Acha tutandikwe huko Congo.View attachment 2741189Jeshi letu ni la sita Kwa ubora duniani. Akusikie general Nguema wa Gabon. Mbavu zanguuu. ππππππΏππΏ
adriz kaoa wanne anaumia kimya kimya tu.
#KATAA NDOA MAAMAE
Uchumi ukiyumba ndoani men utaona rangi zote za dunia ii..Hali ni tete kwa kweli, maadili ya ndoa yameporomoka, thamani ya ndoa imeshuka, wanandoa hawawezi kuvumiliana katika mapungufu yao ya kiuchumi
Ni kitu cha ziada.ni kama kununua gari ukiwa na hela utanunua ni sawa na ndoa ukiwa na hela utaoa.Ndoa sio Jambo la msingi Zama hizi
πππππππKwanini ufuge ng'ombe ilihali unapata maziwa, nyama, ngozi na mbolea?
Chache kwenu malofaUkitizama siku hizi wanaofunga Ndoa ni wazee au vijana ambao tayari washazalishana.
Kwanini ni nadra sana kuona Ndoa za vijana barubaru wenye miaka 24 hadi 32 ambao hawajazaa wala hawana watoto nje. Miaka ya babu zetu tulikuwa tunaona sana Kijana akienda kuchumbia mwali, huko wote wakiwa hawana uzoefu mkubwa wa mahusiano na hawana watoto lakini siku hizi nadra sana, vijana wanazalishana tu...
Tena mabinti wako tayari kubeba mimba za wanaume ambao tayari wapo kwenye ndoa eti kisa tu mwanaume huyo ana Pesa. Na baadhi ya wazazi wamekuwa wakisapoti watoto wao kuzaa na waume za watu.
Vijana barubaru nao wamekuwa wakipokonywa mademu zao na sponsors. Hence kupelekea vijana nao kukata tamaa kuoa, wanazalisha wanakimbia.
Vijana na Mabinti wote hawaeleweki, mabinti wamechagua kuwa Single mothers, huku wakifanya umalaya wa chini chini kusapoti watoto wao wakitumia kigezo cha superwoman.
Kuoa sio lazima uwe na hela isipokuwa teknolojia imekuwa Sana kuishi na Mwanamke anabidi kuwa na kitu Cha kukuongezea na sio ngono maana ngono huku Tandika inaanzia 1500 unapata Hadi 2000 itategemea na Bei ya soko na Aina ya bidhaa . Then ukija huku kupika na kufua zipo mashine za kufulia na majiko yanoyopika kwa haraka SanaNi kitu cha ziada.ni kama kununua gari ukiwa na hela utanunua ni sawa na ndoa ukiwa na hela utaoa.
Kwan uongo ndugu zanguni?
Umechapiwa wife?Mkuu watu wanachapiwa sana, Mimi yamenikuta.
Umechapiwa wife?
Arena ni kitu gani mkuuArena imesaidia sana , ndoa ya nini sasa
SawasawaKwanini ufuge ng'ombe ilihali unapata maziwa, nyama, ngozi na mbolea?