Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Kiwete na MTANDAO ni matapeli na wezi wakubwa wa nchi hii
 
Mnatafuta majungu tu.labda hawaelewana kisa uchaguzi wa 2005.
 
Mkuu

Ongeza nyama hasa paragraph ya mwisho!

Ongeza nyama mkuu!

Ongeza nyama!funguka mkuu!!
 
Malizia hii Story Mkuu
 
Bibi FaizaFoxy anasemaje juu ya hili
Dr. Msipende kumpa kiki sana huyo member anayejinadi na kudanganya wajinga humu kwa yeye ndo Rais wa nchi... Rais gani wa nchi uliona ana muda wa kukaa kujibizana mitandaoni hali ya kuwa ana mambo chungu tele ya kufuatilia?! Na yeye kashajizolea umaarufu wa hovyo!

Hii nchi hii 😂😂😂😂😂😂🙌🏾
 
wengi tunajiuliza hilo. ila nadhani salim angekuwa Rais angekuwa ametufaa sana.
 
Nawe umekuwa mtoto mno kuelewa mantiki ya nilichokisema.......fasihi. Kuna hidden meaning niliyoimaanisha, sikumaanisha kuwa JK ndiye aliyemlipia Lori alilopanda wakati anakuja wala aliyemwita.
Magufuli kawa Naibu waziri wakati Jakaya Bado mchanga kwenye Corridors of Power! JK hana mchango wowote katika kumjenga na kumkuza Magufuli! Hata 2005 JK alitaka kumtema Magufuli kwenye baraza baada yakupelekewa umbeya na Salva Rweyemamu je wamjua nani alimfanya JK ambakishe Magufuli barazani? Kwanini?
 

Mahakama ya ndani ilimsuta, aliikata hiyo nafasi.

Unaweza kuzishinda MAHAKAMA ZOTE DUNIANI
Lakini mahakama ya ndani kamwe hutaishinda
 
Funguka
mkuu
 
Vijana mnapenda miteremko ndio maana mnalia lia sijui dr.Salim alifanyiwa figisu niwakumbushe mamlaka hajawahi kuja kirahisi rahisi duniani kote.Nyie mnaona akina Putin wanaua wanaenda kinyume nao au kuwa challenge Bure.Figisu kwenye siasa kawaida sana.Acheni kulia lia
 
Ila kwa 95% zambi za lile genge la mtandao zilitendwa na Lowassa... bila Lowassa JK asingefurukuta kuingia magogoni 2005 na ndio maana mtu wa kwanza kulipia gharama ya Dhambi za ule mtandao ni Lowassa!
True
 
Kikwete kashiriki pakubwa sana chini ya wanamtandao kumsulubu vibaya sana Salim Ahmed Salim. Angekua muungwana angetumia hiyo fursa kutubu!
Huyu mkwere hajawahi kuwa muungwana hata siku moja! Ni mtu mwenye roho ya kimaskini, fitina, visasi na juu ya yote fisadi aliyekubuhu. Angepewa nafasi ya kuzungumza angenajisi shuhuri yote afadhali hawakumpa nafasi. Inanikumbusha alivyoshushuliwa alipozungumza kwenye mazishi ya Magufuli kule Chatto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…