Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Ungekaa kimya hakuna ambaye angejua wewe ni mjinga, Mwaka 1978 kagame alikuwa na miaka mingapi na alikuwa wapi?
 
Ahsante kwa kuappriciate kiongozi. PK Hawa vijana wa leo wanamchukulia kisportsport.
 
Ungekaa kimya hakuna ambaye angejua wewe ni mjinga, Mwaka 1978 kagame alikuwa na miaka mingapi na alikuwa wapi?
1978 tayari kagame alikuwa na miaka 21 kishapata mafunzo ya juu ya kijeshi hapa nchini akitokea kambi ya wakimbizi.

Uliza lingine...feeble minded person.

Wewe miaka 21 bado unachezea tope uwanja wa fisi manzese halafu unafikiri wote tuko km wewe!
 
Akawa anajiuliza ndio hawa hawa walinufanyia noma au wengine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Ni komando yule na alipindua nchini na akaamua kung'ang'ania madaraka!
 
i have noticed the kid i'm arguing with is a fool.
 
Soma ukusanye maarifa,usikusanye ujinga

kwa mjinga maarifa sahihi kwake ni ujinga,na upumbavu kwake ndo maarifa.

Wewe ulitaka niandike nini unachoona ni sahihi na kwa source ipi?
[emoji706][emoji706]
Tupe source Kagame aliongoza majeshi kumtoa Amin Uganda.
 
Tupe source Kagame aliongoza majeshi kumtoa Amin Uganda.
Acha kutembelea kwenye hoja yangu...
Tafuta source mwenyewe au hujui kusoma?

Sema nipe siyo tupe...Unafikiri watu wote wanaomba source?
Umu mjinga ni wewe tu
 
Ndio maana nikakuambia acha utoto najua hujui unachokisema au husemi kwa kumaanisha ndio nikakuuliza au unatafuta habari?
Ndani ya mjadala huu mjinga ni wewe tu...wengi wana taarifa sahihi maana hili linajulikana na taarifa zipo..tafuta mwenyewe usitupe kazi za kijinga kwa ujinga wako
 
Ndani ya mjadala huu mjinga ni wewe tu...wengi wana taarifa sahihi maana hili linajulikana na taarifa zipo..tafuta mwenyewe usitupe kazi za kijinga kwa ujinga wako
Wengi wanataarifa mbona hatuzioni hizo taarifa PK anafoleni mbali sana kwa TZ ndio maana baada ya kauli yake tata kwa JK alinyooshwa na akaomba yaishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…