yaani jamaa alikumbuka walivyofurusha kule Drc Kongo alikokuwa kaweka mgambo wake,ss akawa anajiuliza ndio hawa hawa walinifanyia noma au wengine,ha ha ha kumbe ndo hao hao,Kama analeta dhrau basi ajaribu aone watakachomfanya,aulize Amin dada nn klmtokea !?,Kama Kenya wenyewe mpaka leo bado hawanaga uhakika wa estimate ya uwezo wa jwtz,ukiwauliza je kdf na jwtz Kama zikipigwa mtatoboa,wanakwambia ooh kwa vita ya ardhi mnaweza kutupiga lkn angani hamtuwez,ukweli jwtz tangu enz za mwal. iko fiti na high molale Hadi leo,si marine,si anga si ardhini.