Uchaguzi 2020 Kwanini Paul Makonda ametoswa na Patrobas Katambi amepata uteuzi?

Uchaguzi 2020 Kwanini Paul Makonda ametoswa na Patrobas Katambi amepata uteuzi?

Aliokwambia kwamba katoswa ni nani,kwani serikali ya awamu ya sita imeundwa?
 
Siasa bhana hazitabiriki kabisa.

Bado sijavijua vigezo vya kumtosa kijana aliyeipigania CCM kwa jasho na damu Paul Makonda na kumpitisha Patrobas Katambi ambaye mchango wake mkubwa uko CHADEMA.

Namsubiri mNEC mzee Mgaya aje anipe ufafanuzi.

Maendeleo hayana vyama!
Aonyeshe vyeti kwanza!!...
 
Makonda aachwe aendelee na majukumu mapya kama alivyopost siku chache nyuma.
Akiwa sanjari na mwanae Keagan
 
Kombora la mwaka 2017 la Askofu Josephat Gwajima kwa Paul Makonda

 
Ya 6 duh! na ataefuata atakuwa awamu yangapi bro?
2025 ndo awamu ya sita itaingia, kwa sasa tumemaliza mhula was Kwanza awamu ya tano then baada ya uchaguzi huu October utaingia mhula w pili awamu ya tano.
 
Katambi akikaa kimya ni bonge la jasusi ila akiongea tu unamvua huo u afisa wake
Nakwambia jamaa katuma kitu hatari kwenye mitandao Shinyanga kumechafuka! Kimegoma tu kuwekwa hapa ningeweka watu wajisikilizie!
 
Back
Top Bottom