Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Kuna jamaa live nilimuona anafanyiwa hii kitu na huyo as you said damaged girl.

Yule dem alikua anamuaktia mchiz vibaya kama wife material kabisa. Ila mim rafiki yake huyo dem pia ni rafiki yangu, so ndio akawa ananipa picha kamili.

Manzi analiwa hovyo ovyo tuu hadi na watoto wadogo. Nilisikitika sana aisee.
 
Mkuu hil linaitaj neema ya mungu TUPO KWENYE SOKO LA MISHANGAZI kuruka huu mtego sijui na ukiruka UMETOBOA
 
Kuna jamaa live nilimuona anafanyiwa hii kitu na huyo as you said damaged girl.

Yule dem alikua anamuaktia mchiz vibaya kama wife material kabisa. Ila mim rafiki yake huyo dem pia ni rafiki yangu, so ndio akawa ananipa picha kamili.

Manzi analiwa hovyo ovyo tuu hadi na watoto wadogo. Nilisikitika sana aisee.
Kama hauna uzoefu wa chaos za kwenye dating pool na unaona umefika wakati wa kuanzisha familia yako mimi naona ni bora ukubali kuonekana mshamba kwa kuwaambia wazee wakutafutie mke uko kijijini.

Ukifanya msako wewe mwenyewe hapa mjini na wakati hauzijui tricks za hawa viumbe kuna uwezekano mkubwa sana wa kuingizwa chaka
 
Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa kipindi unapambana na unaishi kwa nidhamu ili utimize malengo yako, unajua nini kinaendelea upande mwingine?

Kuna wanawake uko nje wanatumia vibaya ujana wao kulala na wanaume tofauti tofauti, kupoteza muda na wanaume wasiokua na malengo, nidhamu na kutojua wajibu wao. These women are doing all these shit stuffs in the name of having fun.

Fast foward baada ya miaka 10 mpaka 15, sasa ushajipata, akaunti ya benki inasoma figures za maana, sasa una maisha ambayo watu wengi wanayatamani.

Unaona umefika sasa wakati wa kuoa na uanzishe familia yako. Unajua wanawake gani watakaokuwinda kwa udi na uvumba? ni wale wanawake walliotumia prime yao vibaya mtaani wakati wewe unapambana.

Sasa hivi wapo 28+, wana past chafu, body count inasoma mileage nyingi sana, wengi ni single mothers, wanaishi na trauma za mahusiano yao ya nyuma, washaaribu kizazi kwa kumeza vidonge vya kutoa mimba, kuna wengine hapa ndo hawana bikira hata moja. Wamebeba sumu kali mioyoni mwao.

Pamoja na demages zao bado wanaishi kwenye illusion ya kujiona wana haki ya kunufaika na mafanikio na hela ya mwanaume kwa sababu tu wao ni wanawake, wanataka kipande cha keki kwenye mafanikio yako.

Hapa ndipo nice guys huwa wanazidiwa ujanja na hawa demaged women, kwa sababu hawa nice guys hawana uzoefu wa chaos za kwenye dating pool maana focus yao waliiweka zaidi kwenye kupambania malengo.

Sasa nice guy kaingia mtaani kusaka mwanamke wa kufanya nae maisha na hawa demaged women wanajua nice guy huyu mpambanji ni mgeni hana maarifa na uzoefu kwenye uwanja wa mahusiano kwaiyo watatumia huo mwanya kumlaghai.

Nice guy kuwa makini hapa. Usisettle na mwanamke kichwa kichwa. Wanawake wanajua kuigiza, kudanganya na kujifanya wife material.

Kumbuka hawa wanawake wa age yako wameingia kwenye dating pool around miaka 14-15 tu kwaiyo wana uzoefu mkubwa na wamekuzidi maarifa mengi kwenye dating pool.

They will play the role of loving, supportive, and innocent partner to fool you. They will act like they have left their past behind, but trust me that baggage is still there and it's waiting to destroy everything you've built once you let them in.

Nice guy ambae uliachana na mambo ya kidunia kupambania mafanikio, ukweli ni kwamba hawa demaged women wanaotaka kuandika upya historia yao sio type yako. Leave them alone, they belong to the street.

You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.

Kuwa makini nice guy, usiingie kwenye mitego ya hawa demaged women. Don't let your hard work go to waste by settling for someone who doesn't deserve the life you have built. You have come too far to lose it all to a delusional, entitled and unworthy woman.
Balance of nature
 
I absolutely love reading your work! You have a real talent for explaining complex ideas in a simple, accessible way.
It's so important to be careful when dealing with women when it comes to relationships. They often have a tendency to put on a show in the initial stages of a relationship, but in reality, they're not. It's always better to do a background check!
 
Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa kipindi unapambana na unaishi kwa nidhamu ili utimize malengo yako, unajua nini kinaendelea upande mwingine?

Kuna wanawake uko nje wanatumia vibaya ujana wao kulala na wanaume tofauti tofauti, kupoteza muda na wanaume wasiokua na malengo, nidhamu na kutojua wajibu wao. These women are doing all these shit stuffs in the name of having fun.

