Kwa nini waumalize Uislamu na sio kuumaliza Uhindu, Ubudha na Ukristo. Kwa nini nyie tu ndio muhusishwe na Ugaidi na sio Budha wa kichinaAchani ujinga makundi yote ni yenu hao ISIS ni nyie sio rahisi kuumaliza uislamu, mnatumia pesa kibao kila mwaka ila wapi π π π ukweli unajulikana
KAFIRI WEWE MBONA HWISHII KUKERA WATU UNATAKA KUVURUGA UZI`` umechanganyikiwa
mpumbavu huyuhuyo ni kafiri kaweka mapicha kachoka kaona kapuuzwa sasa amekuja na id hiyo kuvuruga
uislamu umesimamia katika misingi yake ya haki na hautaki kupindishwa hao wengine wanafanya maamuzi kulingana na situation ila uislamu wanaangalia quran inasemaje.Kwa nini waumalize Uislamu na sio kuumaliza Uhindu, Ubudha na Ukristo. Kwa nini nyie tu ndio muhusishwe na Ugaidi na sio Budha wa kichina
Kwa hiyo unakiri kuwa Mungu ni Baba?Tuanze na hii
Yesu: aliyeniona Mimi, amemwona Mungu. (Yohana 14:5-9).
Wacha tuangalie muktadha:
βFilipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, nasi yatutosha. Baba; nawe wasemaje basi, Utuonyeshe Baba?
Yohana 14:8-9
Filipo alitaka kumwona Mungu kwa macho yake mwenyewe, lakini hii haiwezekani kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kufanya hivyo. Biblia inasema:
"Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote," Yohana 1:18
"Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote," 1 Yohana 4:12
"Na Baba mwenyewe aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamjaiona." Yohana 5:37
Lakini walikuwa wakisikiliza sauti ya Yesu na kumtazama akiwa amesimama mbele yao!
Yesu alikuwa anatuambia tu kwamba matendo yake mwenyewe na miujiza inapaswa kuwa uthibitisho wa kutosha wa kuwepo kwa Mungu bila Mungu kushuka kimwili na kujiruhusu kuonekana kila wakati mtu ana shaka.
Hii ni sawa na kwa mfano:
1)Yohana 8:19: "Wakamwambia, Baba yako yuko wapi? Yesu akajibu, Ninyi hamnijui mimi, wala Baba yangu; kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba yangu."
2)Yohana 12:44 "Yesu akapaza sauti, akasema, Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi, bali yeye aliyenipeleka."
3)Yohana 15:23 "Yeye anichukiaye mimi anamchukia na Baba yangu."
4)Mathayo 10:40-41 "Awapokeaye ninyi, anipokea mimi (Yesu), naye anipokeaye mimi, anampokea yeye aliyenituma. Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki."
5) Waamuzi 13:20-22 inasema: βIkawa, huo mwali wa moto ulipopaa juu mbinguni, kutoka katika madhabahu, ndipo malaika wa BWANA akapanda katika mwali wa moto wa madhabahu, Manoa na mkewe wakatazama. wakaanguka kifudifudi, lakini malaika wa BWANA hakumtokea tena Manoa na mkewe.β Ndipo Manoa akajua ya kuwa yeye ni malaika wa BWANA.β Manoa akamwambia mkewe, Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu."
Ikiwa tunataka kusisitiza kwamba wakati Filipo alipomwona Yesu (AS), alikuwa amemwona Mungu "Baba" kimwili kwa sababu Yesu "ndiye" Baba na wote wawili ni "Utatu," na Yesu ni "mwili" wa Mungu, basi. hii itatulazimisha kuhitimisha kuwa Yohana 1:18, 1 Yoh 4:12, Yoh 5:37..nk. yote ni uongo.
Je, Filipo ndiye pekee ambaye "alimwona baba"? Hebu tusome:
"Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."
Yohana 6:46
Ni nani huyu "aliye wa Mungu" na amemwona Baba unayemwuliza?
Hebu tuulize tena Biblia:
βYeye aliye wa Mungu husikia maneno ya Mungu; Yohana 8:47.
Na
"Mpenzi, usifuate uovu, bali wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu." 3 Yohana 1:11.
Je, watu wote ambao wamefanya mema pia wamemwona Mungu kimwili?
Kama kuna watu ningetamani kukutana nao basi ni wewe mwamba,,,, huwa unanikosha sana na sentensi zako fupi fupi,,,huna mambo mengi
Kama ningekuwa mkristo wallah kwakufuata hoja zenye akili ningesilimu chap
Katika biblia kuna mambo yanajichanganya sana kwakweli,,, ndio maana viongozi wao hawatakagi maswali.
Namshukuru Allah kwa hii neema ya uislamu.
uislamu umesimamia katika misingi yake ya haki na hautaki kupindishwa hao wengine wanafanya maamuzi kulingana na situation ila uislamu wanaangalia quran inasemaje.
Kwa hiyo unakiri kuwa Mungu ni Baba?
Bible haitoi mwanya wowote wa kulipiza kisasi kwa kumwaga damu, ndio maana hata kipindi Yesu anakamatwa na askari mmoja wa wanafunzi wake alichukua kisu na kumkata sikio askari, ila Yesu akamkataza na kisha kuponesha sikio hilo...kulingana na tafsiri yako,,,,,kwani bible inasemaje kuusu kuuwa?katiba hazitoi pia haki ya kuuwa ikiwa imethibitishwa na mahakama?
hao NATO hawauwi watu kwa maslahi ya nchi yao?iweje muislamu akitaka kuikomboa dini na imani yake aonekane ni gaidi?
Tufautisha Makundi ya kigaidi na Makundi ya Dawa za Kulevya... Haya ni makundi yenye malengo tofauti
Ndugu zangu waislam tususie na Tuacheni kutumia bidhaa za makafir mashia kama mo Energy. Tutumie Azam energy na bidhaa zake.hujielewi
Hujajibu swaliHiyo ni lugha ya biblia
Hapo ndo palivuruga Kila kitu nahsi.Upanga ndiyo silaha ya kwanza apewayo mslimu wa Uislamu.
Kwa upande mwingine, mwongofu wa Ukristu hupewa Upanga wa Neno la Mungu.
Yesu: Auaye kwa upanga, atakufa kwa upanga.
Mtume: Auaye kwa ajili ya Allah atapewa thawabu nyingi.
Sijui umenielewa?
Usitegemee kujibiwa. Huyo kamezeshwa madrasani, anachojua ni kupambana tu hata kwa hoja za uongo.Hujajibu swali
Maana ya UgaidiKwani ugaidi kwa tafsiri yako ni nini ??
Ndio unatakiwa kujua hivyo , sheria za uislamu ndio zinapinga mifumo yao kama riba ,dhulma ndio kikwazo kwao.Kwa nini waumalize Uislamu na sio kuumaliza Uhindu, Ubudha na Ukristo. Kwa nini nyie tu ndio muhusishwe na Ugaidi na sio Budha wa kichina