ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Tatizo lenu nyie watoto adabu hamna , mkianza kuendesha vivitz vya mikopo.Miaka ya sisi tunazaliwa nyie mko sekondary. Duh kweli life inaenda kasi. Nyie mlioko humu JF inaonyesha life imewapiga kikumbo na mko vibaya kimaisha. Poleni sana
Ha ha1. Puza hakujinyonga but alikunywa dawa (sifahamu kama kunywa dawa nyingi ni kujinyonga).
2. Jamaa, hakuwa na murder case yoyote, he was mtukutu tu kama ilivyokuwa watukutu wengine pale shule.
3. Kama ulivyosema mwenyewe, hakuna anayefahamu hadi sasa ni sababu zipi zilizopelekea jamaa kujiua kwa kunywa na zile dawa (wengine walidai kuwa alipima akakuta ameathirika hivyo hakupenda kushuhudia yale mathila) - maana aliamka akafagia uwanja na kumwambia mother wake kuwa nasafisha/ fagia uwanja maana kesho rafiki zangu watafika hapa kupiga story and ndio akajiua.
Mkuu wa shule MteraHa ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 na watu wakorofi Sana...
Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa now kwanini wengi humu hamuipendi CCM.Tatizo lenu nyie watoto adabu hamna , mkianza kuendesha vivitz vya mikopo.
Nillsikia walipata ajari ya gari yeye na mkewe wote wakafariki...Mkuu wa shule Mtera
-Alexander Ndeki alikuwa Kamishna wa Elimu kipindi hiko.Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Mkuu Mtera alikuja baada ya Moshi kuperekwa wizarani, Mtera alitokea Pugu sec..-Alexander Ndeki alikuwa Kamishna wa Elimu kipindi hiko.
-Mkuu wa shule alikuwa Mtera kama sijakosea jina.
Ni kweli, nimekumbuka. Baadae Wajimila (R.I.P) alienda Kibiti kuwa mkuu wa shule.Mkuu mtera alikuja baada ya Moshi kuperekwa wizarani,Mtera alitokea Pugu sec..
AiseeNillsikia walipata ajari ya gari yeye na mkewe wote wakafariki...
Aisee! mungu awarehemuNillsikia walipata ajari ya gari yeye na mkewe wote wakafariki...
AiseeNillsikia walipata ajari ya gari yeye na mkewe wote wakafariki...
Mkuu nakumbuka mie nasoma Kigoma Secondary miaka hiyo,wakaletwa wanafunzi wa Tambaza,kuna jamaa mmoja anaitwa Zungu alikuwa white hivi,alikuwa bangi mtu lakini kwenye somo la hesabu alikuwa mkali sana.Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Aisee miaka hiyo tulikuwa tunawaogopa tambaza hasa wakati Wa mechi. Kila tunayemuona tuliamini anatumia sigara bwege. Huyo puza ndio balaa kipindi hicho nipo St antonyKwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
Yeah mkuu,washikaji wengi waliperekwa shule za mbali mno,kwa kipato duni wengi walishindwa kwenda,pia tulikoenda huko duu walimu wengi walikuwa na visasi na sisi walituchukulia sisi viumbe wakorofi mno na hiyo wengi walifukuzwa shule kwa makosa madogo Sana,lakini shule nyingi tulikoperekwa vingi viliboreshwa hususani msos...daaah long time.Mkuu nakumbuka mie nasoma Kigoma Secondary miaka hiyo,wakaletwa wanafunzi wa Tambaza,kuna jamaa mmoja anaitwa Zungu alikuwa white hivi,alikuwa bangi mtu lakini kwenye somo la hesabu alikuwa mkali sana.
Unajuatambaza ilikuwa na wakorofi ila walikuwa vichwa sana darasani.
Ya hata bro wangu alipohamia alipata shida kwa kumuona kama mtukutu Na akapiga 1 kaliYeah mkuu,washikaji wengi waliperekwa shule za mbali mno,kwa kipato duni wengi walishindwa kwenda,pia tulikoenda huko duu walimu wengi walikuwa na visasi na sisi walituchukulia sisi viumbe wakorofi mno na hiyo wengi walifukuzwa shule kwa makosa madogo Sana,lakini shule nyingi tulikoperekwa vingi viliboreshwa hususani msos...daaah long time.
Kwan kua jf ni kua ni kwamba mtu ume lost...kijana kijana nadhan umekosea njia saiz yako ni fb...kwa taarifa yako watu wote makin wapo humu jf..vikojoz kama ww mmekuja humu kwa bahat mbaya!Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Bado mtoto huyo social network inakutanisha matajiri,maskini,wehu Na wenye akili ndio sifa Kuu kubadilishana mawazo kutoa habari,kuelimisha,maoni Na pia manung'uniko.Ajue kuna majukwaa mengi tu kwenye jf.hapa hampatoshi.Kwan kua jf ni kua ni kwamba mtu ume lost...kijana kijana nadhan umekosea njia saiz yako ni fb...kwa taarifa yako watu wote makin wapo humu jf..vikojoz kama ww mmekuja humu kwa bahat mbaya!