Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Kwanza sijui kwa nini tunaonesha mambo mengi sana ya kijeshi siku ya maadhimisho ya Uhuru mbele ya wageni ambao potentially wanaweza kuwa maadui zetu. Tunaonesha ndege, vivaru, mizinga, magari ya kijeshi, ambulance, etc, mbele ya halaiki ya wageni. Tunatambua kwa wananichi maonesho hayo ni very interesting, lakini kwa nini yasitafutiwe siku yake kama siku ya mashujaa. Kwenye maadhimisho ya siku ya Uhuru tubaki na gwaride na hotuba fupi?
 
Rafiki yangu tafuta vitu vya kuandika basi kama huna unaonaje ukikaa kimya kwani nani atakuona hujui fb?

Huu ni upimbi watu wanahitaji mijadala inayowajengea weredi siyo upumbavu kama huu.

Ifikie maadmin nyuzi kama hizi zisizo na tija zifutwe kabisa ,ujinga gani huu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa utakuwa Mwanajeshi au Komando kabisa ambaye ulikuwa kwenye maonyesho ya Uhuru.Wongo kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Mkuu, kwani wewe si unajua conventional warfare ilivyobadilika tayari? Ukiacha umahiri wa kupambana ardhini, kwa mfano akina green berets, special marine forces na wenzao wa aina ile leo hii kuna vijimambo vya maajabu ya "lasers", "drones" akina hypersonic missiles n.k. .... sasa hawa wakwetu akina ROTC Msata na wenzao na museum ya hardware za kichina si uchekee tu?
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Huyo ndio kagame mtutsi. Hua wanajiamini na kwa asili wana dharau.
 
Today military parade, was it a show off or a way of telling the noisy neighbours to shut up?
Kagame wala alikuwa anaangalia tu pili ni ufinyu wa uelewa nchi zote duniani hufanya military parade Hilo ni gwaride la kawaida linalohusisha gwaride la miguu na gwaride la zana za kivita sio maonyesho ya zana za kivita ni gwaride
 
Leta ushahidi wa video! Wengine tulikuwa tunakinga maji ya mvua wakati watukio hilo kama liikuwepo.
 
Unaonaje km ukihamia Rwanda??.
Nihamie mara ngapi?
Nchi hii ina maphaller wengi sana ndio maana wanasiasa wananeemekea uphaller huu.
Hamtaki kuusikia ukweli, mmejaa ubishi wa kimavymavy tu
 
Kwanza sijui kwa nini tunaonesha mambo mengi sana ya kijeshi siku ya maadhimisho ya Uhuru mbele ya wageni ambao potentially wanaweza kuwa maadui zetu. Tunaonesha ndege, vivaru, mizinga, magari ya kijeshi, ambulance, etc, mbele ya halaiki ya wageni. Tunatambua kwa wananichi maonesho hayo ni very interesting, lakini kwa nini yasitafutiwe siku yake kama siku ya mashujaa. Kwenye maadhimisho ya siku ya Uhuru tubaki na gwaride na hotuba fupi?
Umenena mkuu,ni ushamba kiwango cha sgr.
Pale ingekua ni ngoma za kimakonde,Nuta jazz ,mbaraka mwinshehe hotuba hala waende kula ubwabwa.
PK alishtuka sasa mambo ya kivita vp tena .
Maana kashiriki sana pande hizo, watu hao wanakuwaga na brain trauma.
Nafkiri alikua mbali sana kushtukia wale jamaa wanavyofanya pale akikumbuka miaka yake.
Na nakuhakikishia yule jamaa hakua na dharau yoyote..
Kuona yale mambo pale akikumbuka yupo tena ardhi ileile alitunguliwa habyarimana akirudi kigali akitoka bongo na yaliyotokea
Anapata maruweruruwe.
Labda anaona kaibgia tego la panya.
Mkwere yupo tu remote yake full charge
 
Hata wale ma boxer ukiwaona kwenye meda tour utasema jamaa ulingoni atauwa ila akiingia sasa ngumi moja anaweza kulala ukajiuliza ndio yule aliyekuwa anapiga kelele ndio kama hizi show off
 
CCM wametuharibia jeshi letu, tupo nyuma mno ki teknonilia ya kijeshi na zana za kivita za kisasa., tukizubaa hata kagame anatubokoa.
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Askari hawakuonyesha ukakamavu unaostahili na vifaa vyao vyakizamani sana. Elewa Kagame ni generali na mpiganaji mahiri
 
Ila kwa kweli sikujua hasa shabaha ya waliotaka kuonesha vifaa vya kijeshi! Kama ni kuonesha tuna 'vifaa' wamefeli sana. Vingi ni obsolete na hata vimesahauliwa (Mig 21). Badali yake, imetoa picha kuwa hata makamanda wakuu wa jeshi letu hawajui maendeleo makubwa yaliyopo katika zana za kijeshi. Afadhali wangeficha aibu na kuleta kile tunachofanya vizuri zaidi tu: muziki.
Uhuru wetu hatukuupata kwa vita, wala hatuna vita hivi sasa au hatari ya karibu, kwa nini ikawa lazima kuonesha vifaa vya kijeshi kama 'maendeleo ya miaka 60?' hasa ukijua kuwa hatutengenezi chochote katika hivyo! Beats me.
hii ni komenti ya kitoto sana!
 
Hao hao ndio waliomfurumusha kule Congo DRC kwa jina la M23....hawawezi kamwe. Ana wagambo wanaosumbua disorganized armies Kama DrC Congo,UPDF,wale Magaidi wa Mozambique,Waasi wake n.k.

Jwtz ni organized, experienced and well equipped army. There is nothing to compare with tiny Rwandan Army.
Mkuu darcity ,kongole maana maandishi yako yamemaliza kila kitu.
JWTZ ndiyo jeshi bora zaidi kusini mwa jangwa la Sahara. Anayebisha na abishe.
Kwa sisi tunaowasiliana na watu toka nchi mbalimbali,wanatuambia tuna jeshi la mfano katika Afrika.
Kagame anajua.
Nyusi anajua.
Museveni anajua.
Haikande anajua.
Ramaphosa anajua.
Tsishekedi anajua.
Farmaajo anajua.
Mohamed Abdullahi anajua.
Uhuru anajua.
Salva Kiir anajua.
Chakwera anajua.
Kuangaliwa kwa jicho zuri au baya,kwa dharau au heshima, haviondoi ukweli kwamba JWTZ ni balaa.
Taasisi pekee ambayo bado haijaingiliwa na kunajisiwa Tanzania ambayo Watanzania wanao uwezo wa kujivuna nayo ni JWTZ.
 
Back
Top Bottom