KambaMguruwe huzaa kulingana na idadi ya matiti yake!
Akiwa na matiti 12, atazaa watoto 12 na kila mtoto ananyonya titi lake, ng’ombe ana matiti manne ila anazaa mtoto mmoja, nadra sana kizaa watoto wawili so anakuwa na maziwa ya ziada ndio hukamuliwa! Nguruwe hawezi kuwa na maziwa ya ziada
Hili week mahi amepelekwa mjini sana. Goodthing ni kwamba amejaaliwa ukimya na ushindi siku zoteee. 😂😂
Karangi kake la dubai na tumanyoya tulaini. Acha steak yake sasa yummy yummy😋View attachment 3044803
Hana noma na mtu! Yeye ni mrembooo
Nani anywe wewe tutakutana nae kwenye sahani na kipande Cha limaoUzi usikose kapicha ka mrembo
View attachment 3044186
Huyu jamaa kweli kadata,anashindwa kutofautisha kati ya livestock na pet
vipi ushawahi kunywa maziwa ya kondoo??najua huwezi jibu hili swali mpaka unakufa😬😬😬nakusubiriMbona mbuzi anatoa maziwa na yananyweka!?
Hao si wanyama wanaoliwa?
Kuwa na huruma nguruwe anyonyeshe watoto tisa bado umkamue?
mrembo mbona yamemjaa na hanyonyeshi au mrembo keshakula nauli na watoto kawala...??😂Uzi usikose kapicha ka mrembo
View attachment 3044186
My wangu🐖Uzi usikose kapicha ka mrembo
View attachment 3044186
Nguruwe aishi mileleKwa sababu Nguruwe hajawahi kuwa chakula cha mwanadamu kiasili.
Mrembo itakua watoto wamekufa sijuimrembo mbona yamemjaa na hanyonyeshi au mrembo keshakula nauli na watoto kawala...??😂
labda baba kawakataa watoto kaamua kuwala..😂Mrembo itakua watoto wamekufa sijui
mbona kondoo haujauliza maziwa yakeMbona mbuzi anatoa maziwa na yananyweka!?
Hao si wanyama wanaoliwa?