Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Ubora? Labda kwa idadi ga askari lakini sio ubora

Jeshi makomandoo wake wanateswa na makachero km watt na JWTZ liko kimya!

Unajua PK ndie alieliongoza jeshi letu kumtoa Idd Amin?

Au mlidanganywa kuwa ni Mayunga?

PK ni extreme fighter sio level yetu mkuu
Acha uongo kijana! Hivi unawajua askari ambao walikuwa mstari wa mbele kwenye Vita vya Kagera, au unaropoka tu?! Hebu tujuze, huyo PK aliongoza kamandi ipi wakati wa kumtoa Idd Amini?!
 
Ungeuliza nina maana gani kusema JK alinywea,wewe unaongelea issues za DRC nani kaandika habari hizo?

PK na M7 ni kweli ni majasusi wa USA,do you know what it takes 2b that?

Je unajua kuwa PK alishamtamkia JK kuwa angemshughulikia na JK hakusubutu kumbuguzi PK?

Soma na fanya tafiti utamjua PK,namuongelea PK kama PK sio habari za majeshi yetu yasiyo na meno,kucha kuvunja matofali wakati watu wanapigana kiakili na tech
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha uongo jk ndiyo alimnyoshaa aliwapiga wale m23 had nyumbani kwake kabisa Rwanda na hakuna kitu alifanya
 
Ameona kitambo sana!! wenye jeshi lao kwa Asili wamewekwa kando sasa wamejaa wazaramo tupu! waosha kucha! .....kagame anajua bana ile zamani ile!!..wkt anaitafuta Rwanda kwa hali na mali, alikuwa na yare machamaa yare! yanaweza kusonga mbere bira buti ra fiatu.....

yare kwakweri jeshi ilikuwa Damuni! na nidhamu hasa! yakisema mbere ni mbere hayatanii! yarikomboa bara ra afirika yoote!! na huko yariacha matoto!! km zimbabwe mwee!! yaani yare ni mura kabisa! sasa bongo ya reo yamefitinika!! yamewekwa kando!

kagame anayakubali sana!! km wewe ni Mkurya nenda Rwanda jeshini!! unaanza na Sajenti hakuna kuruta mkurya kule!! hii ni siri nawapa! kina Muraaa! waree tu wanao penda jeshi!
Msubhati....ndugu zako wana ujasiri wa kupiga wanawake na kuchomana visu. Dunia ya Sasa hakuna vita ya kutumia visu! Wakati Wazaramo wanasimama na Mwarabu,Mjerumani na baadae Muingereza ndugu zako walikuwa wanalima mtama.
 
Wewe ndie huna info za kutosha, au umeamua tu kusema uongo! Sio kweli kwamba eti PK ndie alimfurusha Amin! Vita ambavyo PK alipigana inaitwa Uganda Bush War na sio Kagera War!! Hii vita ilikuja baada ya Obotte kushinda kiti cha urais na Museven akakataa matokeo kwahiyo akaingia msituni, na kwahiyo alisaidia kumwondoa Obotte madarakani na sio Idd Amin!

Vita ipi za kujivunia alizopigana na kudai eti hajawahi kushindwa?! Unazungumzia vita ya kupigana na wanamgambo ambao majority hawana any formal military trainings au unazungumzia vita dhidi ya jeshi dhaifu la DRC wasiolipwa hata mishahara?!

Kwahiyo huo ubora ni kwa sababu kasomea US, au?! Hivi kwa akili yako unaamini kabisa kwamba ni PK pekee ndie kasomea ujasusi US?! Au unamuona bonge la jasusi kwa sababu huwa anafanikiwa kuua wapinzani wake ?! Huo ubobevu wake unaupima kwa kutumia vigezo gani?!

On top of that, huyo Nyerere, JK na JPM waliwahi kumchokoza nani? Unadhani kila rais ni mpenda vita na kuua kama alivyo Kagame? Btw, pale vikaragosi wake wa M23 waliposambaratishwa alifanya nini?!

Ubora wa Jeshi la Rwanda unaupima na nini?!

Kwahiyo kwavile ni makomandoo unadhani wao ni watu wa vurugu?! Kwamba wakikutana na polisi, wanadindisha na kuanza kupiga majudo!! Au kwavile polisi waliwapiga makofi makomandoo kama unavyodai, ndo unataka kuaminisha watu kwamba polisi wetu ni bora kuliko makomandoo?!
Huyo jamaa yaelekea ni mtutsi ndiyo maana anampamba na kumuoverate huyo muuaji. Watutsi mahali popote wanajiona wao ni bora.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Yafahamu mataifa 10 barani Afrika yenye uwezo mkubwa wa kijeshi 2021

31 Mei 2021


Uwezo wa kijeshi ni muhimu katika taifa lolote endelevu linalotaka kulinda mipaka yake mbali na maslahi yake kwa jumla .

