Nyamayao hivi huwa lina maana ganiKwa hiyo kumwita mtoto John, Emmanuel, Abdallah, Mohammed ni sawa.
Ila ukimwita Aishi, Tabu, Ubaya, Apendwae, Aizari, Msiba ,Nyamayao, Cha wote, Mzuri sio sahihi?
Mnajua hata maana na hayo majina mnayojifaharisha nayo?
Mimi katoto kangu ka kike nimekiita SALAMA na WA kiume Aishi akipatikana wa tatu ni TABU.
Unihonge nn tena mamiiWewe mamboo nataka nikuhongee ,
Tuoane basi nitakuwa nakupa vizuriUnihonge nn tena mamii
Mrembo wangu wa ukweli nihonge basi Wikiend yangu iende vizur afu nitakupa zawad hutosahau maisha yakoπ
Ni kwa sababu wazazi wana akili fikirishi ndo maana wanatoa majina fikirishiAmani iwe nanyi
Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.
Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?
Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.
Watalaamu embu dadavueni
SurelyNi kwa sababu wazazi wana akili fikirishi ndo maana wanatoa majina fikirishi
Ditopile Ukiwaona Mzuzuri unamfahamu?Majina hayo kuyakuta bungeni au wizarani nipo pale
TAIFA SECONDARY
Usiogope rusha tu uzi, mijadala itaendelea na elimu utapataMnaocoment mwanzo mara nyingi ndo huweza kuharibu thread ama kuiendeleza vyema.
Hakika, ila kuna mengine fikirishi kama CHAUSIKU unajiuliza lilikua ni bao la usiku au?Nayapenda sana majina ya watu wa pwani utasikia maua tausi zabibu nuru jina ukitamka tu unajua maana
Hayo majina yana maana zake mkuu, mfano ukikuta dada wa kizaramo anaitwa Mwazani, basi huyo alizaliwa na papuchi kubwa (mwazi), Pili na Tatu, idadi ya kuzaliwa kwa hao watoto nkAmani iwe nanyi
Wakati tunakua, bado Dar es Salaam ilikua na wazaramu wengi na nilibahatika kusoma na watu wenye majina kama SIKITU, SIWATU, SIWAZURI, TABU, MATESO, HAVINITISHI, SIKUDHANI, KIDAWA, CHAUREMBO na majina mengi ya namna hiyo.
Sasa, sijui hekima ya wazee wa kizaramo ilikua ina kusudia nini?
Wakati mwingine, though it is a myth, jina linaweza kubeba au kusadifu aina ya maisha ya huyo mtoto baadae.
Watalaamu embu dadavueni
Njoo chemba tubonge now nipo free afu Nina ubao aiseee utaweza show kweli mamii ila kiongeza mwendo unacho πππTuoane basi nitakuwa nakupa vizuri
Sasa hiv unapita mtaani mtoto anakula mihogo bila hata chumvi ukimuuliza jina anakuambia anaitwa jaden jason πHakika, ila kuna mengine fikirishi kama CHAUSIKU unajiuliza lilikua ni bao la usiku au?
Hatari sana, tuna hama kwenye asili yetuSasa hiv unapita mtaani mtoto anakula mihogo bila hata chumvi ukimuuliza jina anakuambia anaitwa jaden jason π
Mwazani asee jina la Boss wangu ili ila siwezi muuliza maana ya jina lake.Hayo majina yana maana zake mkuu, mfano ukikuta dada wa kizaramo anaitwa Mwazani, basi huyo alizaliwa na papuchi kubwa (mwazi), Pili na Tatu, idadi ya kuzaliwa kwa hao watoto nk
Hatari sanaHayo majina yana maana zake mkuu, mfano ukikuta dada wa kizaramo anaitwa Mwazani, basi huyo alizaliwa na papuchi kubwa (mwazi), Pili na Tatu, idadi ya kuzaliwa kwa hao watoto nk
Usije ukamuuliza mkuu π πMwazani asee jina la Boss wangu ili ila siwezi muuliza maana ya jina lake.
iD yako ile nyingine imekuwaje mrembo. Ban ya muda gani? π€Kuna msichana nilisikia anaitwa Sina bahati na kweli aliishi maisha yake yote kwa shida adi kifo kilikua cha mateso aliliwa na mamba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
aisee, hatari sanaKuna msichana nilisikia anaitwa Sina bahati na kweli aliishi maisha yake yote kwa shida adi kifo kilikua cha mateso aliliwa na mamba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app