Uchaguzi 2020 Kwanini Paul Makonda ametoswa na Patrobas Katambi amepata uteuzi?

Uchaguzi 2020 Kwanini Paul Makonda ametoswa na Patrobas Katambi amepata uteuzi?

Wewe zuia tu komenti zangu ya mwisho mwisho nikusaidie tu kidogo Jiwe anaenda kuifunga jamii forum muda si mrefu pamoja na unavyojitahidi kumbeba Hana shukrani ,we mbebe tu anafunga mark my words.
JF hawezi kuifunga ipo kama Whatsapp wamiliki wapo USA na endapo ataifanyia figisu figisu tutaitumia JF ya kenya ambayo hawana tabu
 
Wewe zuia tu komenti zangu ya mwisho mwisho nikusaidie tu kidogo Jiwe anaenda kuifunga jamii forum muda si mrefu pamoja na unavyojitahidi kumbeba Hana shukrani ,we mbebe tu anafunga mark my words.

Hilo la kufunga sio suluhisho. Cha msingi ni kujitathimini tu na kuishi na wengine vizuri.

Ni heri kupunguza chuki kuliko kuziongeza.
 
Hapana aisee kwa haya ni wazi kuwa Paul Makonda kaonewa sana. Nimejikuta nikipata huruma juu yake maana si kwa faulo hii iliyochezwa.

Yani mfano kwa Shinyanga mjini mtu kakataliwa na wajumbe 456 kapata kura 12 tu eti ndiye amepitishwa? Hapana!

Pia nimegundua kumbe ile hama hama ilikuwa ni makubaliano endelevu.

Makonda umeonewa na nasimama na wewe leo.
Nakuunga mkono mkuu.

Makonda ni kijana Jasiri sana halafu hana siasa za kutunga kama Katambi.

Katambi hata yeye nakuahakikishia ni muda tuu atapotea kabisa kwenye siasa.

Chadema ilitumia jasho na damu kumuandaa yule kijana Katambi na hata kumpa nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Bavicha. Huenda Ukabila ndio umempeleka alikoennda kuunga mkono juhudi za nyumbani lakini isiwe sababu ya kukata mkono uliomlea kwa kiwango anachofanya.

Huenda alikimbia Ukabila wa yule Mlevi Mbowe aliyemlea kilevi levi lakini akajikuta Ameunda Ukabila tena japo ni wenye Maslahi ni kila aina ya fursa.

Ni hizi nchi zetu tu zilizojaa watu wengi wenye elimu duni na wasio na Elimu kabisa na wengine ni umaskini unasababisha washindwe kujua kuwa wanasiasa wanapaswa kuwatumikia wananchi bila kubagua ila kiukweli Katambi hastahili kupeperusha Bendera ya CCM kwa kuacha nafasi ya uteuzi na kukimbilia Ubunge na sasa wanalazimisha kumbeba wakati wananchi wamemkataa kupitia wajumbe waliowatuma.

Ndio maana CCM inakataa wagombea ninafsi ili iendelee kuwatawala watanzania Kimabavu kuliko Makaburu na wakoloni. Yani hata kodi zetu zinagawanywa kwa kupiga magoti eti Fulani ameleta maendeleo badala ya serikali kupitia mipango iliyoidhinishwa na Bunge kwa kodi za wananchi.

Tumeona wasomi zaidi ya 43,000 wakikimbilia kwenye siasa. Wote wana uhakika sasa kupata fursa za uteuzi kupitia MTU mmoja tuu. Tena teuzi zenye nafasi ya kula kodi ya umma kwa mishahara na marupurupu manono.

Huu ni mwanzo tu kivumbi ni 2025 endapo 28/10/2020 tutaamua kuizika Demokrasia ndani ya nchi hii. Tutalia kilio na hatutapata wa kutufuta machozi.
 
Kwa hali ilivyo wasingelazimisha Makonda pale Kigamboni, lakini wanaweza kumpa ubunge wa kuteuliwa kama watashinda!

Makonda safari yake ya kisiasa au utumishi wa umma imefika tamati.

Nchi haiwezi kuwekewa vikwazo na mabeberu kwa sababu ya Makonda, huyu Makonda yupo ktk tanuru la wazi la moto ametumika sasa hana thamani tena.

Na mbaya zaidi wakubwa wanamuona Makonda ni kama 'mgonjwa wa ukoma' hastaili kuingia mjini, ndani ya ngome, kasri zao au zizini.

Itabidi arudi Gamboshi aendelee na maisha mengine.
 
Nakuunga mkono mkuu.

Makonda ni kijana Jasiri sana halafu hana siasa za kutunga kama Katambi.

Katambi hata yeye nakuahakikishia ni muda tuu atapotea kabisa kwenye siasa.