Mtandao wa Global Firepower kupitia utafiti wake umeorodhesha uwezo wa kila jeshi barani Afrika kulingana na idadi ya wanajeshi, uwezo wake wa angani, ardhini, fedha zinazotengwa kugharamia majeshi hayo, vifaa vya kijeshi, mali asli, uwezo wa majini na kadhalika.

Yafahamu mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani

Hapa chini ni orodha ya majeshi 10 yenye uwezo mkubwa barani Afrika.

1. Misri

Kwa jumla Misri ndilo taifa linaloongoza kijeshi barani Afrika kutokana na ukubwa wa jeshi lake. Taifa hilo limewekwa katika nambari ya 12 kote duniani kutokana na uwezo wake.


Jeshi hilo la Misri linamiliki: Jeshi la majini, Jeshi la angani.

Takriban wanajeshi 500,000 wanahudumu katika jeshi hilo, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya taifa lolote barani Afrika.

Mbali na idadi kubwa ya wanajeshi wake, taifa hilo pia lina magari 10,000 ya kijeshi , magari 60,000 ya kimkakati wa kivita, ndege 1092 za kijeshi na visima vingi vya mafuta .


Hatahivyo kitu kinacholifanya jeshi hilo kuwa la aian ya kipekee Afrika ni uwezo wake katika jeshi la wanamaji ambalo lina meli za kijeshi na manuwari zenye uwezo wa kinyuklia.

Jeshi hilo limekuwa madarakani tangu mapinduzi ya kijeshi yaliomuondoa madarakani rais aliyechaguliwa kidemokrasia Mohammed Morsi na kumuweka al. Sisi madarakani . katika kura ya maoni iliofanyika mwaka huu, mapendekezo ya mabadiliko yaliowasilishwa yalilipatia jeshi uwezo mkubwa , suala ambalo wanaharakati wanasema ilipelekea jeshi kuingilia masuala ya raia.

2. Algeria

Sawa na mataifa mengine ya Afrika Magharibi, Algeria imefanikiwa katika mpaka wake mkubwa wa maji unaoipatia fursa kubwa. Taifa hilo limefanukiwa kuweka uwezo wa kijeshi ardhini, angani pamoja na majini. Hatahivyo taifa hilo linaorodheshwa la 27 kote duniani. Algeria ina takriban wanajeshi 130,000 wanaohudumu katika jeshi lake na ina magari 2000 ya kivita.

Taifa hilo hatahivyo linakumbwa na mzozo baada ya rais wake wa miaka mingi kujiuzulu, lakini jeshi limepata sauti huku ukosefu wa uthabiti na ghasia za wenyewe kwa wenyewe zikiendelea.

Mkuu wa jeshi ameonesha wasiwasi wake kuhusu mapendekezo ya kucheleweshwa kwa uchaguzi ambayo yanaweza kusababisha ghasia nchini humo.

Jeshi nchini Algeria ndilo linaloweza kukabiliana na nguvu ya kiislamu iliochukua uongozi wa taifa hilo tangu uhuru wake.

3. Afrika Kusini

Kwa kuwa taifa hilo halijakumbwa na mzozo wa kivita kwa muda mrefu sasa, Afrika kusini inatumia jeshi lake lililopiga hatua kiteknolojia kuweka amani na ushirikiano wa kimataifa. Ukosefu wa mizozo haujalizuia taifa hilo kulitengea jeshi lake $4.6b.



Ndege zake na vifaa vya majini zinamiliki teknolojia ya kisasa na ijapokuwa lina wanajeshi 100,000, lina uwezo mkubwa.

Mbali na kumiliki teknolojia ya hali ya angani na ardhini , jeshi la Afrika Kusini lina sifa kubwa.

4. Nigeria

Taifa hilo la Afrika magharibi limekuwa likikabiliana na wapiganaji wa Boko Haram siku nenda siku rudi kwa zaidi ya muongo mmoja sasa.

Licha ya ufanisi mkubwa kupatikana katika awamu ya kwanza ya rais Buhari, Jeshi limepata mapigo katika kipindi cha mwaka mmoja kwasababu limefunzwa kukabiliana na jeshi jingine badala ya vita vya gorilla vinavyotumiwa na adui.