Fast foward baada ya miaka 10 mpaka 15, sasa ushajipata, akaunti ya benki inasoma figures za maana, sasa una maisha ambayo watu wengi wanayatamani.

Unaona umefika sasa wakati wa kuoa na uanzishe familia yako. Unajua wanawake gani watakaokuwinda kwa udi na uvumba? ni wale wanawake walliotumia prime yao vibaya mtaani wakati wewe unapambana.

Sasa hivi wapo 28+, wana past chafu, body count inasoma mileage nyingi sana, wengi ni single mothers, wanaishi na trauma za mahusiano yao ya nyuma, washaaribu kizazi kwa kumeza vidonge vya kutoa mimba, kuna wengine hapa ndo hawana bikira hata moja. Wamebeba sumu kali mioyoni mwao.

Pamoja na demages zao bado wanaishi kwenye illusion ya kujiona wana haki ya kunufaika na mafanikio na hela ya mwanaume kwa sababu tu wao ni wanawake, wanataka kipande cha keki kwenye mafanikio yako.

Hapa ndipo nice guys huwa wanazidiwa ujanja na hawa demaged women, kwa sababu hawa nice guys hawana uzoefu wa chaos za kwenye dating pool maana focus yao waliiweka zaidi kwenye kupambania malengo.

Sasa nice guy kaingia mtaani kusaka mwanamke wa kufanya nae maisha na hawa demaged women wanajua nice guy huyu mpambanji ni mgeni hana maarifa na uzoefu kwenye uwanja wa mahusiano kwaiyo watatumia huo mwanya kumlaghai.

Nice guy kuwa makini hapa. Usisettle na mwanamke kichwa kichwa. Wanawake wanajua kuigiza, kudanganya na kujifanya wife material.

Kumbuka hawa wanawake wa age yako wameingia kwenye dating pool around miaka 14-15 tu kwaiyo wana uzoefu mkubwa na wamekuzidi maarifa mengi kwenye dating pool.

They will play the role of loving, supportive, and innocent partner to fool you. They will act like they have left their past behind, but trust me that baggage is still there and it's waiting to destroy everything you've built once you let them in.

Nice guy ambae uliachana na mambo ya kidunia kupambania mafanikio, ukweli ni kwamba hawa demaged women wanaotaka kuandika upya historia yao sio type yako. Leave them alone, they belong to the street.

You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.

Kuwa makini nice guy, usiingie kwenye mitego ya hawa demaged women. Don't let your hard work go to waste by settling for someone who doesn't deserve the life you have built. You have come too far to lose it all to a delusional, entitled and unworthy woman.
Hawa mademu time hizi wanaendaga kujitega makanisani.

Unakuta kidume umejitafuta saiz mambo safi una kua usafiri mara paaaap!!! Pastor wa kanisa unalosali anaanza kukufosi uoe.

Na mwanamke wa kuoa unapewa hapo hapo kanisani, maskini ya mungu na wewe unaamua kutundika daruga za team kataa ndoa unapiga magoti na kusema ido.

Kumbe mwanamke ulieoa, ni chuma cha reli, anazijua bamia za kila aina, alishafinywa mpaka na zilizopinda, ndefu, fupi, butu yaani kwa kifupi hakuna asilolijua, ila akiwa kwako ni wife material tena anampenda yesu.

Unakuta unaamua kumtoa demu out kumsuprise sehemu nzuri ambayo unaamini hajawahi kufika, lakini mkifika eneo la tukio reaction yake inakua ya kawaida tu(kumbe alishaga kuja enzi zake na vidume wenzio)

Kuna jamaa hapo kenya aliamua kumsuprise mkewe kwa kumpandisha helicopter 🚁 😋, demu kapanda helicopter hakuonyesha hata mshtuko(surprised) hata kidogo, kumbe enzi zake ameyapanda sana ma choper, kwa hiyo ni kitu cha kawaida.

Na ma pasta wakishakuona una vijihela kidogo wanakufosi uoe ili usije kukimbia kanisani (sadaka atalipa nani) Ukishaoa na ukawa na familia lazima kila j2 kanisani.


View: https://youtu.be/dUhZeo776n8?si=gEPxjfE6FyASjQHt
 
Sasa umeshasema Nice huoni kwamba pamoja na kuwa Nice ni hata kuweza kuhimili / kuishi / kuwasamehe hao so called damaged....

"Empath" a person who is highly attuned to the emotions of others.

Thus kuna watu ile kuwa needed, the need to fix, the need to be wanted, the need to feel they can make a difference that is their attraction...

To each his/her Own...
 
I absolutely love reading your work! You have a real talent for explaining complex ideas in a simple, accessible way.
It's so important to be careful when dealing with women when it comes to relationships. They often have a tendency to put on a show in the initial stages of a relationship, but in reality, they're not. It's always better to do a background check!
Shukrani sana mkuu kwa appreciation yako na kujazia nyama
 
Sasa umeshasema Nice huoni kwamba pamoja na kuwa Nice ni hata kuweza kuhimili / kuishi / kuwasamehe hao so called damaged....

"Empath" a person who is highly attuned to the emotions of others.

