Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,364
- 5,609
mkuu alisema kuwa anajua kufanya kazi hta kama hana cheti kwahiyo tusubili tuonee
Unadhani yeye hakuona madhara ya kufanya kazi na mtu asie na upeo wala nini madhara yake ameyaona na sasa kamwacha acheze ngoma ya Kimarekani. Sitasangaa Manji akarudi hapa na kumsue huyu mtu.