Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kama hutaacha kuna siku utashikwa tu tena kizembe kweli kweli. Mark my words. Na pengine utakumbuka maongezi haya na kuishia kucheka tu 😁😁😁
Kushikwa labda itokee tu bahati mbaya kama alivyosema mtu huko juu, labda mmenatiana πŸ˜€ Lakini sio eti unadakwa kwa kitu cha kizembe namna hiyo.
 
Naomba uniruhusu nikujengee sanamu lako pale nyuma ya makumbusho 😊😊
 
Me nilikuwa nimelala naamshwa na mtu analiaa nikajua huyu ameshayakanyagaa.. kashika simu analiaaa kukuuliza anasema toa password kuna kitu nimeona kwenye simu yako me nikasema kitu gani akasema msg ya mwanamke wako...

Aisee kufungua yule manzi akanyanganya simu akasema sii hii apa ananipa niisome nikaifutaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nkaanza kumuuliza iko wapi?? Manzi anachukua simu nishafutaa alilia balaaa me nikawa namwambia wew unaota labda...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Anyway aliishia kunipiga tuvibao twa hasria nikamtuliza tukalalaa asubuhi nikamuwekaaa haswaa kesi ikaishaa...
 
Ubarikiwe [emoji120] kwakweli na sisi hatutoacha kukataa
 
[emoji119] legend
 
Kah
 
Hiyo ni situation nyingine Mkuu.
Nimezungumzia hii iliyoletwa hapa.
Halafu kuona live na kuhisi bila uhakika ni tofauti.
Ilimradi tu sijamkuta akatae tu.
Naijua nafsi yangu ndio mana nikajizungumzia mimi
Kwahiyo ukikuta mambo meusi humuulizi? na kama utamuuliza ili iweje wakati unataka kudanganywa?
 
Angekubali pia ungelalamika anachepuka alafu haoni hata aibu anakufungukia ni kweli
 
Wanauwe uwa hawakubali hata iweje me wangu alikuwa anagoma na panic juu nikamuacha siku moja kajichanganya kwa mke wa mtu wakafumania kapewa kipondo Cha mbwa mwizi mpaka wafike polic yupo chakari hajielew binafsi nilitaman wangekata ata pumbu tuu maan tunawatoto 3 ila hajari Wala nn
 
Makosa mengine naweza kukubali ila la kucheat hata unikute ndo naisasambua mbususu nitakataa tu "kua huoni hata mjegeje haujasimama nilikua sifanyi kitu"
 
Wewe unalazimisha akubali kitu ambacho sio kweli, wanawake mnashangazaga sana πŸ˜† kwahio aseme kweli alienda kugonga ili uangue kilio kuwa kakosa nini kwako?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanaume kamili sifa ya kwanza usikubali makosa kwa mkeo kizembe, yani kama Gwajima vile ni mkonno wa baunsa sijui photoshop na mkewe akakiri mbele ya camera anampenda mumewe wala haina shida πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!

Mwanaume kuomba omba msamaha ni udhaifu, mi nilishageuzaga story na nilifumwa red handed. Hahahaha yani siku hio nguvu ziliisha connection ya ubongo na mdomo ilikuwa 0...Nilikuja kupangua hilo kwa namna ya ajabu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata ukimkuta anamwagia ndani Bora akatae tu eti?
 
Eeh
Hii ndio tabia ya mwanamke halisi, japo unajifanyaga kukomaa uambiwe ukweli ila ukweli huwa mchunguπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…