Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?

Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?

Wote tunakumbuka jinsi Meja Jenerali Mbuge alivyokuwa injini ya ujenzi wa miradi mbalimbali katika awamu ya 5 mpaka kufikia hatua ya kupanda vyeo haraka haraka na kuwa Mkuu wa JKT.

Soon mara baada ya awamu ya 6 kushika hatamu, Mbuge aliondolewa na kupelekwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, what a demotion?

Ni sababu zipi zilipelekea Mbuge kuondolewa kama Mkuu wa JKT?
Yawezekana alimpeleka Kagera ili afanye yale aliyoyafanya JKT, au zaidi ya hayo.
 
Wote tunakumbuka jinsi Meja Jenerali Mbuge alivyokuwa injini ya ujenzi wa miradi mbalimbali katika awamu ya 5 mpaka kufikia hatua ya kupanda vyeo haraka haraka na kuwa Mkuu wa JKT.

Soon mara baada ya awamu ya 6 kushika hatamu, Mbuge aliondolewa na kupelekwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, what a demotion?

Ni sababu zipi zilipelekea Mbuge kuondolewa kama Mkuu wa JKT?
Mbona hukuwahi kuuliza kwa nini Magufuli alimuondoa CAG-Prof Assad ilihali hakuwa ametimiza miaka 60? Kama Katiba inavyotaka?
Na badala yake unauliza suala ambalo sio la kilazima au hakuna masharti yoyote kwa mtu wa cheo hicho asitolewe!
 
Kwani katiba inasemaje kuhusu ilo? Tuanzie hapo kwanza
 
Huwa kuna policies kuhusu unatumikiaje ngazi za juu jeshini sasa yeye kupanda kwake lazima angestaafishwa mapema kama sio angekaa muda mrefu zaidi katika ngazi ambazo kuna muda fixed kukaa kwa mujibu wa policies ambazo zilishawekwa zamani

All in all hatujui nini wakubwa wamempangia huko mbeleni niishie hapo
 
Angekuwa Muslim mpaka muda huu tunavyojadili hili suala angekuwa bado yupo katika nafasi aliyoondolewa. Kwa sasa siyo Muislam basi ndiyo maana aliondolewa katika kitengo kile.
 
Mbuge ni moja ya Askari wanaopendwa sana na Wanajeshi waliopitia mikononi mwake, the Guy is so smart

Samia na watu wake wa Karibu walihofia ushawishi wake ndani ya jeshi.
Rais hawezi kutishwa na kiongozi yeyote wa kijeshi,upole na unyonge unaouona kwa raia ndo huo huo upo Jwtz,polisi,Magereza nk hamna watu majasiri wa kumtingisha rais hata Iweje,,,hivyo Mbuge hakuondolewa kwa sababu ya kuogopwa bali kwa mipango mingine ambayo rais aliipima akaona ampeleke huko
 
Political stability and Rescue Emergency kwenye mfumo ili walau wengine wajifunze mbinu za Utawala.
 
Angekuwa Muslim mpaka muda huu tunavyojadili hili suala angekuwa bado yupo katika nafasi aliyoondolewa. Kwa sasa siyo Muislam basi ndiyo maana aliondolewa katika kitengo kile.
Acha ujinga wa kidini ndg yangu!!! Kumpa ukuu wa mkoa kampendelea sana,maslahi ya jeshini tunayajua ni madogo ukilinganisha na maslahi mapana aliyopewa sasa hivi
 
Back
Top Bottom