Kama Algeria na Misri, Jeshi la taifa hilo lina uwezo wa kuendelea na vita kutokana na raslimali ya mafuta linayomiliki.

Nigeria ina zaidi ya magari 1800 ya kivita , vifaru 250 , magari mengine 6000 ya kimkakati wa kivita mbali na ndege 300 za kijeshi na meli 25 za jeshi la wanamaji.

Hatahivyo uwezo wa wanamaji wake upo chini ikilinganishwa na mataifa mengine ya Afrika yalio na mpaka wa majini.

5. Ethiopia

Ndilo taifa la pakee lisilo na mpaka wa majini kati ya mataifa matano bora yenye uwezo mkubwa wa kijeshi.

Taifa hilo limeelekeza raslimali yake kuu kujenga jeshi lake .

Mtandao wa GFP haufutilii mbali mataifa yasio na mpaka wa majini kwa kutokuwa na jeshi la wanamaji.

Waziri mkuu Abiy Ahmed amekuwa na uhusiano mzuri na jeshi lake tangu alipochukua madaraka huku wanajeshi wakionekana wakitembelea baadhi ya miradi ya waziri huyo na akiwaelezea maono yake kuhusu taifa hilo.

Taifa hilo kwa miaka kadhaa sasa limekumbwa na mzozo wa wenyewe kwa wenyewe , uwezo wa kuwa na jeshi thabiti umetajwa kuwa muhimu kutokana na tisho la wapiganaji wa Al-Shabab.

Taifa hilo kwa sasa lina wanajeshi 140,000 huku watu milioni 2 kila mwaka wakiafikia umri wa kujiunga na jeshi.

6. Angola

Jeshi la Angola lina vitengo vitatu: Jeshi la angani, ardhini na lile la wanamaji.

Mapema mwaka huu ajenda ya mabadiliko ya rais Lourenco ilipitishwa jeshini ambapo majenarali 88 wa jeshi waliwachishwa kazi.

Hatua hiyo inajiri baada ya kamanda wa jeshi kupoteza kazi yake alipotajwa na mwanasheria mkuu kuwa katika uchunguzi wa ufisadi.

Hifadhi ya mafuta ya taifa hilo imelifanya kuwa na uwezo wa kusimamia bajeti kubwa ya jeshi lake.

Taifa hilo lina wanajeshi 100,000 wanaosaidiwa na magari 585 ya kijeshi, vifaru 300 ,ndege za kijeshi 285 na meli 57 za wanamaji.

7. Morocco

Mapema mwaka huu, Mfalme Mohammed VI alitoa wito kwa serikali kusajili raia 10,000 wa Morocco kuhudumia jeshini kwa lazima kwa mwaka mmoja na idadi hiyo ilitarajiwa kuongezeka hadi 15,000 kufikia mwaka 2020.

Jeshi la Kifalme lina wafanyakazi 196,000.

Pia lina ndege 291, magari 2,720 ya kivita, vifaru 1,109 na manowari 121.

Jeshi hilo pia lilianza mazoezi ya kijeshi ambayo yalipewa jina na Marekani la "African Lion 2019" mnamo mwezi Machi ambayo ililenga kuifunza dhidi ya ugaidi na ghasia za itikadi kali.

Hatahivyo, licha ya bajeti yake kubwa, washirika wake wanaowafadhili kama vile Marekani wameripoti uwepo wa "ufisadi, urasimu usiofaa na kiwango duni cha elimu katika upandishaji wa vyeo jeshini."

Upelekaji wa vikosi vyake Magharibi mwa Sahara bado ndio changamoto yake kubwa hadi hivi sasa.

8. Sudan

Pengine ni nchi iliyoleta utata katika kuingizwa kwake kwenye orodha hii mwaka huu, mashujaa waliogeuka na kuwa mabaradhuli. Baada ya maandamano ya muda mrefu na waandamanaji kuamua kukita kambi katika makao yake makuu, jeshi lilimuondoa kiongozi Omar al-Bashir aliyekuwa amehudumu kwa kipindi kirefu.

Hata hivyo, wiki chache zilizopita kumekuwa na ripoti za kutokea kwa ukatili wa kijeshi huko Sudan wakati ambapo mazungumzo kati ya wawakilishi wa raia na wanajeshi yalipogonga mwamba.

Uimara wa jeshi uliendelea kukua kwa miongo ya utawala wa Bashir na pia limekuwa likipokea ufadhili kutoka kwa Saudi Arabia kwa kipindi cha miezi michache iliyopita baada ya kunyakua madaraka.

