mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Km kweli haya unayoongea basi hicho kifo ni zaidi ya ajali kuna mengi nyuma ya pazia.
anyway
Hapa kuna jambo zito sana hatulijui.
Mtoto kakutwa na matatizo akiwa shule,shule imemualika DC na OCD wakaja kuwa wapokezi wa mama mzazi wa mwanafunzi,kibabe tu anaporwa simu.
Labda mdogo wetu aliishaanza kuwa mtumishi wa idara yenu hii ya kiwaki.nimewaza tu sina uhakika maswali ni mengi.