Hilo sio tatizo account inasoma vizuri japo nina mpango wa kwende kuchukua kila kilicho changu na kukiweka ndani ili kukimbia tozo, hope utakua mtunzaji mzuri mremboo[emoji846][emoji846][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa ila account YAKO inasoma vzr? Wanangu watarajiwa wasije lala njaa na wakakosa ELIMU[emoji849][emoji849]
Weeeee usiniambie [emoji4][emoji4]Hilo sio tatizo account inasoma vizuri japo nina mpango wa kwende kuchukua kila kilicho changu na kukiweka ndani ili kukimbia tozo, hope utakua mtunzaji mzuri mremboo[emoji846][emoji846]
Au ukiwa family accountant ndo utanunua vijora kila siku [emoji4][emoji4]Weeeee usiniambie [emoji4][emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi sio material wife bali ni wife material nimefunzwa nidhamu ya pesaAu ukiwa family accountant ndo utanunua vijora kila siku [emoji4][emoji4]
Ewaaa tuhamie zetu pm sasa maana huku kina mzabzab mzee wa mbususu hawachelewi kuharibu [emoji4][emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi sio material wife bali ni wife material nimefunzwa nidhamu ya pesa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu wa aina yake hawanistui hataEwaaa tuhamie zetu pm sasa maana huku kina mzabzab mzee wa mbususu hawachelewi kuharibu [emoji4][emoji4]
[emoji1][emoji1][emoji1] sawaa mamaa chungulia pm yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu wa aina yake hawanistui hata
Mimi bora akatae tu hivyohivyo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa. Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.
Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akatae tu ila akikubali amenimaliza kabisa.
Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Itoshe tu kusema papuchi moja inachosha vibaya mno!wengine watakuja kujazia
Kwahiyo ukikutwa kifuani utadanganya kwamba ulijikuta tu ghafla Upo pale au?
Mbona hiyo nayo ni reference tosha hata kama ulikataa
UmenenaPapuchi moja kila siku, wiki, mwezi, mwaka, miaka inachosha mnoooooooo, cha mhimu ahudumie familia, asilete magonjwa na asihamie kwa mwingine. Ukiona anatimiza hivi mshukuru Mungu na mshukuru mmeo! Wcha upumbavu, wanaume kama wanyama wengine wote hatujaumwa kuwa na jike moja NEVER!
Hzi gest wanazotoa risit ziko wap.. kwa hal ya kawaida ni ngum sana kwa mwanaume niende kula tunda halaf niombe risitHabari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?
Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.
Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.
Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.
Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].
Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Walichat telegram, whatsapp, walipanga tokea yupo safari hajarudi bado, walikutana mtaani wakaahidiana kuonana muda fulani wapeane dili za hela.Na huyo rafiki aloenda kumuona hawajawasiliana kwenye cm wana muda aliendaje bila mawasiliano?