#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

Juzi Rais wa Rwanda katangaza kufunga vyuo na shule kuanzia 01.07.2021
Kenya curfew imekuwa extended for 60 more days
Uganda Ligi kuu imelazimishwa kumalizika coz ya Covid
Burundi, India, Brazil na nyingine mambo ni yaleyale.

Tanzania mbona watu wanadunda tu mtaani bila tahadhali yoyote na hatuone wagonjwa kama ilivyokuwa katika "wimbi" la kwanza?

Hatuoni Kila duka/ kibanda/ofisi kuwa na ndoo zenye maji na zinazotumiwa kikamilifu na kila mtumiaji.
Barakoa wanatumia watu wachache saaana
vitakasa mikono huvioni kama zani vilikuwa ninaning'inia kwenye luksi kama keyholder, mikono ya pochi za wanawake.

Ila matangazo kwa upande ya mataifa mbalimbali yamekomalia saana uwepo wa hii kitu hapa TZ

imagine MAMA juzi kasema TZ kuna wagonjwa 100 tu

100/50,000,000 = 0.0002%

DISCO, kama kawa, mwendokasi kama kawa, njumba za Ibada kama kawa full nyomi .

na kwa kuudhihirishia ulimwengu waje KWA MKAPA 03.07.2021 washangae

CORONA TZ HAMNA. kama mnataka fedha za COVAX fine ila MSITUTISHE!!!!!



KWA HILI NASIMAMA NA DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Usiwe na wasiwasi; wengine uliowataja wanataka kukuza tatizo la Covid-19 kusudi wapate misaada. Dunia nzima hakuna Covid kwenye ukanda wa ikweta kwa sababu ya hali ya hewa ispokuwa Brazil tu ambapo msongomano wa watu ni mkubwa sana, lakini waganga njaa ndio wanaotaka kusema wanakufa sana kwa korona huku ikweta ili wapate misaada.
 
India walikuwa wanatoa takwimu. Naona wewe uko zaidi kwenye ile watu wanafariki mpaka huduma za hospital na mazishi zinaelemewa. Lakini kumbuka bado kunaweza kuwa na idadi kubwa kiasi ya wagonjwa na vifo na usione athari! Nchi kama Tanzania wakifariki wastani wa wagonjwa wawili kwa siku, katika kila mkoa kwa muda labda wa miezi mitatu hutaweza kuona athari kama zile za India lakini bado ni idadi kubwa ya watu. Mambo ya vifo kwenye nchi bila takwimu ni ngumu sana kujua ukubwa wake. Kwa mfano, kwa hali ya kawaida kabla ya korona, Tanzania ungeweza kukaa mwezi mzima bila kusikia mtu unayemjua amefariki, lakini hii haiondoi ukweli kwamba kuna watu wengi wanakufa kila siku.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]
 
Eti dhalimu alikuwa sahihi na bado akakimbilia chato kujificha kwa miezi miwili!!! Na kwa ubishi wake wa kutotaka kuvaa masks mwenyewe aliyaita matambara basi COVID-19 haikufanya ajizi bali kulala naye sambamba leo anaitwa MWENDAZAKE!!!! Hakuna anayekutisha ni maisha yako mwenyewe na MAKABURI umeyaona. Chukua hatua muafaka za kujikinga ubishi wa kijinga KAMWE hautakukinga kumbuka zaidi ya watu 3.5 duniani Covid-19 imesitisha uhai wao.
Hao wanaowafungia watu wao mwaka sasa kuna unafuu gani waliotuzidi sisi tunaoishi kienyeji?hizo lock down hata huko ulaya zimewasaidia kwa kiasi gani, sembuse ndio kwenye haya maisha yetu ya kuunga unga?mfano huko KENYA, toka saa 10 alfajiri watu wako kwenye shughuri zao kama kawaida, eti ikifika saa 3/usiku ndio marufuku ya kutembea?!huo si ujinga??Viongozi wa Afrika wanawapa tabu wanyonge kwa kujinufaisha wao, masikini huwezi kumtisha kwa COVID19!! Asindwe kwenda kutafuta eti kuogopa .Huyo mseveni aliyewafungia watu wake kwa siku 42, na kuwaahidi kuwapa kila familia USH.100, 000 huo si utani?!!
 
