Kwanini Ratiba ya Mazishi inabadilika badilika hovyo?

Angalia na ww ulivyokurupuka hapa badala ya siku 14 umeandika 24 hizi ni common human error
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alaf kuna jinga moja hapo juu lina sema nyeeee nyeeee nyeeee hakunaga makosa utadhani Mungu shwain zake
 
msimamia hii shughuli bado haja teuliwa na kuapishwa. Aliyepo tunalazimisha Tu kua ni yeye wakat katiba yasema si yeye.
Ngoja tuone ndani ya siku 14
 
Bongo ukiongoza na ukataka kumsikiliza kila mtu utayumba sana ndio maana jpm aliziba masikio ukiinua mdomo anakula kichwa anatulia, ndio maana tumeona madaraja, barabara, sgr, nk nk
Kiko wapi sasa??? Mav.i kabisa wewe[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Kama Wahuni walimficha Mama ambae ndie Makamu wa Raisi kuhusu kifo na walimficha hadi Waziri Mkuu malengo yao yalikuwa ni nini?
 
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumechezewa Sana Ndugu Zangu
Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa
By JPM
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]I 'll miss him
 
Mbona mambo ya kawaida sana. Ile ya siku 14 hadi 21 ilikua kabla ya kuapishwa.
 
Huyu kaanza kudanganywa mapema hivi..wapigaji watafaidi sana this time.
Mindset za kipuuz sana hizi. Jana BBC walihojiwa baadhi ya watu wa Zanzibar kuwa nao wapate fursa ya kumuaga Marehem Rais wetu. Sasa nafikiri Serikali ikaona kwa muktadha wa Muungano, hoja ina mashiko hivyo wamepeleka na ZNZ. Hii nadharia ya kila kinachofanyika ni upigaji ni nadharia ya kishamba sana.
 
Tuna Rais taaluma yake ni Clerk(karani)sijui kama yeye binafs hatakatiba aliwahi soma.mwisho na mwanzo alaumiwe hayati mkapa na mzee JAKAYA mRiSHo kikwete +CCM.
 
Mama Samia suluhu awe makini sana na washauri wake, watatumia mwaya kumyumbisha na kuonekana "dhaifu!"
Kuna tetesi anamteua waziri mkuu kuwa makamu wa Rais. Pole pole kuwa waziri mkuu. Hapo ndipo tunaingia chaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…