Kwanini Mwenyezi Mungu hupenda sana Kuwazawadia Wakristo Mvua Siku za Pasaka na Krismas huku wengine akiwakaanga na Jua Kali tu?

Kumbuka mvua huleta maafa pia,huko Afrika kusini mvua imeleta mafuriko,watu 300,wamefariki,na mvua hiyo imetokea kipindi hiki cha Pasaka.
 
Ewe qumer,huna maarifa yoyote,ulitaka kumjua Muhammad na dini yake,kasome Qur'an...Ila ungekua na maarifa,usingemuabudu yule mungu aliyemtia mimba mama yake ili yeye azaliwe
Mutah boy, Koran ni kakitabu hakafiki ata index ya Biblia ,nimekakariri chote na plus Hadith maelfu na tafsir za kutosha
Usitoke nje ya mada
Tunajadili govi la muhammad na anapitia wanawake wapo bleed alikuwa anamatatizo gani?

When ever Muhammad wanted to fondle any of his wives during the periods (menses), he used to ask her to wear an Izar. Sahih al-Bukhari 303
 
Saivi kifuku
 
Mmmmh nasubiri majibuu juu ya huu uchafuu mkubwa
 
Uchochezi
 
How many times Mohamed wrote in Quran
 
Mungu hajawahi kusema nitawashushia mvua wa dini fulani tu na wengine hapana alisema nitawashushia mvua kutoka juu bila kubagua wewe ni nani halafu kumbuka kuna nchi kama huko England kutwa wanashinda Pub kunywa lakini Mungu anawashushia mvua mpaka wanaichukia. Rizki anapewa kila mtu hata kama humuabudu yeye anagawa rizki.
 

Kwa misimu mizuri tanzania; mwezi wa nne ni mwezi wa Mvua nyingi za masika na hata tarehe za mwisho wa mwaka ni mvua za Vuli kwa maeneo yenye vuli. Hiyo miezi mingine mvua zinakuwepo ila hazina uhakika wa lini zitegemewe
Majibu ya maswali mengine yanahitaji maarifa kidogo tu
 
Hata Mimi nashangaa
Kwanini kila mwezi wa sita kuna baridi.
Geography ni somo zuri sana
 
Ratiba ya kula tubadilishe sisi kuumia waumie wengine mbona nyinyi mnafungisha ndoa jinsia moja kwenye nyumba takatifu hakuna aliyewazuia.
 
Hii ina thibitisha kuwa;

Yesu Kristo ni Mkombozi wa Ulimwengu.

Kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu Kristo ni Bwana yaani Mtawala wa Ulimwengu wote.

Kuna Siri kubwa sana katika kuzaliwa, kukua, kuteswa , kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…