Pole sana mkuu kama mzazi inasikitisha sana, tatizo humu mmevamiwa na dot. Com,na vi tiss uchwara ambavyo vinajifanya ni semi God's, nchi imepoteza heshima na adabu yake, iam afraid hii case ina kila dalili itakua ni cold case soon, kama mzazi uamua mwenyewe how to revenge ushenzi na unyama huu, kumbuka kifo cha dada Akwilina, eti risasi imeenda juu na wakati wa kurudi ndio ikamuua ,huu ni uongo wa kinyama, kama upo nje ya royal families sahau haki yako, u need to push back mwenyewe, samahani kwa hili ila ndio ukweli wenyewe, unafiki sio mwema pole sana