Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2297][emoji2297][emoji2321][emoji2321]johnthebaptist,
Sababu PM ana ugonjwa wa kudharau na kusahau kuwa, hata baharini anayevuma ni papa, ila wengine wapo. Kuna samaki wana umeme grid ya Taifa cha mtoto ila size zao kama kisosa cha chai ya mama ntilie