Hata katiba ni matakwa ya wasaka madaraka tu, Leo Prof Shivji kaongea vizuri kwenye kigoda cha mwalimu. Lakini sitaki kwenda nje ya mada, tusiharibu mada
[emoji1303][emoji1303][emoji1306][emoji1756]
 
Hii kitu kuna watu wameweka mitaji yao hapo wanataka kupata mpunga sio kama tunavofikilia sasa chanjo waliotengeneza watapeleka wapi lazima watumie akili
Kweli mkuu[emoji1319][emoji1319]
 
Hayana ugumu wowote, Ni simple logic
Tabia hatarishi zipo kwa asilimia 100, lakini maambukizi Ni asilimia 0.
Kumbuka tangu tumeanza kutishwa na watanzania wenzetu wanaojikweza, huku wakisema sisi watanzania hatuna akili, kana kwamba wao Ni wamarekani.
Wakati wa mazishi ya hayati kwa mfano , Hawa wajikwezao walisema Sana humu kutokana na umati ule na kutozingatia kanuni za watu wale, wakatabiri kwa hesabu zao mbovu kwamba baada ya wiki mbili kutakuwa na msiba mkubwa maana watanzania wengi watakufa kwa corona, Nani anaweza kushuhudia kwamba baada ya maombolezo Yale, Ni waombolezaji wangapi walikufa au hata kuugua corona!!!?
Je watanzania wanavyojaa kwenye nyumba za ibaada, kumbi za starehe, viwanja vya michezo na mausafiri ya umma
Mnasemaje???
Nauliza watu mnaojisingizia kuwa na akili kuliko akili yenyewe!!!
Sawa kabisa mkuu qangu
 
Halafu ile tume ya corona, ilitumwa kutafiti Hali ya corona Tanzania, Jambo la kushangaza , ripoti yao Haina maelezo yanayoonesha Hali ya corona Tanzania, badala yake wamekuja tu na mapendekezo namna ya kukabiliana na corona , ambayo hawajatuambia ipo kwa kiasi gani....
Achana na lile changa la macho ushawahi kuiona hio ripot??
 
Ni kweli kabisa, mfano humu huwa kuna watu wanadai kwamba madaktari huko mahospitalini ndio wanajua uhalisia wa corona, hivyo nilitaraji kusikia hilo suala kwenye ile ripoti ila ndio kwanza tunaona rais mpaka juzi hapo anaenda kutembelea hospitali huku akiwa hana taarifa zozote kuhusu uwepo wa wagonjwa wa covid kwenye hiyo hospitali.
Hali ya ugonjwa hata sisi mtaani tungeiona kama mwaka juzi
 
Eti takwimu za kuchukulia pesa IMF!!! 😂😂😂unadhani IMF ni Wapumbavu kiasi hicho!?

Kwani mkuu shida iko wapi wewe na familia yako, kaa ndani fuata maelekezo yote ya kujikinga na COVID19!watoto wafundishe nyumbani basi!!Kwani sijaona hata ulichopinga, kwenye hiyo link.kwani kuna masharti ili upate hizo pesa na sharti moja wapo ndio hilo la kutoa data ?ukwelinutakuja julikana tu, na ndio maana unaona EU, wanakwambia kama umepata chanjo ya Astrazenica ya India bado hutaruhusiwa kuingia kwao, na ndizo chanjo nyingi zinazosambazwa na COVAX.
 
Ni upumbavu kudhani kwamba kwa sababu Tanzania takwimu za ugonjwa na wanaokufa hazitolewi kabisa ukilinganisha na nchi jirani basi tuko salama
India pia walijiona wako salama hivyo misongamano kwenye sikukuu zao kidini na kampeni za kisiasa ikapamba moto na COVID-19 haikufanya ajizi na idadi ya vifo ilifikia zaidi ya laki nne kwa siku.
Chukua tahadhari acha ubishi wa kipumbavu.