Chadema ilitumia jasho na damu kumuandaa yule kijana Katambi na hata kumpa nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Bavicha. Huenda Ukabila ndio umempeleka alikoennda kuunga mkono juhudi za nyumbani lakini isiwe sababu ya kukata mkono uliomlea kwa kiwango anachofanya.

Huenda alikimbia Ukabila wa yule Mlevi Mbowe aliyemlea kilevi levi lakini akajikuta Ameunda Ukabila tena japo ni wenye Maslahi ni kila aina ya fursa.

Ni hizi nchi zetu tu zilizojaa watu wengi wenye elimu duni na wasio na Elimu kabisa na wengine ni umaskini unasababisha washindwe kujua kuwa wanasiasa wanapaswa kuwatumikia wananchi bila kubagua ila kiukweli Katambi hastahili kupeperusha Bendera ya CCM kwa kuacha nafasi ya uteuzi na kukimbilia Ubunge na sasa wanalazimisha kumbeba wakati wananchi wamemkataa kupitia wajumbe waliowatuma.

Ndio maana CCM inakataa wagombea ninafsi ili iendelee kuwatawala watanzania Kimabavu kuliko Makaburu na wakoloni. Yani hata kodi zetu zinagawanywa kwa kupiga magoti eti Fulani ameleta maendeleo badala ya serikali kupitia mipango iliyoidhinishwa na Bunge kwa kodi za wananchi.

Tumeona wasomi zaidi ya 43,000 wakikimbilia kwenye siasa. Wote wana uhakika sasa kupata fursa za uteuzi kupitia MTU mmoja tuu. Tena teuzi zenye nafasi ya kula kodi ya umma kwa mishahara na marupurupu manono.

Huu ni mwanzo tu kivumbi ni 2025 endapo 28/10/2020 tutaamua kuizika Demokrasia ndani ya nchi hii. Tutalia kilio na hatutapata wa kutufuta machozi.


Hivi ukimhudumia ndama hadi akawa ng',ombe mkubwa akienda kulima kwa jirani huyo ng'ombe anakuwa mali ya jirani? Jirani anaweza kujisifu kuwa kamuandaa ndama hadi akawa ng'ombe?
 
Hivi kwa nini watanzania ni mbumbumbu kama wewe?Ulishaambiwa watoa rushwa watakiona cha moto,sasa ulitaka Masele na rushwa yote abaki kisa wajumbe wamempigia kura?

Au kwa akili yako ya kiutopolo ulitaka Dr Ndungulile atoswe tu kwa ajili ya kumfurahisha Makonda pamoja na uadilifu na kupata kura halali bila rushwa?

johnthebaptist
Wewe ndo mbumbumbu mkuu,kwa hiyo CCM ndiyo Takukukuru??
 
Makonda safari yake ya kisiasa au utumishi wa umma imefika tamati.

Nchi haiwezi kuwekewa vikwazo na mabeberu kwa sababu ya Makonda, huyu Makonda yupo ktk tanuru la wazi la moto ametumika sasa hana thamani tena.

Na mbaya zaidi wakubwa wanamuona Makonda ni kama 'mgonjwa wa ukoma' hastaili kuingia mjini, ndani ya ngome, kasri zao au zizini.

Itabidi arudi Gamboshi aendelee na maisha mengine.
Makonda bado ni mtumishi kwenye idara ya nchi hivyo anaendelea na kazi yake nje ya siasa za moja kwa moja.
 
Jamaa anafanya kama njia ya kujisafisha kwa kumtosa Bashite,.ikizingatiwa mambo ya uchaguzi, ila wasizani watz ni wajinga, maana bashite anaweza rudi kwa ubunge wa viti maalumu kama jiwe atafanikiwa kuiba na kupora ushindi.
 
Siasa bhana hazitabiriki kabisa.

Bado sijavijua vigezo vya kumtosa kijana aliyeipigania CCM kwa jasho na damu Paul Makonda na kumpitisha Patrobas Katambi ambaye mchango wake mkubwa uko CHADEMA.

Namsubiri mNEC mzee Mgaya aje anipe ufafanuzi.

Maendeleo hayana vyama!
Huyo Katambi unayemuongelea alikuwa Chadema kimkakati. Kazi yake kaitenda vyema ingawa lengo kuu halikufanikiwa mpaka kurudi CCM. Ndani ya upinzani kuna mapandikizi toka kwenye system, na kwa kasi ya siasa nchini wengine wameshaanza kujulikana
 
Tumeanza msako.. akipatikana wajumbe hatulazi zege[emoji1][emoji1]
Huyo Katambi unayemuongelea alikuwa Chadema kimkakati. Kazi yake kaitenda vyema ingawa lengo kuu halikufanikiwa mpaka kurudi CCM. Ndani ya upinzani kuna mapandikizi toka kwenye system, na kwa kasi ya siasa nchini wengine wameshaanza kujulikana
 
Back
Top Bottom