Hayana ugumu wowote, Ni simple logic
Tabia hatarishi zipo kwa asilimia 100, lakini maambukizi Ni asilimia 0.
Kumbuka tangu tumeanza kutishwa na watanzania wenzetu wanaojikweza, huku wakisema sisi watanzania hatuna akili, kana kwamba wao Ni wamarekani.
Wakati wa mazishi ya hayati kwa mfano , Hawa wajikwezao walisema Sana humu kutokana na umati ule na kutozingatia kanuni za watu wale, wakatabiri kwa hesabu zao mbovu kwamba baada ya wiki mbili kutakuwa na msiba mkubwa maana watanzania wengi watakufa kwa corona, Nani anaweza kushuhudia kwamba baada ya maombolezo Yale, Ni waombolezaji wangapi walikufa au hata kuugua corona!!!?
Je watanzania wanavyojaa kwenye nyumba za ibaada, kumbi za starehe, viwanja vya michezo na mausafiri ya umma
Mnasemaje???
Nauliza watu mnaojisingizia kuwa na akili kuliko akili yenyewe!!!