mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana.
Tunaacha kusikiliza vyombo husika tumekimbilia kuwasikiliza mange na kigogo wanasema nini?.
[emoji16][emoji16][emoji16].
"Hali mbaya kweli kweli".
Ukimuuliza huyo mtu kwani kuna wagonjwa wangapi na waliokufa ni wangapi anakutukana.
Sasa Hali mbaya vipi wakati haujui hata wagonjwa ni wangapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaacha kusikiliza vyombo husika tumekimbilia kuwasikiliza mange na kigogo wanasema nini?.
[emoji16][emoji16][emoji16].
"Hali mbaya kweli kweli".
Ukimuuliza huyo mtu kwani kuna wagonjwa wangapi na waliokufa ni wangapi anakutukana.
Sasa Hali mbaya vipi wakati haujui hata wagonjwa ni wangapi.
Huyo mange atangaze ya huo USA ndiko aliko, ya huku awachie wa huku. Atwambie leo marekani wamekufa wa ngapi na watu weusi hawabaguliwi tena?
Sent using Jamii Forums mobile app