila kama unataka bikira hakikisha nawewe ni bikira , Zaidi ya hapo huna nafasi ya Kukosoa...
 
Sasa kama umeoa malalamiko ya kila siku dhidi ya wanawake ni ya nini
Kuwasilisha tatizo sio kulalamika, naishi na ndugu, jamaa, majirani na marafiki naona yanayoendelea kwenye jamii kwaiyo haimaanishi kwamba kila nitakachokiwasilisha kimenitokea mimi binafsi
Hakuna mwanaume wa aina hiyo
Wanaume hao wapo wengi sana, sio chaguo la wanawake kwa sababu wanawake ambao wapo kwenye age yao ni mapepe wana-prefer badboys over nice guys
Sasa kama ni rahisi kwanini ninyi wanaume mnapoona wanawake wanawashawishi kwa kuwasilisha matamanio yao msiachane nao tu, kwa sababu mwisho wa siku lengo lenu si kuoa wanawake mabikira hivyo ili hao mabikira wawepo sharti wasitumike kabla ya ndoa, kama mnaona ngono ni hitaji la msingi sana na hamko tayari kuvumilia hadi ndoa basi msiwalaumu wanawake tu bali pia jilaumuni na ninyi kwa tamaa zenu
Wanaume ambao hatupo interested na vishawishi vya wanawake tupo, mmoja wapo ni mimi mwenyewe. Wapo wanawake wengi ambao naona ishara zao za kufosi kingi lakini nawapuuzia.
Hapa suala siyo kuwepo suala ni hawapo wa kuwatosheleza wanaume wote wanaotaka kuoa wanawake mabikira elewa hoja
Wapo wa kutosheleza, hakuna upungufu wa wanawake bikira kwa mwanaume mwenye uhitaji wa kuoa, nasisitiza tena bikira za kutosheleza mahitajo ya waoaji zipo.
 
Hebu nipe sababu ya msingi kwanini anayetongoza asiwe na makosa ila anayekubali ndio awe na makosa, kwahiyo ikitokea mwanamke ndiye ametongoza na mwanaume akakubali maana yake mwanamke hana makosa mwanaume ndio ana makosa, nikija kwenye hoja yako mwanamke anakubali kwa sababu mwisho wa siku siyo yeye atakayehitaji kigezo cha bikira pale anapotaka kuingia kwenye ndoa
Kwanini akubali wakati anajua akifanya mapenzi bikira ikatoka itadhihirika?
 
Nilioa
By which standards umetumia kum rate "REAL MAN" kwamba waliooa bikra si real men na real men ndiyo waliooa wale ambao si bikra? Kwamba tukirudi miaka 200 nyuma kulikuwa hakuna real men kwa sababu asilimia kubwa walioa bikra na ilikuwa kawaida sana kuoa bikra maana utandawazi ulikuwa zero na watu waliishi in "closed communities" so kujuana ilikuwa rahisi mno kingine walioa mapema kuliko hivi sasa.

Mkuu mawazo yako si sheria yatabaki kuwa mawazo tu so usitumie insecurities zako kuwa undermine wanaume wengine kwamba wanaotaka bikra si "real men" wewe kama umeoa ambaye si bikra ni wewe na maamuzi yako wacha pia ambao wanataka bikra wapate bikra zao.

Bali bikra si kigezo cha tabia njema ila daima mwanamke atawakumbuka wanaume watatu maishani mwake.

1. Aliyemvunja bikra
2. Aliyemzalisha kwa mara ya kwanza
3. Aliyemkojoza(squirting) mara nyingi

N.B
NDOA IKIJENGWA KATIKA MISINGI YA KIIMANI BASI ITAPITIA MAPITO MENGI LAKINI ITADUMU MILELE .
Mke Bikra nilidumu naye miaka mi5 tu nikashindwana naye tabia, nikaoa asiye bikra nadunda naye mwaka wa 9 sasa, pia bikra 3 nilizotoa kabla ya kuoa ziko kwenye ndoa zaidi ya miaka 13, 15.

Me halisi hujikita katika tabia si bikra, vipi Ke ambao bikra zao zilitoka tokana na shughuli ngumu kama kupanda milima, kuendesha baiskeli nao hawana tabia njema?

Real Men do just focus on material wives behaviorally but not virgins tha don't last forever in our daily life, wake up Men.
 
Habari wadau

Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa

Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume huyo na Anaonekana hana maturity.

Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
KAMA SIO BIKRA NA HAJAOLEWA HUYO NI MALAYA Kosugi
 
wanapigwa vitu vizito huko , hasira wanakuja kutumalizia sie huku,,ivi hizo bikira hadi zinatoka,tunajichokonoa na vijiti?, waende vijijini huko wakaeke oda za mabikira huku mjini wanaume wenyewe wanataka wataalam wa mapenzi bwan 😄,, hawajui mapenz wanataka wakutane na washamba wenzao.