Hao wanaowafungia watu wao mwaka sasa kuna unafuu gani waliotuzidi sisi tunaoishi kienyeji?hizo lock down hata huko ulaya zimewasaidia kwa kiasi gani, sembuse ndio kwenye haya maisha yetu ya kuunga unga?mfano huko KENYA, toka saa 10 alfajiri watu wako kwenye shughuri zao kama kawaida, eti ikifika saa 3/usiku ndio marufuku ya kutembea?!huo si ujinga??Viongozi wa Afrika wanawapa tabu wanyonge kwa kujinufaisha wao, masikini huwezi kumtisha kwa COVID19!! Asindwe kwenda kutafuta eti kuogopa .Huyo mseveni aliyewafungia watu wake kwa siku 42, na kuwaahidi kuwapa kila familia USH.100, 000 huo si utani?!!
 
Hebu acha ujinga wewe wapi nilipoandika kuhusu kukaa ndani?

Kwani mkuu shida iko wapi wewe na familia yako, kaa ndani fuata maelekezo yote ya kujikinga na COVID19!watoto wafundishe nyumbani basi!!Kwani sijaona hata ulichopinga, kwenye hiyo link.kwani kuna masharti ili upate hizo pesa na sharti moja wapo ndio hilo la kutoa data ?ukwelinutakuja julikana tu, na ndio maana unaona EU, wanakwambia kama umepata chanjo ya Astrazenica ya India bado hutaruhusiwa kuingia kwao, na ndizo chanjo nyingi zinazosambazwa na COVAX.
 
Nadhani jamaa yupo sahihi, kwani kwa maisha yetu haya kama kuku wa kienyeji tungekuwa tumeshakwisha kabisa!!!lakini baada ya hofu kuondolewa maisha yanaenda kama kawaida tu sio kama ugonjwa haupo.Approaches nyingi za meko nilikuwa sikubaliani nazo kabisa lakini kwa hili la COVID19, hapa nampa shikamoo huko alipo!!Na ndio maana hata sasa itakuwa ngumu kwa wananchi kuelewa somo kwani ni mwaka sasa ugonjwa upo, na yeye maisha yanaendelea kama kawaida!!TUSITIANE HOFU.
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1756][emoji1756][emoji1756]
 
Hizo ni takwimu tu za kuchukulia pesa kutoka IMF, WHO.hakuna lolote na wasiwatie wananchi hofu, chanjo sawa zije na anayetaka achanjwe!!aliyewalinda mwaka mzima ndio atakayeendelea kuwalinda tu, japo tahadhari ni muhimu.
Haya matakwimu tunalazimishana huku kitaa tungeona bhana
 
Usiwe na wasiwasi; wengine uliowataja wanataka kukuza tatizo la Covid-19 kusudi wapate misaada. Dunia nzima hakuna Covid kwenye ukanda wa ikweta kwa sababu ya hali ya hewa ispokuwa Brazil tu ambapo msongomano wa watu ni mkubwa sana, lakini waganga njaa ndio wanaotaka kusema wanakufa sana kwa korona huku ikweta ili wapate misaada.
[emoji1303][emoji1303][emoji1303][emoji1303]
 
Hao wanaowafungia watu wao mwaka sasa kuna unafuu gani waliotuzidi sisi tunaoishi kienyeji?hizo lock down hata huko ulaya zimewasaidia kwa kiasi gani, sembuse ndio kwenye haya maisha yetu ya kuunga unga?mfano huko KENYA, toka saa 10 alfajiri watu wako kwenye shughuri zao kama kawaida, eti ikifika saa 3/usiku ndio marufuku ya kutembea?!huo si ujinga??Viongozi wa Afrika wanawapa tabu wanyonge kwa kujinufaisha wao, masikini huwezi kumtisha kwa COVID19!! Asindwe kwenda kutafuta eti kuogopa .Huyo mseveni aliyewafungia watu wake kwa siku 42, na kuwaahidi kuwapa kila familia USH.100, 000 huo si utani?!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu agiza kinywaji baridi au moto bili ntumie
 
Back
Top Bottom