Huko kwenu tu Tz Mama samia alipiga vigelele vingi baada ya matokeo ya Sensa kuona wanawake ni wengi zaidi ya wanaume, basi ata hisia hupati kwa nchi zilizobaki ulimwenguni?Kabla hata hatujafika mbali nipe ushahidi wa hili maana naona ni upotoshaji wa hali ya juu.
Kwasasa duniani wanaume ni wengi kuliko wanawake.
View attachment 2479104
... wivu tu umekujaa na wewe! Hutaki ku-share?Tukubaliane na ukweli tuu
Kwa Adam Kummudu Mwanamke mmoja tuu (Hawa) ilikua shughuli pevu
Kwa Ibrahimu alijaribu kwa kijakazi moto ukawaka
Kwa Isaka mke alimzidi ujanja akajikuta kampa baraka Yakobo na kumwacha Esau na wote ni watoto wa tumbo moja tena mapacha
Sembuse wa leo
Binafsi mimi sijatosheka bado ili niletewe msaada🤣🤣🤣
... wivu tu umekujaa na wewe! Hutaki ku-share?
... huo si ndio wivu wenyewe mama D? Sijakuelewa vipi sasa.🤣🤣🤣🤣hujanielewa, sio wivu
Nimesemaaaa, Mimi mwenyewe hajanitosha..... yaani ni bampa to bampa
Sasa hiyo habari ya kugawana siku mimi nitaiwezea wapi jameni!? Hata yeye anajua☺☺
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Mkuu ni wewe uliyeandika hivi?
Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.
Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.
Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.
Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
... huo si ndio wivu wenyewe mama D? Sijakuelewa vipi sasa.
Google usiiiamini kwa kila kitu bro utapoteaKabla hata hatujafika mbali nipe ushahidi wa hili maana naona ni upotoshaji wa hali ya juu.
Kwasasa duniani wanaume ni wengi kuliko wanawake.
View attachment 2479104
Sensa ya Tanzania wanawake ni wengi kwa Milioni 1 tuMkuu ni wewe uliyeandika hivi?
Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.
Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.
Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.
Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
Watu hukurupuka tu bila takwimuKabla hata hatujafika mbali nipe ushahidi wa hili maana naona ni upotoshaji wa hali ya juu.
Kwasasa duniani wanaume ni wengi kuliko wanawake.
View attachment 2479104
Mkuu nakuomba sana lete reference nani Saudia na Uturuki amezuia ndoa za kuoa mke zaidi ya mmoja katika Uislamu usinilitee habari za google na Wikipedia, hivi kumbe wewe umekuja na habari hizi kwa sababu ya google search, unaweza kunambia hiyo taarifa uliyosoma google imeekwa nani? Mimi sifanyii kazi kazi habari za google.
Lete reference Mfalme wa Saudia Arabia amezuia sheria ya kiislamu kutekelezeka katika nchi yake ya kuoa mke zaidi ya mmoja ama amepiga marufuku.
Nisaidie chanzo cha habari yako MkuuNchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.
Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
Ila na wewe unatupiga hapa? Lini wanaumme wakawa mara nne wanawakeMkuu ni wewe uliyeandika hivi?
Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.
Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.
Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.
Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
Sasa kama kuna sheria Tunisia kwanini umekuja na mada nchi za kiarabu, ukataja Saudia Arabia, Uturuki na Iran kuhusu ndoa?Mimi nakuletea evidence ya Tunisia hairuhusiwi kufunga ndoa na mke zaidi ya mmoja. Nenda kasome sheria ya ndoa ya tunisia article 8 of the personal status code
Polygamy is a taboo issue in Tunisia and a crime punishable by law, under Article 18 of the Personal Status Code.
Pia uturuki ilikataza ndoa ya mke zaidi ya mmoja toka mwaka 1926
Ukioa mke zaidi ya mmoja ni kosa kisheria under turkish civil code adhabu ya jela inakuhusu
Soma screen shot
Sasa kama kuna sheria Tunisia kwanini umekuja na mada nchi za kiarabu, ukataja Saudia Arabia, Uturuki na Iran kuhusu ndoa?
Uislamu ama sheria za kiislamu duniani hazitekelezwi na fatwa za kisheria kutoka Tunisia ama nchi yoyote iwe za kiarabu ama kwengine kokote.
Waislmau duniani kote wana miongozo yao kutoka kwenye kitabu kitakatifu Quran na hadithi za Mtume S.A.W. Sasa ikitokea nchi dola yake ya kiislamu inatetereka huwezi kuhukumu kwa waislamu wote duniani na nchi zote duniani.
Na hata huko Tunisia sina hakika sana hizo sheria ulizotaja za Tunisia kwa vile reference zako ni google search na wikipedia
Kufunga safari sio issue kwasababu wao wana wanachuoni wengi wanaandaa vizazi vyao kusoma kutokana na mifumo yao, na hakuna mgongano baina ya kauli hizi mbili.So wawakilishi wa uislam Ila kutwa mnafunga safari kwenda kwenye vyuo vya Dini kusoma Dini jinsi ya kuvaa makobazi
Nchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.Wapi nimetaja saudi arabia na iran?
Yakobo aliwamuduje wa nne?.Tukubaliane na ukweli tuu
Kwa Adam Kummudu Mwanamke mmoja tuu (Hawa) ilikua shughuli pevu
Kwa Ibrahimu alijaribu kwa kijakazi moto ukawaka
Kwa Isaka mke alimzidi ujanja akajikuta kampa baraka Yakobo na kumwacha Esau na wote ni watoto wa tumbo moja tena mapacha
Sembuse wa leo
Binafsi mimi sijatosheka bado ili niletewe msaada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]