mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mbn mmemtosa!Makonda ana mchango mkubwa ndani ya CCM bwashee!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn mmemtosa!Makonda ana mchango mkubwa ndani ya CCM bwashee!
Mnasahau kwamba huyo Paul hata elimu yake ni shida. Yeye safari hii atabaki kulea mwanae tu hakuna namna
Nani kakuambia wenye elimu kubwa ndio huwa wabunge na madiwani?!Wewe mwenye elimu hata udiwani au kujua jina lako bado
Ndio maana huwa mnakuwa maskini kila siku
He is a man
nani kakuambia wenye elimu kubwa ndio huwa wabunge na madiwani?!.
unless unazungumza kinyume!.
Huyo dada ni jembe,chai jaba atakalishwa mapemaAnaitwa Salome Makamba.
No.2 na no.3 heri wangepewa wao ila chai jaba hata ccm shy hawamjui,no.3 yeye ni mchanga hawezi kupewa jimbo ila pesa yake wanakula sanaPascal alikuwa wa sita baada ya Gasper kuna wengine wawili then ndo Katambi.
Pia kumzuga 'beberu' aliyempiga ban kuingia zizini mwake.Psycholoical warfares against voters, but finally atakuwa waziri kupitia uteuzi wa baba J.
Inasemekana Patrobas ndo kapeleka malalamishi NEC. Hao watano wote juu yake walitoa Rushwa.No.2 na no.3 heri wangepewa wao ila chai jaba hata ccm shy hawamjui,no.3 yeye ni mchanga hawezi kupewa jimbo ila pesa yake wanakula sana
Kwa Akili zile anafaa kuchukua kile cheo alichoacha Olesendeka pale CCM cha propagandaUsije shangaa kateuliwa kuwa mkurugenzi wa taasisi kubwa au katibu wa wizara
Heri waliotoa rushwa,kuliko yeye alienunuliwa kama dada poa pale kona bar,huyu mpka saa sita salome alishashida...ccm hata ilazimishe makada kumnadi ila kura hawatampa shy upinzani unanguvu san.Inasemekana Patrobas ndo kapeleka malalamishi NEC. Hao watano wote juu yake walitoa Rushwa.
Wewe mwenye elimu hata udiwani au kujua jina lako bado
Ndio maana huwa mnakuwa maskini kila siku
He is a man
Hahaaa.... Ameshindikana huyoNa ndio maana tunasema kuanzia Novemba file linaandaliwa kwa ajili ya kupelekwa kwa DPP
Heheee....... Ungejua??!! Wkt utaongea soon utaona yule ni mtoto wa babaAh wapi, out of equation kwa sasa... bongo raha sana.
Kitambo sn huyo ndo mwanaccm jasiri kuzidi wote sio hao kina musiba wapiga kelele.Nasikia yupo kwenye payroll ya tiss...?
Umejuaje?Mbona wewe unamjua?
naona wapinzani badala ya kupambana na mambo yenu mmeamua kugeukia kwa jirani. CCM ina kikosi kipana kama cha SIMBA yaani anatoka chuma cha pua, anaingia Chuma cha reli. Msiyempenda atarudi kwa UPEPO WA KIMBUNGA.Siasa bhana hazitabiriki kabisa.
Bado sijavijua vigezo vya kumtosa kijana aliyeipigania CCM kwa jasho na damu Paul Makonda na kumpitisha Patrobas Katambi ambaye mchango wake mkubwa uko CHADEMA.
Namsubiri mNEC mzee Mgaya aje anipe ufafanuzi.
Maendeleo hayana vyama!
Heheee. Ungejua??!! Wkt utaongea soon utaona yule ni mtoto wa baba
Alishindwa KIHALALI na Ndugulile sasa nyie mlitaka apitishwe kilazima na bila sababu? Waliokuwa wa kwanza na wamekatwa kuna sababu, hawajaonewa.Siasa bhana hazitabiriki kabisa.
Bado sijavijua vigezo vya kumtosa kijana aliyeipigania CCM kwa jasho na damu Paul Makonda na kumpitisha Patrobas Katambi ambaye mchango wake mkubwa uko CHADEMA.
Namsubiri mNEC mzee Mgaya aje anipe ufafanuzi.
Maendeleo hayana vyama!