Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Nyerere aliona bora Mmalawi Karume kuliko Mkenya Okello.Usisahau Karume katoka Malawi 🇲🇼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere aliona bora Mmalawi Karume kuliko Mkenya Okello.Usisahau Karume katoka Malawi 🇲🇼
Ulikuwa na umri gani mwaka 2012?Nafikiri kuna kila sababu za kuanzisha Vuguvugu la Wazi kwa vitendo ili kupinga kabisa huu Muungano fake, kwa sababu kila kukicha Mambo mapya mabaya yanazidi kuibuka kuhusu Muungano huu.
Wa kumjibu Hakuna wameshila Tama tu woteTatizo la Lissu anaongea kisomi!
Nimekukamata!Wa kumjibu Hakuna wameshila Tama tu wote
Kwa nini Mkuu?Unaweza Dhani wenye shida na Muungano ni Wazanzibar kumbe ni Bara 😁😁
Sio wabara, sema wana CCM.Unaweza Dhani wenye shida na Muungano ni Wazanzibar kumbe ni Bara 😁😁
😅😅😅🤣Nimekukamata!
Ulisema unataka hata vitukuu vyako waurithi Muungano?
Mjibu Lissu sasa.
Niko hapa nasubiria kusikia utakachosema!
Miaka mingi tu.Ulikuwa na umri gani mwaka 2012?
Kwa hiyo na usomi wako wote unashindwa kumjibu Lissu?😅😅😅🤣
Mimi Naupenda Muungano Ila Tatizo Hoja za Lissu Ni Za moto Sana🤣🤣
Haswaa Umepatia Japo Mimi mzanzibar Ila naipenda Tanganyika sanaKwa hiyo na usomi wako wote unashindwa kumjibu Lissu?
Najua unaupenda Muungano, lakini unaipenda zaidi Tanganyika!
Mzanzibar🥺Haswaa Umepatia Japo Mimi mzanzibar Ila naipenda Tanganyika sana
Ama kweli maisha mafupi. This is IRONIC. Lissu ni yule yule. Mwenyekiti wa kikao ndiye Rais wa sasa Awamu ya 6. Lissu anasema "tusiporekebisha ... mbele ni giza tupu; ... ni vita. Na watakaoianzisha ni hao hao wanaofumba macho"!Kama Kuna mtu anaweza kumjibu Lissu Video hii hapa ajibu
View attachment 2978870
Tujue kwanza katiba ya Zanzibar inasemaje kuhusu watu wenye sifa za kuteuliwa wakuu wa Wilaya huko Zanzibar.Hili ni swali lenye lengo la kuhitimisha Mjadala wa kero za Muungano .
Tunataka kujua kama Micheweni, Kikwajuni, Chakechake au labda Kizimkazi kama ameonekana DC yeyote mwenye vinasaba vya Tanganyika.
Maana huku Tanganyika wapo Wazanzibar waliopewa hivyo vyeo, akiwemo Shaka Hamdu Shaka ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa.
Kwa Heshima na Taadhima Naomba kuwasilisha.