Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Hana lolote huyo na wategemee Jimbo kwenda kwa mpizani maana zitapigwa kura za maruhaniKatambi ni kiongozi mahiri ndio maana hata Mbowe alikuwa anamkumbatia.
Matokeo ya Kura za Moni CCM Shinyanga mjini
matokeo kura za maoni yalikuwa:
1. Stephen Masele - kura 152
2. Jonathan Ifunda - kura 65
3. Gasper Kileo - kura 51
4. Patrobas Katambi 12