Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Wanawake wanatetewa kwa mambo mbali mbali kwa sababu Ni viumbe dhaifu
 
BAHATI MBAYA KAMA ULIKUWA MALAYA NA UNATAKA UJITUNZE HILO HALITOWEZEKANA MAANA BIKRA HAMNA
Anhaa,, kumbe kama nilikua,, nilijua ushawahi niona mahali au video yangu ilivuja nikikobekwa bwan,, kumbe ni imagination
 
Umetema madini Sana we jamaa
 
Mwanaume kupimwa kwa pesa kama anauwezo wa kuihudumia familia ni sawa, ila mwanamke kupimwa kwa bikra kama ana uwezo wa kujitunza ni kosa la jinai. This degree of selfishness is beyond the limits.
 
Anhaa,, kumbe kama nilikua,, nilijua ushawahi niona mahali au video yangu ilivuja nikikobekwa bwan,, kumbe ni imagination
Mamake kafanikiwa kuirudisha kwani? Atuunganishe nae tupate mbinu
 
Narudia : KAMA SIO BIKRA NA HUJAOLEWA WEWE NI MALAYA KAMA MALAYA WENGINE
umesahau ku bold msemaji wa MALAYA sie, yote kwa yote, POLE KWA YALIYOKUSIBU KWA MALAYA ULIYE MUOPOA BILA KUJUA,una makasiriko na nyuchi ni zetu
 
Mamake kafanikiwa kuirudisha kwani? Atuunganishe nae tupate mbinu
Hehehe,,uyo mamake kwa jinsi alivo jiachia kwa kila size hata walete mbinu gani hairudi kamwe,,,atuache sie wamama wa wenyewe
 
Wanaomponda ni wale ambao wameoa wanawake waliokwisha tumika, ni kama wanajifariji tu. Utaowaje mwanake keshakojolowa na watu kibao we ndio unaowa.
Ahahahahaa..!!! Akikojolewa nje ukiwa ushamtoa bikra je?
 
UTAONGEA SANA ILA KAMA SIO BIKRA JIJUE TU WEWE NI MALAYA NA HUNA HADHI, NAJUA UNAUMIA KUSOMA HIZI MESSAGE ILA JIKAZE MAANA HUKUJALI KUJITUNZA
asante kwa kunisanua nilikua sijui,, ngoj nianze kuumia kuanzia sasa πŸ˜₯πŸ˜₯
 
Hehehe,,uyo mamake kwa jinsi alivo jiachia kwa kila size hata walete mbinu gani hairudi kamwe,,,atuache sie wamama wa wenyewe
Wengine mama zao hawana zote mbili lakini wapo hapa wanajishongondoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…