Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Dah aisee mkuu una busara sana ,nadhani sasa hivi ndio ingekuwa enzi za Tambaza huyu jamaa hata kama humjui basi ungetafuna simu kwa hasira
 
Kuchangia nachangia huu mtandao ni wa bure hamna anayelipa kodi. Huna mamlaka ya kunizuia acha tuendelee kupiga miayo na kujaza server za JF.
Dah ngoja nikalale nisije kukuiga kuendelea ku comment kumbe mwenzangu korokoroni.me
Dogo una mitusi mikuvwa bora UKALALE
yaani kuamka na kukuta kashfa kibao kuhusu JF nimekuogopa
kaa ujuwe Habari zote za magazeti na Redio huanzia JF
nakuomba rudi facebook au whatsapp ambako ni BURE
kudai kwamba JF hakuna mwenye Mamlaka ya kukufungia ni uchochezi
 
....kwa mkwara tu nakumbuka siku moja alikua anampiga biti demu wa jangwani et akajichanja na wembe halaf akailamba damu yake....jamaa alikua nunda sana...sa sijui hio roho ya uoga ya kujiua ilikujaje aisee
Sidhani kama ni roho ya uoga, pengine alikuwa anaonesha kuwa haogopi hata kifo
 

Acha uongo wewe, Puza alikuwa akiishi Liverside na Msiba wake ulikuwa riverside na tulimzika Makaburi ya Sinza , na wanafunzi tulikimbia mchakamchaka kutoka liverside mpaka Sinza makaburini
Puza hakuwa kama Scopion na wala hakuwa maarufu kwenye kundi la wahuni wa Dar, kwanza Puza hakuwa muhuni kwa maana ya uhuni unayoiongea wewe, alikuwa mbabe ule wa kiuanafunzi ni mtu aliyekuwa akiipenda shule ya Tambaza tangu akiwa primary pale Ubungo national housing, na kwa taarifa yako tu kabla ya mwaka 1990 alipoanza form one Puza alikuwa hajuliknai kwenye mashule ya Sekondari ya kipindi hicho

Na hilo jina unalombatiza la Omary wala sio lake
 
Wewe uliyepanga chumba kimoja Sinza uje uwe kama Bill Gates thubutuuuu,,,,utaishia kuwa kama Matonya.Bill Gates mwenyewe yuko kwenye mitandao ya kijamiii kama jf,sema tuu wewe bado pumbavu ukielimika utaelewa.
 
Una akili ndogo sanaa,nyie mnaoimba nakupendaa,wavaa helen na wabana pua.Wote mnaact kama wanawake,ndo mjisifu mko vizuri?
 
Matola mmenikumbusha mbali, enzi hizo watoto wa mafisadi walitunyanyasa sana walipokuwa wakiingia na Peugeot 504 Kibasila Chang'ombe sisi tunagombea Ikarus na vikaptula,
Baharia yeyote akisimamisha guruwe nje Half-time lazima mtoto wako atakutoka tu na saa 8 atapanda.ni kweli enzi hizo kwa Dsm shule za Tambaza na Azania zilikuwa sumu hata kuzisikia ukiwa na mchuchu iwe mmekutana beach au RSVP kwa Mzee Mbowe
 
Nakusikitikia sana marais wanajiunga kwenye mitandao ya kijamii sembese mtu wa kawaida.Dogo utaja shikishwa ukuta siku moja.Christiano Ronaldo,Mess,Obama nk wako mitandaoni.
 
Kwa hiyo puza akachezea KO!!
Hakuja kulipa kisasi?
 
Puza alikuwa mtemi sana,kipindi anaingia form one alipigana na jamaa wa form two,yule bwana wa form two alidundwa vibaya sana. Wapi Saga Power atueleze chanzo cha kifo cha Puza ila hakuwa na kesi ya mauaji
Saga power nasikia yupo mantrac, nafikiri Ni mhasibu pale.
 
Nakusikitikia sana marais wanajiunga kwenye mitandao ya kijamii sembese mtu wa kawaida.Dogo utaja shikishwa ukuta siku moja.Christiano Ronaldo,Mess,Obama nk wako mitandaoni.
ndio unavyojidanganya hao uliowataja kila siku wako IBIZA au kwenye Private Jet zao kwenda kula raha. wanaopost na kuendesha hizo account zao za social media ni Vilaza kama mimi na wewe kwa ujira mdogo
 
Wewe uliyepanga chumba kimoja Sinza uje uwe kama Bill Gates thubutuuuu,,,,utaishia kuwa kama Matonya.Bill Gates mwenyewe yuko kwenye mitandao ya kijamiii kama jf,sema tuu wewe bado pumbavu ukielimika utaelewa.
Bill gates hawezi kupoteza muda wake kuja kwenye mitandao ya kijamii. sema kuna vilaza kama mimi na wewe ndio wameajiriwa kuendesha hizo account za social media.
 
Poor IQ

Hivi unafahamu San Fransisco sasa hivi ni saa ngapi? Tokyo? Macau? Hawaii? Cannibera? Sydney?

Jinga kabisa wewe a unadhani kila mtu yupo kwenu Tandale? Fanculo.

Kumbe upo san fransisco, tokyo, macau na hawaii ya KILUVYA.
 
Huyo amekuja kuharibu thread achana nae
 
Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Sijui unaongea nini, lini JF iliundwa ili iwe ya watu wa umri fulani? Sijui umeshawahi kufuatilia baadhi ya maneno ya rais katika hotuba zake, anaongelea/ anajibu yanayojadiliwa humu, hivyo si ajabu yumo humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…