Km kweli haya unayoongea basi hicho kifo ni zaidi ya ajali kuna mengi nyuma ya pazia.
anyway
Huyu alishapewa ushauri hapa toka mwanzo kuwa wasikubali kuzika sasa kama wamekubali kuzika kwakweli ametuangusha sana sanaHiki nini tena huko Lindi???!!!?????
Mleta mada weka wazi habari yote kama ilivyo ili umma wote ujue nini hasa kimetokea...?
Muulize kama wamezika au bado?Natumaini Upelelezi Utafanyika Update Haki Yako.
Mungu wa Mbinguni afunue jambo hili na wahusika wawajibishwe.
Naomba hayo Kwa Jina Takatifu La Yesu. Amina.
USM ndio wapi mkuu?Mkuu so utafute msaada wa sheria kwa wanasheria?
Wapo wa bure pale USM, zipo NGO kibao zinatoa huduma...
Mtu mzito nani? Hii dunia hakuna mtu mzitoShida unakuta alie sababisha ajali ni mtu mzito.
Au mtoto alikua anetoka kwenda mazingira ambayo hawataki yazungumziwe.
Acha ujinga, mwili unafukuliwa unafanyiws uchunguzi upya,Mkuu ni kuulize mlikubali kuzika? Kama mlikubali kuzika bila uchunguzi basi umetupotezea muda sana na akili zetu tuliotoa ushauri! Nauliza tena mlikubali kuzika? Kama mmekubali basi case closed
Jibu maswali ya huyo member ni muhimu sana, na mm swali langu ni moja kuona kidonda mguuni inaaashiria vipi kwamba mtoto aligongwa?Hacha ndugu yaani ni hatari sanaaa
Nchi ngumu hii. viongozi hovyo, raia nao hovyo. Hivi ina maana hamjui tatizo liko wapi? Unamwambia Samia aingilie kati wakati yeye ndiye chanzo cha tatizo? Hamuewi wapi?Tanzania yetu inaelekea wapi jamani.
Kuna mwanafunzi wa UDOM alikufa kiajabu ajabu na kuhusishwa na waziri ila ikazimwa tu. Na hili pia litazimwa.
Samia hebu ingilia kati basi. Uraisi sio picha zako kusambazwa mji mzima kusifiwa, uraisi ni kusimamia haki pia. Hii imezidi sasa.
Ni kupoteza muda bure. Kuna cases nyingi za watu kufariki katika mazingira kama zimefunguliwa lakini hazifiki kokote. Tatizo ni mfumo wetu wa uongozi na dawa yake ni kila raia kudai mabadiliko. Leo ni yule, kesho ni mimi, na keshokutwa ni wewe. Kila mtu ataonja madhara yake kwa wakati wake.Dawa yao ni kufungua kesi mahakamani iliuchunguzi ufanyike, pole sn mkuu
Raia ya Bongo hakuna tofauti na nyumbu. Halafu unakuta mtu anarudia tena huko huko tena anaomba asaidie. Yaani watu wanalipwa kwa hiyo kazi lakini mpaka waombwe.Huu utamaduni wa kufumbia macho uovo/Utendaji mbovu ndio unaiangamiza jamii.
Wazazi hamjamtendea haki kabisa binti yenu. Ilitakiwa Mgome kabisa kupokea maiti, au atleast mgome kuzika mpaka mpate taarifa za kutosha.
ngapi mpaka umauti ulivo mkuta.
Kama kuna wanasheria humu tuendelee kumpa msaada mtoa mada.
Kuna wale watu wa haki za binadamu nadhani wapo vizuri kiasiNi kupoteza muda bure. Kuna cases nyingi za watu kufariki katika mazingira kama zimefunguliwa lakini hazifiki kokote. Tatizo ni mfumo wetu wa uongozi na dawa yake ni kila raia kudai mabadiliko. Leo ni yule, kesho ni mimi, na keshokutwa ni wewe. Kila mtu ataonja madhara yake kwa wakati wake.