mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
- Thread starter
-
- #101
Wengine ni matapeli,
Anakutamanisha na Bei rahisi ila gari iko mikoani ili ukikolea anakuambia tuma hela ya mafuta uletewe Dar.
Hawa Janinternational mbona ndo wanaongoza kwa bei juu, halafu gari yoyote wanayosema ipo kwenye offer ukifika ofisini kwao wanakuambia haipoShow room Dar wako cheap zaidi ya Mwanza. Kwa baadhi ya showroom ambazo zina brach Mwanza kama Jan International bei hazitofautiani na Dar
Hawa Janinternational mbona ndo wanaongoza kwa bei juu, halafu gari yoyote wanayosema ipo kwenye offer ukifika ofisini kwao wanakuambia haipo
Mwanza ni mji wa watu wenye hela, madini, samaki, etc. Hivyo mtu akitumia gari kidogo anataka apate lingine unakuta magari mengi yapo sokoniHabari za asubuhi wakuu.
Kwa muda kidogo nimekua nikifanya utafiti mdogo wa madalali wauzaji wa magari instagram na social media nyingine.
Kuna kitu nimegundua nikaona nijadiliane nipate majibu sahihi.
Nimeona madalali wa mwanza wanauza gari kwa bei rahisi sana ukilinganisha na wa Dar es Salaam (kwa gari zenye specificationa sawa)
Mfano
Toyota crown
Mwanza nakuta nyingi average milion 8 (zinaanza 7m mpaka 10m hivi) ila dar es salaam average milion 11 (zinaanzia 10m mpaka 13m).
Toyota mark x
Mwanza around 5.5m mpaka 7m, ila Dar es salaam around 8m mpaka 11m
Toyota kluger
Mwanza 9m mpaka 14m.. ila Dar es salaam 14 mpaka 18
Toyota harrier tako la nyani
Mwanza 14m mpaka 18m
Dar 16 - 22m
Sasa ndugu zangu naomba kujua sababu ya utofauti huu mkubwa wa bei! Je madalali wa Dar ni kwamba wanapiga cha juu kingi au watu wa mwanza wana pesa sana ndio sababu wanauza bei ndogo?
Maana nimeshawishika kidogo kununua harrier kwa hawa jamaa wa Mwanza maana bei zao kitonga sana.
Nawasilisha
Mwanza ni mji wa watu wenye hela, madini, samaki, etc. Hivyo mtu akitumia gari kidogo anataka apate lingine unakuta magari mengi yapo sokoni
Dar wanaume wamegoma kufanya kazi nyingine zozote zile wanataka wote wawe madalali ili baadae tukutane kidimbwi,Bei zao za magari haziwezi kua rahisi milele.Hii kitu imeniwazisha sana na unakuta gari iko very good condition.
Nna marafiki kadhaa wamenunua mwanZa na zipo very clean
Mkuu nenda ucheki mijengo yao tu uone ilivyobalaa, jitu kulikuta lina vi billion ni kawaida.Aisee wasukuma wako njema kumbe
Jibu sahihi kabisa,Dar/Arusha mtu alikupa tu no. Ya mwenye Gari/ kiwanja tu nae anajiweka kama dalali tayari anafukuzia posho hapo.Ndio hua Wanapakwa Mafuta tu.Pumbavu zaoBinafsi sina gari ila nachangia kama mkazi wa maeneo ya Mwanza.
Mwanza magari yapo ya hali nzuri sana na kinachofanya bei iwe nzuri ni kwamba watu wa huku wapo real sana na hawapendi ubabaishaji. Biashara nyingi za huku hazipitii kwa dalali. Huku hata kiwanja utakipata kwa bei kamili toka kwa mnunuzi. Wengi wanaamini dalali anaweza kukufanya bidhaa yako isinunulike hara kwa kujipangia bei yake.
Taarifa ya kuuzwa kwa kitu huku unaweza kuipata kwa mtu na huyo mtu akakupa hadi namba za mwenye mali . Kwa daslam kuonana na mwenye mali hiyo ni bahati ya mtende. Kwahiyo niseme tu huku sio gari hata kiwanja ukiuziwa 2M jua ni ndio hiyo pesa imemfikia mwenye kiwanja.
Dar wanaume wamegoma kufanya kazi nyingine zozote zile wanataka wote wawe madalali ili baadae tukutane kidimbwi,Bei zao za magari haziwezi kua rahisi milele.
Mkuu nenda ucheki mijengo yao tu uone ilivyobalaa, jitu kulikuta lina vi billion ni kawaida.
Hahah hii ndio dawa Yao.Safi sana mkuu.Halafu wanaendekeza njaa,kuna mwaka niliuza gari kupitia dalali wa migo pale bila yeye kujua,baadae huko akaja kujua yule mteja aliyomleta ndie niliemuuzia alilalamika sana nimpe hata ya maji lakini ndio ikawa too late,mteja kafika bei niitakayo mimi na tena laki 7 juu,dalali hataki kuuza eti laki 7 ndogo na hapo hapo kwangu ilibidi ale kama 2 hivi,dogo wangu mmoja akachukua namba ya mteja kijanja pale pale,tukamuita docho tukafanya biashara
Jamaa wanaendekeza njaa sana waleHahah hii ndio dawa Yao.Safi sana mkuu.
Binafsi huwa nikipata namba ya gari huwa sihangaiki na madalali bali naangalia usajili ni nani mmiliki ila changamoto huwa inakuwepo iwapo aliyeuza mwanzo hakubadilisha jina, ila huwa kafanikiwa kuunganishwa na huyo mwenye jina lililopo kwa kadi ya gari hilo.Dah aiseeh hapo kuipata gari straight kwa mmiliki ndio changamoto ilipo.
Unaeza kutusaidia mbinu gani tunaweza tumia kuwakepa madalali, kumpata mmiliki moja kwa moja?
Maana unaweza kuta unaliwa zaidi ya 4m na madalali
Na ktk hao madalali wa hapo mitaa ya Mlimani city Kuna mmoja nimemuona amechangia kwny hii thread kwa kirefu tu.Aisee walikufanyiaje mkuu fungula kidogo? Maana hawa jamaa wajanja sana ili tujifunze
Tatizo la gari hili linaweza kuwa nini?Uongo ni mazuri. Mi nilinunua langu huko na Nina miaka miwili wala halina shida youote
Naona dalali wa Dar umekuja kwa kasi ya hatari
Heshima yako dada yangu.. maroon π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe hua ni matapeli nilikuwa nawaaminiHawa Janinternational mbona ndo wanaongoza kwa bei juu, halafu gari yoyote wanayosema ipo kwenye offer ukifika ofisini kwao wanakuambia haipo