Hata huyo Shaka ukimfuatilia utakuta kuwa wamekuja zenji baada ya mapinduzi. CCM zanzibar, 98% ni watu wenye asili ya bara. Wazanzibari asili wamekataa kabisa masuala ya muungano ndio maana kila kukicha tunaletewa jeshi na nyimbo ya mapinduzxi daima.