Jeshi hilo lina wanajeshi 104,000, ndege 191 za kijeshi, vifaru 410, magari ya kijeshi 403 na jumla ya manowari 18. Idadi kubwa ya vifaa hivi vinatoka Urusi na China kwasababu nchi hiyo imewekewa vikwazo na nchi za Magharibi.

9. Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni ya pili kwa idadi kubwa ya watu Afrika ambayo ni milioni 86 Umoja wa Mataifa bado una majeshi yake nchini humo kwasababu vikosi vyake haviwezi kukabiliana na operesheni za kuleta amani kikamilifu.

Mabadiliko ya kiusalama nchini humo yalianza 2003 baada ya kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe na bado inakabiliana na juhudi za washirika wake wa kijeshi wa nchi za nje katika taasisi ya taifa ya usalama.

Nchi hiyo ina wanajeshi 134, 000 ingawa licha ya idadi hiyo bado iko nyuma kwa misingi ya mafunzo ikilinganishwa na wanajeshi wa nchi zingine.

10. Libya

Hakujakuwa na amani wala uthabiti katika eneo la Afrika Kaskazini tangu kung'olewa madarakani kwa Muammar Gaddafi.

libya imekuwa katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe tangu kuuwa kwa rais Muammar Gadaffi

Jeshi hilo lina vifaa imara na bila shaka ni kutokana na pesa ambazo chanzo chao ni uuzaji wa mafuta.

Nchi hiyo sasa hivi imegawanyika kati ya Tripoli na jenerali aliyeasi, Jenerali Haftar, amabye anaungwa mkono na nchi za magharibi zenye nguvu kama vile Marekani.

Serikali huko Tripoli inakabiliana na kuondoa wanajeshi waliovamia mji huo kwasababu haina kikosi thabiti.

Lakini licha ya hayo, nchi hiyo bado ina magari 2,500 ya kivita, vifaru 500, zana 600 za kivita na magari 6,500 ya usafirishaji wanajeshi

Wakati huohuo Global Firepower imeorodhesha Kenya katika nafasi 12 , Uganda katika nafasi 14 huku Tanzania ikiwa katika nafasi 23 barani Afrika

BBC.COM/SWAHILI
Huku Congo ikishika nafasi ya 9?

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] akili kichwani
 
Wewe ndie huna info za kutosha, au umeamua tu kusema uongo! Sio kweli kwamba eti PK ndie alimfurusha Amin! Vita ambavyo PK alipigana inaitwa Uganda Bush War na sio Kagera War!! Hii vita ilikuja baada ya Obotte kushinda kiti cha urais na Museven akakataa matokeo kwahiyo akaingia msituni, na kwahiyo alisaidia kumwondoa Obotte madarakani na sio Idd Amin!

Vita ipi za kujivunia alizopigana na kudai eti hajawahi kushindwa?! Unazungumzia vita ya kupigana na wanamgambo ambao majority hawana any formal military trainings au unazungumzia vita dhidi ya jeshi dhaifu la DRC wasiolipwa hata mishahara?!

Kwahiyo huo ubora ni kwa sababu kasomea US, au?! Hivi kwa akili yako unaamini kabisa kwamba ni PK pekee ndie kasomea ujasusi US?! Au unamuona bonge la jasusi kwa sababu huwa anafanikiwa kuua wapinzani wake ?! Huo ubobevu wake unaupima kwa kutumia vigezo gani?!

On top of that, huyo Nyerere, JK na JPM waliwahi kumchokoza nani? Unadhani kila rais ni mpenda vita na kuua kama alivyo Kagame? Btw, pale vikaragosi wake wa M23 waliposambaratishwa alifanya nini?!

Ubora wa Jeshi la Rwanda unaupima na nini?!

Kwahiyo kwavile ni makomandoo unadhani wao ni watu wa vurugu?! Kwamba wakikutana na polisi, wanadindisha na kuanza kupiga majudo!! Au kwavile polisi waliwapiga makofi makomandoo kama unavyodai, ndo unataka kuaminisha watu kwamba polisi wetu ni bora kuliko makomandoo?!
Mkuu,kuna "vibuyu vya asali" vya Kagame ndiyo vinamsifia humu. Achana nao.
 
Hahahaaaaaa...
Ngoja nikae kimya maana naona "vibuyu vya asali" vya bwana tolu vimekurupuka.
Ulikuwepo ukupiga,ndo nini? Mbona ata mimi nilikuwepo sana tu.

