fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Penetration OfficerAfisa kipenyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penetration OfficerAfisa kipenyo
Naelewa sasa nini maanaake pale wanaposema watatawala milele.Katambi ni mwenzetu kutoka jengo jeupe
Sio nitamkaje bali "NITAAMKAJE"Kwani maana ya "itategemea nitamkaje" ni nini?
Hashindi kwenye kura za wengi! Anapigwa na Salome Makamba asubuhi na mapema.Mtu namna hii utamuachaje kwa akili ya kawaida? Endelea
Mawazo yakoHashindi kwenye kura za wengi! Anapigwa na Salome Makamba asubuhi na mapema.
Katambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
He he he he he awamu ya sita tena!Aliokwambia kwamba katoswa ni nani,kwani serikali ya awamu ya sita imeundwa?
Aonyeshe vyeti kwanza!!...Siasa bhana hazitabiriki kabisa.
Bado sijavijua vigezo vya kumtosa kijana aliyeipigania CCM kwa jasho na damu Paul Makonda na kumpitisha Patrobas Katambi ambaye mchango wake mkubwa uko CHADEMA.
Namsubiri mNEC mzee Mgaya aje anipe ufafanuzi.
Maendeleo hayana vyama!
Dogo yupo vizuri sana maana kupenya hadi kamati kuu CHADEMA kuwa mwenyekiti bavicha uwe umekwiva kweli kweli.Katambi ni mwenzetu kutoka jengo jeupe
Katambi akikaa kimya ni bonge la jasusi ila akiongea tu unamvua huo u afisa wakeHashindi kwenye kura za wengi! Anapigwa na Salome Makamba asubuhi na mapema.
Ya 6 duh! na ataefuata atakuwa awamu yangapi bro?He he he he he awamu ya sita tena!
2025 ndo awamu ya sita itaingia, kwa sasa tumemaliza mhula was Kwanza awamu ya tano then baada ya uchaguzi huu October utaingia mhula w pili awamu ya tano.Ya 6 duh! na ataefuata atakuwa awamu yangapi bro?
Shinyanga mjiniKatambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
Nakwambia jamaa katuma kitu hatari kwenye mitandao Shinyanga kumechafuka! Kimegoma tu kuwekwa hapa ningeweka watu wajisikilizie!Katambi akikaa kimya ni bonge la jasusi ila akiongea tu unamvua huo u afisa wake