Kwanini Ndoa siku hizi zimekuwa chache kwa Vijana?

Kwanini Ndoa siku hizi zimekuwa chache kwa Vijana?

Ukitizama siku hizi wanaofunga Ndoa ni wazee au vijana ambao tayari washazalishana.

Kwanini ni nadra sana kuona Ndoa za vijana barubaru wenye miaka 24 hadi 32 ambao hawajazaa wala hawana watoto nje. Miaka ya babu zetu tulikuwa tunaona sana Kijana akienda kuchumbia mwali, huko wote wakiwa hawana uzoefu mkubwa wa mahusiano na hawana watoto lakini siku hizi nadra sana, vijana wanazalishana tu...

Tena mabinti wako tayari kubeba mimba za wanaume ambao tayari wapo kwenye ndoa eti kisa tu mwanaume huyo ana Pesa. Na baadhi ya wazazi wamekuwa wakisapoti watoto wao kuzaa na waume za watu.

Vijana barubaru nao wamekuwa wakipokonywa mademu zao na sponsors. Hence kupelekea vijana nao kukata tamaa kuoa, wanazalisha wanakimbia.

Vijana na Mabinti wote hawaeleweki, mabinti wamechagua kuwa Single mothers, huku wakifanya umalaya wa chini chini kusapoti watoto wao wakitumia kigezo cha superwoman.
Chache kwenu malofa

Vijana wenye nazo wanaoana sana

Ukitaka kuhakiki uliza kumbi za Dar es salaam bila kuweka order miezi mitatu ay zaidi kabla kuoa au kuolewa hupati ukumbi

Kumbi unakuta ziko full booked

Uliza wa Dar wakuambie
 
Ni kitu cha ziada.ni kama kununua gari ukiwa na hela utanunua ni sawa na ndoa ukiwa na hela utaoa.

Kwan uongo ndugu zanguni?
Kuoa sio lazima uwe na hela isipokuwa teknolojia imekuwa Sana kuishi na Mwanamke anabidi kuwa na kitu Cha kukuongezea na sio ngono maana ngono huku Tandika inaanzia 1500 unapata Hadi 2000 itategemea na Bei ya soko na Aina ya bidhaa . Then ukija huku kupika na kufua zipo mashine za kufulia na majiko yanoyopika kwa haraka Sana
 
Ndoa ckuiz haina thamani tena Kama zamani.
Wanawake wa ckuiz Ni magumu Sana wanaendekeza ufeminist Hadi kwenye ndoa.
 
ugumu wa maisha ndo sababu kuu,vijana wanakula tu na kusepa
 
Back
Top Bottom