Sasa hao wakija mjini wakipewa ujanja na wanawake wa salun au mtaani,pale anaposhauriwa kua hogo hazifanani radha,ndo watajuuuta,,, mxiuuu zao.

Nb:KUOA BIKIRA SIO KUPATA NDOA TULIVU,,AMKENI BASI NYIE MUCH KNOW.
MATALIA NA KUSAGA MENO!! KAMA SIO BIKRA WEWE NI MALAYA TUU
 
Nilioa

Mke Bikra nilidumu naye miaka mi5 tu nikashindwana naye tabia, nikaoa asiye bikra nadunda naye mwaka wa 9 sasa, pia bikra 3 nilizotoa kabla ya kuoa ziko kwenye ndoa zaidi ya miaka 13, 15.

Me halisi hujikita katika tabia si bikra, vipi Ke ambao bikra zao zilitoka tokana na shughuli ngumu kama kupanda milima, kuendesha baiskeli nao hawana tabia njema?

Real Men do just focus on material wives behaviorally but not virgins tha don't last forever in our daily life, wake up Men.
Weweee singo mazaaaa KAMA WEWE SIO BIKRA NA HUJAOLEWA WEWE NI MALAYA TUU
 
Hiyo assumption inareflect hali halisi kama ulikuwa hujui, hata tukiamua leo hii kwamba wanawake wote mabikira waanze kujitunza hadi ndoa maana yake kizazi cha wasiojitunza kitaenda kitapotea, kitaendelea cha wanaojitunza na hapo sasa wanaume wa kizazi hicho watajikuta wanakutana na sharti la no sex before marriage na kwa hicho kisingizio chenu cha nature sidhani kama mtatoboa hivyo mtarudi kule kule
Pumba.
 
Kuwasilisha tatizo sio kulalamika, naishi na ndugu, jamaa, majirani na marafiki naona yanayoendelea kwenye jamii kwaiyo haimaanishi kwamba kila nitakachokiwasilisha kimenitokea mimi binafsi

Wanaume hao wapo wengi sana, sio chaguo la wanawake kwa sababu wanawake ambao wapo kwenye age yao ni mapepe wana-prefer badboys over nice guys

Wanaume ambao hatupo interested na vishawishi vya wanawake tupo, mmoja wapo ni mimi mwenyewe. Wapo wanawake wengi ambao naona ishara zao za kufosi kingi lakini nawapuuzia.

Wapo wa kutosheleza, hakuna upungufu wa wanawake bikira kwa mwanaume mwenye uhitaji wa kuoa, nasisitiza tena bikira za kutosheleza mahitajo ya waoaji zipo.
Mabikra wapo wengi tu kaka, haya ma malaya hayafai hata kidogo kwanza mpaka idadi ya wanaume walio lala nao hayakumbuki
 
Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa

Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari

Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
KAMA SIO BIKRA NA HUJAOLEWA WEWE NI MALAYA KAMA MALAYA WENGINE
 
🤣🤣🤣 hapo ndo huwa nauliza swali mtu anasema umemtukana, mwenye alikuwepo wakati ya baba yake anatoa ya mama yake basi ana haki ya kukejeli na kutafuta bikira asisahau kuhakikisha wanae wanashuhudia ili waendeleze kaukoo ka mabikira,

Kuna walioandika tusio nazo tuuliwe, mwingine ni malaya, wanasahau uwepo wao ni kielelezo tosha kuwa mama zao hawana hizo bikira
Hebu wasamehe kwanza hawajui walisemalo bwan 😂
 
Wanawake wapenda mali wanapondwa sana mbona

Bikra haina thamani yeyote, ni kipozauongo.

Yaani kwa vile umepata njia ya kujua mwanamke hajafanya ngono, basi inakuwa rahisi zaidi kuamini hatochepuka.

Ni kama kuweka dukani mtu ambaye hajawahi kuuza biashara yeyote, na usimfuatilie kabisa ukiamini hawezi kuiba
KAMA SIO BIKRA NA HUJAOLEWA WEWE NI MALAYA KAMA MALAYA WENGINE
 
WANAWAKE MLIOSHINDWA KUJITUNZA NYUZI KAMA HIZI ZINAWAUMIZA SANA
😌 mbona unani quote sana,,kuna tuzo za kujitunza ili nianze leo?,,au ndo kuolewa napo nije niangukie kwa malaya mtoboa vitobo😌😌
 
Back
Top Bottom