Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumkunja mtu hadi akunjike ni relative. Je anayekunjwa yuko tayari kukunjika? Anyway tujikite kwenye dhima kubwa ya kuoa wake wengi ni kuongeza population. So sio mpaka umkunje mtu hadi akunjike ndio ashike mimba na kuzaaa. Mengine tunajitakia wenyeweNawajua jamaa wawili Wandengereko wanapiga bodaboda Kariakoo mmoja ana wake wanne mwengine wawili na anasema soon ataongeza.
Jiulize mtu akimbize upepo mchana kutwa akalie tank halafu jioni amkunje mtu akunjike barrrabara hii anaweza?na zaidi ya mmoja?ni kuwatafuta watu lawama tu nadhani upo uwezekano watu hawajui dini yao inachosena wanaishia kuendekeza tamaa za miili yao.
Kweny uislam kuna aina gan ya uongozi?aliyekuambia turkey, Iran na saud arabia zinaongzwa kwa sharia za kiislamu ni nani? turkey wana raisi, iran nayo ni ivyo ivyo saudia kuna mfalme isome Qurani tukufu kama utakuta kuna aina izo za uongozi kwenye uislamu.
Yakobo aliwamuduje wa nne?.
Nchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.
Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
Kwan kakabuadirifu wa mtu unaeza kuupima au kujipima mwenyew pasipo kuiingia kwenye mathna? Mtazunguka sana lakin ukweli upo waziMkuu ni wewe uliyeandika hivi?
Elewa kwamba sharti la kuoa mke zaidi ya mmoja katika uislamu ni sharti lililokuja na uadilifu, sasa nadhan ungepata muda kujua uadilifu ni upi hasa uliozungumziwa hapa ili muislamu aongeze mke.
Unaposema wake wengi wamaanisha idadi ipi? katika Uislamu sheria imetutaka kuoa mke 1,2,3,4 hii ndio idadi ya mwisho ya kuowa wake kwa wakati mmoja katika uislamu.
Lakini pia yakupasa kujua kwamba idadi ya wanawake ulimwenguni ni mara 4 zaidi ya wanaume, hivyo unaweza kuona ndoa ni chache zilizofungwa mke zaidi ya mmoja sababu ya msingi nii hii., kama Irani population ni milioni 88.5 kwanini hukutaka kujua idadi ya wanawake na wanaume kati ya hiyo milioni 88.5 ni ngapi?? ndio uje hapa na hiyo idadi ya laki moja.
Unapotosha sana na wala hukuleta reference yoyote kwamba nchi za Uturuki na Saudia imeweka masharti makali kuongeza mke zaidi ya mmoja ni vile umepata muda tu kuwa hapa JF na kuandika chochote unachoweza kuandika
Ni kweli kabisa mkuu kuna watu wameamua kuoa 2 mpaka 3 au wanne wakiwa hawana hata cha kuwapa acha kuwaridhisha tuKuna watu wanatumia hii sheria ya kuruhusu kuowa wanawake wengi vibaya.
Uislamu hauruhusu kuowa kiholela bali umeweka masharti na sifa ambazo unazo takiwa kuwa nazo ili uweze kuoa mke wa pili, kwanza uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuwatunza hao wanawake,sio mke mmoja tu kumtunza huwezi unakimbilia kuowa mke wapi eti kisa dini inaruhusu.
Pia uwe na nguvu za kutosha kuwatosheleza kitandani sio ww unapiga kimoja kama jogoo alafu unakimbilia kuowa mke wa pili ili iweje kwanza.
Unfortunately siku hizi mentality wengi hawapo hivyo wao wanaamini ktk ndoa pamoja na kupata watoto kuna vya ziada wanatakiwa wavipate.Kumkunja mtu hadi akunjike ni relative. Je anayekunjwa yuko tayari kukunjika? Anyway tujikite kwenye dhima kubwa ya kuoa wake wengi ni kuongeza population. So sio mpaka umkunje mtu hadi akunjike ndio ashike mimba na kuzaaa. Mengine tunajitakia wenyewe
Mke hahitaji kula tu na kuvaaWanaume wengi ambao hata uwezo wa kuhudumia mwanamke mmoja hawana lakini ndo wanaokomaa kuoa wake wengi. Wanaume wenye uwezo wa kuhudumia wake wengi hawana hata mpango wa kuoa wake wengi.
Uadilifu hata wewe mwenyewe unaweza kujipima iwapo utaongeza mke na wote kuwapatia haki zao kwa mujibu wa sheria ya kiislamu,Kwan kakabuadirifu wa mtu unaeza kuupima au kujipima mwenyew pasipo kuiingia kwenye mathna? Mtazunguka sana lakin ukweli upo wazi
Labda changamoto zake npzinahatarisha uchumi wao, japo binafsi sielewi watakabili vipi uwingi wa wanawake kukosa mahitaji ya kimwili ikizingatiwa kuwa kwenye hizo nchi kuchepuka ni kosa piaNchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.
Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
Asante Da mgen.Wako sawa, wameona hawawezi kuwafanyia insafu!
Ilaha Allah kawapa wepesi vibubu Ruksa[emoji1376][emoji1360][emoji1676]
[emoji1370][emoji1370]
وَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تُقْسِطُوا فِي
الْيَتَامَىٰ فَانكِحُوا مَا طَابَ لَكُم مِّنَ النِّسَاءِ مَثْنَىٰ وَثُلَاثَ وَرُبَاعَ ۖ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلَّا تَعْدِلُوا فَوَاحِدَةً أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُكُمْ ۚ ذَٰلِكَ أَدْنَىٰ أَلَّا تَعُولُوا
[ AN-NISAAI - 3 ]
Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana.
Hata mpango wa kuoa hatuna!Wanaume wengi ambao hata uwezo wa kuhudumia mwanamke mmoja hawana lakini ndo wanaokomaa kuoa wake wengi. Wanaume wenye uwezo wa kuhudumia wake wengi hawana hata mpango wa kuoa wake wengi.
Ndo Shangaa hapo, waarabu ni WAHUNI tuuHili la saudia kulegeza masharti ya ndoa kisa Ronaldo limenipa shaka.
Kuoa wake wengi ni primitivityNchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.
Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
Yale hayakuwa Maagizo ya Mungu Bali ni Mila za zamani za kiarabu ambazo kwa wakati huo zilikuwepo sehemu nyingi duniani. Ndio maana Mungu alimuimbia Adam mke mmoja ambaye ni Eva tuu. Ndio maana hata baba wa Imani alikuwa ana mke Mmoja ambaye ni Sarat tuu na Hajir alizaa naye kwa bahati mbaya tu.Nchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi.
Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi nchi zenye waislamu wengi hawataki kuoa wake wengi?
Hiyo reference ya mfalme atakayokuletea hapa , haitoki Google?Mkuu nakuomba sana lete reference nani Saudia na Uturuki amezuia ndoa za kuoa mke zaidi ya mmoja katika Uislamu usinilitee habari za google na Wikipedia, hivi kumbe wewe umekuja na habari hizi kwa sababu ya google search, unaweza kunambia hiyo taarifa uliyosoma google imeekwa nani? Mimi sifanyii kazi kazi habari za google.
Lete reference Mfalme wa Saudia Arabia amezuia sheria ya kiislamu kutekelezeka katika nchi yake ya kuoa mke zaidi ya mmoja ama amepiga marufuku.
Kuna content yoyote duniani hapa inayokuwa accesed kupitia Internet ambayo haipo Google?Google usiiiamini kwa kila kitu bro utapotea