Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
ni kweli 😄😄Mapenzi ni hatari hayachagui na ukishatanguliza moyo na hisia kazi kwisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli 😄😄Mapenzi ni hatari hayachagui na ukishatanguliza moyo na hisia kazi kwisha.
Basi Mandela hapa ndipo alipokosea na kukaribisha maumivuSiafiki kwa hilo, wao walipendana sana mwanzo ila baada ya kifungo Winnie alishindwa kuvumilia na hapo ilitakiwa amuache mara moja
Hivi mtu akikusaliti na ukathibitisha ukweli bado ni lazima uwe nae tu?
Nyeto Iheshimiwe, NtakufungaKuchukua sheria kwa kutumia mafuta ya upako ni ugaidi uliochanganyikana na uhaini
Tuwe makini ukigundua upati kadri ya unavyowekeza kimbia.ni kweli 😄😄
Hata kama 👀27yrsKAZI alizokuwa anafanyishwa sidhani kama angekumbuka hilo mwili unavunda na unazoea
Ni sahihi 👊👊Tuwe makini ukigundua upati kadri ya unavyowekeza kimbia.
Mbona alizikwa kichief eneo alipozaliwa mandelaNi kwasababu Mandela aliyeingia jela alikua ndie mume wa Winnie na alifia huko.Mandela aliyetoka hakua yule aliyeingia bali ni clone hivyo ni Winnie ndiye aliyemkataa sio yeye kukataliwa
NB
Inasemekana
Kama mandela 😂Nyeto Iheshimiwe, Ntakufunga
Itakua alikua anachukua sheria mkononi(nyeto)Hivi maanake mandela kwa miaka 27 aliyokua kifungoni hakupiga mzigo? Aiseeee🤔🤔🤔
Sasa si angechagua chaka lake moja la kujifichia kuliko kuwa na wengiKwasababu alikosa wa kumpelekea moto😆
Winnie alikuwa balaa sio!Mtu akienda jela hata kanisa linaruhusu ndoa kuvunjika. Tatizo la winnie ni kuwa na wanaume wengi.
Miaka 27 unavumiliaje?
Tatizo ni hiloSasa si angechagua chaka lake moja la kujifichia kuliko kuwa na wengi
Kwahiyo ni haki ya Winnie kufanya hivyo hata baada ya Mandela kutoka?Ukifungwa jela maisha au miaka Mingi ndoa inaruhusiwa kuvunjika,
Alikuwa na nyege mshindo.
Mwamba alivotoka alitakiwa kujirudiTatizo ni hilo
Sidhani! Mi nahis kama alifungwa magereza ya viongozi wenye hadhi maalum na pia alikua na chance ya kukutana na mke wakeItakua alikua anachukua sheria mkononi(nyeto)