Bilashaka utakuwa teacher nenda kazini acha uvivuKwa hiyo ijumaa sio mapumziko tuanzie hapo kwanza hata mwili wa hayati JPM ukipelekwa kuagwa hadi ILEJE mimi sioni tatizo. Kwa hiyo mapumziko yamefutwa ya ijumaa au??????
Usinipotezee muda itafute huko Mtandaoni.Tupe kwanza iyo ratiba alaf nitakuja kukujibu kwanini imeenda dodoma then zanzibar
Bro...mbona makosa madogo tu hayo na yamerekebishika Sioni Kama it's a very big issue as if wamesema watu hawaagi.🙄🙄Makosa yakizidi ni Upumbavu usiovumilika.
Kweli kabisa hata mimi niliwaza hiii kituWameleta complications zisizo za lazima. Nyerere tulimuaga kitiafa sehemu moja tu, ikatosha. Ingetosha kuaga DSM au Dodoma tu.
Au njia nyingine wausafirishe mwili kwa msafara wa magari kunzia Dar mpaka Chato.....tutasimama barabarani kupunga mikono kumuaga!?
😂😂😂....nadhan mapumziko yatakua trh 22& 26 j3 na ijumaa.Bilashaka utakuwa teacher nenda kazini acha uvivu
Ndio maana huyu anatakiwa apewe ubalozi sudani kusini hukoWho is behind all these stu** decisions?
Bashiru ama
Mi naona Kama it's okay...the man had died in power...apewe tu heshima yake azikwe Basi tuendelee na mambo mengineKweli kabisa hata mimi niliwaza hiii kitu
Anatakiwa atambue kuwa Magufuli alikuwa amezungukwa na genge la wasomi wapumbavu na brainless akiwachekea watamharibia hata heshima kidogo aliyonayo.Mama Samia suluhu awe makini sana na washauri wake, watatumia mwaya kumyumbisha na kuonekana "dhaifu!"
Msigwa juzi mpaka kakumbushwa kutoa tangazo la kuapishwa mama Samia ni dalili moja wapoNi Kuchanganyikiwa au ni Upumbavu wa Waandaaji? Acheni kuwa Wanafiki tafadhali Upuuzi huu haukupaswa Kufanyika kwa Watu kutoka Ikulu na Wanaosaidiwa vyema Kiuratibu na Idara zetu Kuu ( Nyeti ) mbili za Ulinzi na Usalama.
acha wafu wazike wafu wao, achana na haya ya jiwe. Wacha wafanye wanavyotka na mwili huo. achana na petty issues za dead bodies. He is dad bado shimo la kwako na wanaokuhusuNilishangaa mno ile ya mara ya Kwanza kuona Wakazi wa Zanzibar hawakupewa nafasi ya Mwili kwenda Kisiwani Kuagwa ila kwakuwa jana Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ( atokaye Zanzibar ) Kaapishwa leo mmeiweka.
Kama kuna Upuuzi mkubwa niliouona katika Ratiba mpya ( iliyobadilishwa ) ni kuona tarehe 22 Mwili utakuwa Dodoma halafu tarehe 23 utakuwa Zanzibar na tarehe 24 utakuwa Mwanza.
Mlioipanga hii Ratiba Vichwani mwenu mko vizuri kweli? Yaani Mwili muutoe Dar es Salaam kisha muupeleke Dodoma halafu urudi Zanzibar ( nyuma ya Dodoma Kijiografia ) na baadae Mwanza?
Kwanini Mwili baada ya kuutoa Dar es Salaam kwasababu ya ukaribu wa Kijiografia usiende Zanzibar kisha ndiyo uende huko Dodoma, Mwanza na ukamalizie Kwao Chato Mkoani Geita?