Thus kuna watu ile kuwa needed, the need to fix, the need to be wanted, the need to feel they can make a difference that is their attraction...

To each his/her Own...
Kwenye uwanja wa mapenzi "nice guy" ina maana tofauti kidogo na unavyoweza kuitafsiri kwa ujumla wake.

In dating pool nice guy means that naive man who can be easily manipulated, cheated and used by women.
 
Kwenye uwanja wa mapenzi "nice guy" ina maana tofauti kidogo na unavyoweza kuitafsiri kwa ujumla wake.

In dating pool nice guy means that naive man who can be easily manipulated, cheated and used by women.
Nadhani it's being naive kudhani kwamba unaweza kumbadilisha binadamu mwenzako kirahisi, au predict the outcomes za mtu au aliyekuwa bora jana kesho hawezi kubadilika kuwa mzuri au vice versa..., au mtu bora kabisa leo kesho akawa mchawi wa kutupa kulingana na circumstances..., Hence the Saying Hell hath no Fury as a Woman Scorned....

Therefore you might be the one doing the damaging hence as we physicists might tell you, Action and Reaction are Equal and Opposite...
 
Unapiga kazi bila kuchoka upandishe thamani yako, utengeneze connections za maana. Kwenye kusaka mafanikio kuna sacrifices lazima uzifanye, uachane na pombe, starehe, ngono na anasa zote. Sasa kipindi unapambana na unaishi kwa nidhamu ili utimize malengo yako, unajua nini kinaendelea upande mwingine?

Kuna wanawake uko nje wanatumia vibaya ujana wao kulala na wanaume tofauti tofauti, kupoteza muda na wanaume wasiokua na malengo, nidhamu na kutojua wajibu wao. These women are doing all these shit stuffs in the name of having fun.

Fast foward baada ya miaka 10 mpaka 15, sasa ushajipata, akaunti ya benki inasoma figures za maana, sasa una maisha ambayo watu wengi wanayatamani.

Unaona umefika sasa wakati wa kuoa na uanzishe familia yako. Unajua wanawake gani watakaokuwinda kwa udi na uvumba? ni wale wanawake walliotumia prime yao vibaya mtaani wakati wewe unapambana.

Sasa hivi wapo 28+, wana past chafu, body count inasoma mileage nyingi sana, wengi ni single mothers, wanaishi na trauma za mahusiano yao ya nyuma, washaaribu kizazi kwa kumeza vidonge vya kutoa mimba, kuna wengine hapa ndo hawana bikira hata moja. Wamebeba sumu kali mioyoni mwao.

Pamoja na demages zao bado wanaishi kwenye illusion ya kujiona wana haki ya kunufaika na mafanikio na hela ya mwanaume kwa sababu tu wao ni wanawake, wanataka kipande cha keki kwenye mafanikio yako.

Hapa ndipo nice guys huwa wanazidiwa ujanja na hawa demaged women, kwa sababu hawa nice guys hawana uzoefu wa chaos za kwenye dating pool maana focus yao waliiweka zaidi kwenye kupambania malengo.

Sasa nice guy kaingia mtaani kusaka mwanamke wa kufanya nae maisha na hawa demaged women wanajua nice guy huyu mpambanji ni mgeni hana maarifa na uzoefu kwenye uwanja wa mahusiano kwaiyo watatumia huo mwanya kumlaghai.

Nice guy kuwa makini hapa. Usisettle na mwanamke kichwa kichwa. Wanawake wanajua kuigiza, kudanganya na kujifanya wife material.

Kumbuka hawa wanawake wa age yako wameingia kwenye dating pool around miaka 14-15 tu kwaiyo wana uzoefu mkubwa na wamekuzidi maarifa mengi kwenye dating pool.

They will play the role of loving, supportive, and innocent partner to fool you. They will act like they have left their past behind, but trust me that baggage is still there and it's waiting to destroy everything you've built once you let them in.

Nice guy ambae uliachana na mambo ya kidunia kupambania mafanikio, ukweli ni kwamba hawa demaged women wanaotaka kuandika upya historia yao sio type yako. Leave them alone, they belong to the street.

You spent your whole 20's striving for success, you are naive in dating pool, then look for a young, innocent and well cultured woman. Who respects herself and hasn't been corrupted by the streets. Ikiwezekana ongea na wazee wakutafutie mke.

Kuwa makini nice guy, usiingie kwenye mitego ya hawa demaged women. Don't let your hard work go to waste by settling for someone who doesn't deserve the life you have built. You have come too far to lose it all to a delusional, entitled and unworthy woman.
Kama uzi Huu hautoeleweka Kwa Nice Guy, basi Wacha waendelee kujinyonga
 
Exactly to each their own..., kwahio kwa uamuzi wako na wengine wana uamuazi wao na wote wataface consequences of their decisions, ila kama unadhani kwamba sababu mpaka leo hata baggages huko nyuma na kesho atakuwa kama leo basi you have got another think coming....
Emotional baggages anazozibeba mwanamke kwenye mahusiano yake ya nyuma zinachangia kwa kiasi kikubwa sana character kwenye mahusiano yake yajayo. Hapa naona unajaribu kubishana na ukweli
 
Back
Top Bottom