Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Sio mimi wameni EDIT. 😂🙌
Kuna mwamba alifumwa live na mwanafunzi(yeye ni tcha) akili za haraka alidai kuwa hawajafanya chochote kibaya bali alikuwa anamfundisha baioloji(biology) kwa vitendo!
 
Sasa ulitaka akubali ili umnyanyase kwa maneno ?

Mwanaume hutakiwi kukubali kubali makosa kwa mkeo au mpenzi.. me sijaoa ila siwezi kukubali kosa kamwe kwa mwanamke na kuanza kutia huruma kuomba msamaha.

Kukubali kosa na kuomba msamaha unatengeneza bom kubwa sana hata akisema amekusamehe..

Mwanamke wangu lkn sjamuoa alikutaga sms napanga na mwanamke mwingine kuzagamuana ila nilruka futi 2000 na kuwa mkali na kufoka juu mpka leo hatakagi kushika sim yangu na me yake sishiki hata kama napigiwa huko sitaki kushika sim yake kikubwa ananiheshimu na kunisikiliza basi
 
Mwanaume hata ashikwe Red-handed hatakiwi kukubali
Atafute sababu ya kupanga hoja na kueleza hakuna kilichofanyika.

Ikiwezekana amsingizie huyo mwanamke ni mchawi na mshirikina.

Mwanaume kukubali Kwa mdomo ni Kuruhusu Mkeo alipize kisasi Kwa ushahidi wa mdomo.

Mwanamke anaamini maneno zaidi kuliko anachokiona.
Mwanamke ukimuambia Fulani umetoka naye anaamini zaidi kuliko akikufumania ukakataa katakata Kwa kuapa na kugaragara
 
Sasa kweli na wee unajshije sinza na na mume kbsa wa ndoa Kama siyo kujitafutia matatizo kitendo Cha kusema mmnaishi sinza bas Happ Happ nikaona lzm jama awe mchepukaji mzuri sanaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Yawezekana hata yeye anachepukiwa.
Sinza maeneo ya kulia wadada wazuri.
Anapangishiwa nyumba safiii aafu anajiona mke
 
Mamaa toa location tulete posa acha kutukazia hivyo.. i promise mimi nitakua sikudanganyi [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa ila account YAKO inasoma vzr? Wanangu watarajiwa wasije lala njaa na wakakosa ELIMU[emoji849][emoji849]
 
Mwanamke ni trafiki
Mwanaume ni gari.

Elewa concept
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa ila account YAKO inasoma vzr? Wanangu watarajiwa wasije lala njaa na wakakosa ELIMU[emoji849][emoji849]
Unaliwa kimasihara soon.

Tutakusoma kulee
 
Hapo wa kulaumiwa ni bodaboda
 
kwanini asitumie falsafa ya mwana FA, naye akalipize abanduliwe tu hapo jirani Sinza ili kupunguza maumivu? lkn haitafuta machungu. Ngoja nimtafutie music wake
Ushauri bora kabisa...tena uzuri yeye anachagua nani wa kumpa mbussu yake
 
Pokea hiyo hela kwanza kisha baadaye tutasoma.ujumbe[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sipokei hela ina nataka kujua akiba yake tu mimi[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Na huyo rafiki aloenda kumuona hawajawasiliana kwenye cm wana muda aliendaje bila mawasiliano?
Wadau tunajuana mimi marafiki zangu najua nawakuta wapi na wao wanajua wananikuta wapi apo me namtetea mwamba asingeweza kuchukua risiti huo sio ushahidi izo ni dhana zako tu mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…