PK sio tu alisoma Tz bali alipata pia mafunzo ya juu ya kijasusi marekani...ivyo ni mwl wetu na sio mwanafunzi tena.

JWTZ limechapwa mbaya uko Msumbiji na magaidi,PK kaombwa kuingiza jeshi lake uko ata wiki haijaisha habari ya magaidi imefifia kabisa uko Msumbiji
 
Rafiki yangu tafuta vitu vya kuandika basi kama huna unaonaje ukikaa kimya kwani nani atakuona hujui fb?

Huu ni upimbi watu wanahitaji mijadala inayowajengea weledi siyo upumbavu kama huu.

Ifikie maadmin nyuzi kama hizi zisizo na tija zifutwe kabisa, ujinga gani huu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwani umelazimishwa kui - click mada hii na kuisoma...??

Unachokiona "not constructive" kwako, kwa wengine ni very constructive....

Ukiona mada haikupi manufaa kuchangia au hata kuisoma tu, anza mbele nenda zako kilabuni ukanywe ulanzi...

Mbaya zaidi hapa ni kuwa, umetumia lugha mbaya, ya kuudhi na chafu kumkosoa mwenzako kana kwamba amekuingilia chumbani kwako bila kubisha hodi...

Acha hizo bwana. Tuheshimiane tu kwa sababu hakuna gharama yoyote ktk kuwaheshimu wengine na mawazo yao....!!
 
Ujinga ninkutokuwa na info za kutosha.

PK kaanza vita akiwa kijana mdogo sana na alishiriki vita ya Uganda mstari wa mbele kabisa km kiongozi wala sio informer,umepotoshwa..soma!

PK ndie aliemfurusha Idd Amin ndipo akina Mayunga wakafuata..soma!

M7 alipoingia madarakani alimpa cheo PK cha kusimamia na kulinoa jeshi la Uganda...soma!

Baadae PK alirudi msituni kuikomboa Rwanda chini ya utawala wa wahutu...soma!

Hakuna vita PK aliwahi kushindwa,ndje jasusi bora kabisa kuwahi tokea kusini mwa sahara...US wanajua,Nyerere,JK,JPM hawa wote na ubabe wao kwa 'slim' hawakuwahi kumchokoza
Kumchokoza Kivipi ?
Kwani Tz imeshachokoza nchi yoyote ?
Sera ya Tz sio kuchokoza ni kusaidia nchi zote ikiwemo rwanda , wakimbizi wengi walikimbilia huku kuokoa maisha yao

Kazi ya Jw ni kulinda mipaka na Hakuna nchi yoyote iliyodhubutu kupunja ardhi ya Tz.
Pk na Museveni walifundishwa Tz
America inaelewa umuhimu wa Tz Katika kustabalize Amani ya ukanda wa maziwa Makuu na kusini na Ndio maana wanashiriki pamoja Katika mazoezi ya Kijeshi na mafunzo
 
Msubhati....ndugu zako wana ujasiri wa kupiga wanawake na kuchomana visu. Dunia ya Sasa hakuna vita ya kutumia visu! Wakati Wazaramo wanasimama na Mwarabu,Mjerumani na baadae Muingereza ndugu zako walikuwa wanalima mtama.
Yaani waarabu si watu wakujivunia kabisa!! mazee ni aibu sana, kuishi na Muarabu! ila wazaramo mnapendaaa!! sababu yao ukinenepa tu makalio! yooo! unawekwa ndani wanakupa unachotaka faster! wanatamka toto mashalah nabendesa sana! wale siyo kabisa!!

halafu wanakufanya nyoronyoro wanakupaka mafuta!! weye waona sifa mkuu? unapenda kupakwa mafuta tu huna lolote! oooh! yes! wanaume kurya pipo wanashika jembe hasa la ng'ombe wanajilisha. tena umesema vizuri sana! una akili! na ndivo walivo wakurya!

ke wa kikurya akireta ujinga ni mikwaju tu! tena wana adabu mno!! kurya akiolewa na mzaramo ujipange atakuliza kila siku! lkn ke Mzaramo anakuacha umelala ndani anakwenda ngomani mweee!!! na

huko nako unajua wanachofanywa unaona sifa, imebakia siri yenu moyoni sawa bana ...hapa sisemi saaana.........lkn ujue ile siyo sifa jifunze kwa kurya pipo....
 
Humjui PK soma habari zake ndo utajua kwa nini JK enzi hizo alinywea.

