Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Kwa hiyio unatupa jibu la aliyemchafua Salim dio?
 
Ila kwa 95% zambi za lile genge la mtandao zilitendwa na Lowassa... bila Lowassa JK asingefurukuta kuingia magogoni 2005 na ndio maana mtu wa kwanza kulipia gharama ya Dhambi za ule mtandao ni Lowassa!
Ni uzuzu wa Watanzania kumuona Lowassa shujaa kwa vile alikuwa anagawa pesa.

Lakini huyo mzee alipaswa kunyongwa hadharani tena uchi .

Amecheza michezo michafu sana na mkwere.

Kubenea hawezi kumsahau kwa zile tindikali.

Kama Mungu hujibu basi kuna watu wameanza kula matunda ya kazi zao.
 
Yule mwovu hawezi kuomba radhi.
Ataiomba radhi akiwa hoi kitandani
 
Mkwere amekosa heshima bibaya sana.
Acha avune mbigiri zake alizopanda njia ya kwenda kwa jirani
 
Na ndug wetu Mohamed Said mban yukonkimya bila kuandiaka hbr za Dr muislmu mwezake
Dr Salim Ahmed Salim alinyanyuliwa na mgalatia Nyerere akazikwa na Ustadhi Chikwete.

Ukiitazama picha nzima utabaini Ustadhi Mohamed Said anakosa hoja zake zisizokuwa na kichwa wala miguu juu kile anachopenda kuhubiri sana "Mfumo Kristo"
 
Dr Salim Ahmed Salim alinyanyuliwa na mgalatia Nyerere akazikwa na Ustadhi Chikwete.

Ukiitazama picha nzima utabaini Ustadhi Mohamed Said anakosa hoja zake zisizokuwa na kichwa wala miguu juu kile anachopenda kuhubiri sana "Mfumo Kristo"
Ukristo na uislam ni michezo ya kuingiza inayochezwa na elite wa daraja la KWANZA kuingiza daraja la chini sana!!

Africa ilipokea dini KWA mikono miwili kana Kwamba hazikutoka KWA wakoloni vile!!!

Inasikitisha sana Mkuu!
 
Halafu Kilimanjaro Elites mkalazimisha kweli Lowassa awe Raisi mwaka 2015. Bloody Hell, what got into you ?
Ilikua lazima iwe vile!!
Ili ku balance hali ya ukanda na ukabila nchini mwote!!

Yaani jpm kanda ya ziwa na kabila kubwa la wasukuma lililotapakaa nchini mwote na wahaya,wasuni na makabila yote ya huko na lowasa kaskazini wameru,wanadai,wachaga,warusha,wanadai waliopo nchini pote!!
 
Makavazi ya viongozi ambao wametuletea viongozi majizi na wasiojali utu ni sawa na kujilisha upepo.

CCM imepoteza dira tangu enzi za Mwinyi
 
Lakini zisiwe figisu na fitina za kike
 
Masikini Babu Seya

Hivi yuko wapi?
 
Huyu jamaa atakufa kakenua meno walah. Siyo kwa fitina hizo. Kila mahala ni yeye anatajwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…