Na kwanini hii ( hiyo ) Ratiba inabadilika mno? Mlishindwa nini tu Kujipanga na Kuipanga vyema ikaeleweka? Na nini kiliwafanya mwanzoni Wazanzibari mliwasahau Kuwajumuisha wakati nao ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Mlitusisitiza sana kuwa Marehemu atazikwa tarehe 25 na Ratiba yenu mpya ( mliyoibadili ) mnasema sasa atazikwa tarehe 26. Je, na Siku za Mapumziko nazo zimebaki zile zile Mbili au sasa baada ya Kuibadili tena Ratiba sasa kuna Siku ya Tatu ya Kupumzika / Mapumziko?
Angalia na ww ulivyokurupuka hapa badala ya siku 14 umeandika 24 hizi ni common human errorKwa siku mbili tangu kuapishwa kwake nimeona mapungufu manne-
1. Kutangaza siku za maombolezo ya Rais kuwa siku 24 badala ya siku 21
2. Akiwa kwenye kikao cha baraza la mawaziri kupokea kalamu ya blue kusaini bàdala ya nyekundu
3. Ratiba ya mazishi kusahau kuingizwa Zanzibar, ili kuagwa
4. Kubadili tarehe ya mazishi kutoka tarehe 25 kwenda 26 na Watanzania walishakata tiketi kwenda Chato tarehe 25.
Na wewe usitupotezee muda na uzi wako wakipumbavuUsinipotezee muda itafute huko Mtandaoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mateacher na mastudent wanapenda likizo ndefu balaa[emoji23][emoji23][emoji23]....nadhan mapumziko yatakua trh 22& 26 j3 na ijumaa.
Ingawa Sasa nao wangetoa tangazo la mapumziko together na hilo la mabadiliko la ratiba...
mkuu umewai kusafiri na ndegeNilishangaa mno ile ya mara ya Kwanza kuona Wakazi wa Zanzibar hawakupewa nafasi ya Mwili kwenda Kisiwani Kuagwa ila kwakuwa jana Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ( atokaye Zanzibar ) Kaapishwa leo mmeiweka.
Kama kuna Upuuzi mkubwa niliouona katika Ratiba mpya ( iliyobadilishwa ) ni kuona tarehe 22 Mwili utakuwa Dodoma halafu tarehe 23 utakuwa Zanzibar na tarehe 24 utakuwa Mwanza.
Mlioipanga hii Ratiba Vichwani mwenu mko vizuri kweli? Yaani Mwili muutoe Dar es Salaam kisha muupeleke Dodoma halafu urudi Zanzibar ( nyuma ya Dodoma Kijiografia ) na baadae Mwanza?
Kwanini Mwili baada ya kuutoa Dar es Salaam kwasababu ya ukaribu wa Kijiografia usiende Zanzibar kisha ndiyo uende huko Dodoma, Mwanza na ukamalizie Kwao Chato Mkoani Geita?
Na kwanini hii ( hiyo ) Ratiba inabadilika mno? Mlishindwa nini tu Kujipanga na Kuipanga vyema ikaeleweka? Na nini kiliwafanya mwanzoni Wazanzibari mliwasahau Kuwajumuisha wakati nao ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Mlitusisitiza sana kuwa Marehemu atazikwa tarehe 25 na Ratiba yenu mpya ( mliyoibadili ) mnasema sasa atazikwa tarehe 26. Je, na Siku za Mapumziko nazo zimebaki zile zile Mbili au sasa baada ya Kuibadili tena Ratiba sasa kuna Siku ya Tatu ya Kupumzika / Mapumziko?
mkuu kwa shock iliyokuwepo kusahau details ndogo kama hizo ni kawaidaIna maana mpaka anatangaza pale mbele kifupi hakushuriana kabisa[emoji15][emoji15]
Alaf usikute ni mtu mzima kabisa mwenye ndevu zake kila kona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usinipotezee muda itafute huko Mtandaoni.
Na huu Umasikini wangu Uwezo huo niutoe wapi Ndugu? Hebu Wewe uliyewahi Kusafiri na Ndege tupe Uzoefu wako tafadhali.mkuu umewai kusafiri na ndege
Unamuita binadamu mwenzio shetani.....???watajuana wenyewe cha.muhimu ni.kwamba tu hilo shetani limetoka madarakani