PK kapata mafunzo ya kijeshi hapa nchini na pia USA ,kaongoza vita ya Uganda na ndie aliefanikisha kuondolewa Idd Amin,ni jasusi kamili Israel inamtambua. Wewe umeona PK anaguswa na nchi za magharibi?

Soma mkuu,jamaa ni level nyingine acha tu adharau jeshi letu maana km makomandoo wetu wanapigwa na kuteswa na polisi tu na jeshi linakaa kimya,hakuna namna zaidi ya kudharauliwa.
Hata pk anga za mahita hatoki

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Yaani waarabu si watu wakujivunia kabisa!! mazee ni aibu sana, kuishi na Muarabu! ila wazaramo mnapendaaa!! sababu yao ukinenepa tu makalio! yooo! unawekwa ndani wanakupa unachotaka faster! wanatamka toto mashalah nabendesa sana! wale siyo kabisa!!

halafu wanakufanya nyoronyoro wanakupaka mafuta!! weye waona sifa mkuu? unapenda kupakwa mafuta tu huna lolote! oooh! yes! wanaume kurya pipo wanashika jembe hasa la ng'ombe wanajilisha. tena umesema vizuri sana! una akili! na ndivo walivo wakurya!

ke wa kikurya akireta ujinga ni mikwaju tu! tena wana adabu mno!! kurya akiolewa na mzaramo ujipange atakuliza kila siku! lkn ke Mzaramo anakuacha umelala ndani anakwenda ngomani mweee!!! na

huko nako unajua wanachofanywa unaona sifa, imebakia siri yenu moyoni sawa bana ...hapa sisemi saaana.........lkn ujue ile siyo sifa jifunze kwa kurya pipo....
Msubhati....tunazungumzia kupambana sio kukaa na waarabu. Rudi kusoma historia! Nimekaa Mara miaka sita, najua vizuri wakurya kuanzia Mugumu, waliopo Bunda,Tarme...ujanja na ujasiri wao ni kutandika wanawake na kupigana kwa kutumia mapanga.

Mashoga wengi wanatoka huko mikoani.
 
Siku zote Paul Kagame anaona watanzania hatuna akili kutokana na kuacha rasilimali zetu ziwanufaishe wazungu na kuacha watanzania kwenye lindi la umasikini.
 
Kwa hiyo Jeshi la watanzania makabila 120 liwe la kabila moja tu?!? Unatuongelea hisia tu......
Woote hao waoga waoga tu!! walikuwa wanatoroka kwenda kujiunga na Jeshi tangu enzi za Mkoloni! na hata ivo hayo makabila yoote toa majirani zake na watani zake Mkurya!! sababu hao wote ni masalia ya wakurya, km Waha, wahaya, wanyanturu,nk!!

Hao wana damu zetu! kabisa wake zao tuliwazalisha bure tena sana! wanatuheshimu tangu zama, Hata hao wazaramo wachache tulishawapa mbegu! ukiona makabila mengine wanajiunga fuatilia utaona ni Damu ya kikurya tupu! au kanda ya ziwa kwa asili!! hata Marais waliotoka maeneo hayo ni wakakasi!

Wazungu na jeuri yao yote!! hawakuthubutu kamata mtumwa Kanda ya ziwa! kichapo walichokuwa wanapata! heee!!! walipokuja tawala sasa kikoloni wakatupatia jeshi looote KAR! tukawa amjemedari mpaka leo!! wanatutaka!

Wake zetu wanatupenda tumewajengea pareeee kipunguni, Mwanaghati nk! na hawatishwi na vibaka! kifupi wanajilinda....km umechoka maisha kawaibie uone!! kina nani wameweza haya Tanzania hii!!

hao!hao! wake zetu wanalisha mayai Bongo nzima!! mnapaswa kutushukuru mnapokula chips mayai!! hela wanapeleka Musoma! tuna nunua ng'ombe tuna walisha tena nyama DSM uongo? nenda kusini Ruvuma huko!! wamebeba the big four km unazijua!

Sasa waliokimbilia jeshi wanaona kurya wanafaidi ngoja vita ije uone!!! TZ matapigwa km hamna akili nzuri!!!.... na kaburu anajua mziki wa wakurya kule South!! kaburu walikuwa wanatwa woake zao bure!! ndo maana Musoama damu ya kaburu ni nyingi!!

hata wewe ukitaka unapewa damu ya kishujaa! kutoka Mara! Muraaaaa! ongea na mkeo tu!! Mara hoyeeeeeeeeee!!
 
Back
Top Bottom