πππππMoja ya muislamu ninaemkubali humu kuna jamaa anajiita @mjingamimi, ni kweli jamaa ni mjinga kweli kweli kama walivyo waislam wengine.
Utofauti wa pekee wa jamaa ni kutopretend kinyume chake pale anapochangia Mada ama kuanzisha tofauti na Waislam wengine wanavyotumia nguvu kujifanya kuwa si wajinga wakati ni Wajinga hata Quran imewaita Wajinga.
ππNasinziaWewe unayeandika huwa uko macho kweli ??
Kama una akili tafuta miji hatari zaidi dunia ,hakuna wa kiislamu.
Vita hivyo ni ujinga wenu kutaka kupeleka mila zenu kwa mgongo wa vibaraka ,watu hawawezi kukubali katu bora vita kila siku kuliko dominance ya wakristo wa magharibi ni hatari sana.
Pale libya ,iraq, syria palikuwa safi mpaka mlivyoingia ,mbona hao watu hawaji kweny nchi zenu kupeleka majeshi ?
Achani ujinga makundi yote ni yenu hao ISIS ni nyie sio rahisi kuumaliza uislamu, mnatumia pesa kibao kila mwaka ila wapi π π π ukweli unajulikana
ππItakuwa π π π
Mkuu, weka na maandiko kabisa.Kanuni ni rahisi sana;-
Uislam:-ujamaa
Ukristo:-ubepari
Wanapaswa kujibu iwapo Yesu alikuwa Mzungu ama Myahudi.Aliyekwambia Ukristu ni wa wazubgu ni nani?
Haya umeandika sawa! Tupatie ushahidi na tupatie sababu ya hayo maneno. Kwa sababu kila kitu katika Qur'an au hadithi agizo lake lina sababu yake ya kutoka. Yaani chanzo ni nini mpaka limekuja hilo agizo.Mtume: Auaye kwa ajili ya Allah atapewa thawabu nyingi.
Upanga ndiyo silaha ya kwanza apewayo mslimu wa Uislamu.
Kwa upande mwingine, mwongofu wa Ukristu hupewa Upanga wa Neno is Mungu.
Yesu: Auaye kwa upanga, atakufa kwa upanga.
Mtume: Auaye kwa ajili ya Allah atapewa thawabu nyingi.
Sijui umenielewa?
Mkuu, weka na maandiko kabisa.
Achana na stori zenu za kwenye vijiwe.
^Hakuna mtu awezaye kuwatumikia mabwana wawili, kwa sababu atamchukia huyu na kumpenda yule; au atashikamana na huyu na kumdharau yule. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.^ ~ Mathayo 6:24
View attachment 2943505
Kafiri ni Mtu yeyote asiyeamini IMANI fulaniβ¦kafiri Katika ukristo ni mtu yeyote asiyeuamini Ukristo, na kafiri katika uislam ni mtu yoyote asieamini uislam.
Unataka uthibitisho?Kwa hiyo tupatie aya au hadithi inayosapoti kauli yako. Na kama ni Qur'an nipatie tafseer na siyo translation (tarjama).
Unataka uthibitisho?
Angalia wale Waislamu wauaji wanatamka maneno gani wakati na baada ya kutekeleza ujahili wao?
Maana yake ni kwamba hivyo ndivyo Kurani imewaelekeza kufanya.
Dini ya Uislamu ni ya ulazimishaji, ndiyo maana hata kwenye mfungo wa Ramadhan huwa mnawabeza na kuwatukana wasiofunga.
Mbaya zaidi, kwenye nchi na maeneo waliko Waislamu wengi kama Zanzibar, Uarabuni, nk, huduma muhimu za kijamii kama chakula na maji zinasitishwa kisa tu nyie mko kwenye mfungo.
Kamwe hiyo haiwezi kuwa dini ya Mungu wa kweli.
Sure, jamaa uwa anajipambanua Mapema sana kwa mtu yoyote anaejadiliana nae. So kazi ni kwako wewe unaejadiliana nae, umwacha kama alivyo ana uendelee kumpa Facts kitu ambacho kwake hazifanyi kazi.πππππ
Yesu: aliyeniona Mimi, amemwona Mungu. (Yohana 14:5-9).NYINYI WAKRISTO MNAMKANA YESU KWA KUSEMA KUWA YEYE NI MUNGU WAKATI KUNA MUNGU NA YESU ALIYETUMWA NA MUNGU, HUO NI UKAFIRI MKUBWA
Unaweza kufafanua maana ya maandiko haya?Na Yesu kasema:
"Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Marko 12.28.
"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe".Yohana 5.30 "
Ninapaa kwenda kwa...Mungu wangu naye ni Mungu wenu." Yohana 20.17 )